Historia ya Uhuru wa Tanganyika

Historia ya Uhuru wa Tanganyika

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
23,263
Reaction score
33,866
  • Mwaka 1933, kutokana na hofu kuwa African Association ilionekana kuwa na sura ya Kiislamu pekee, waasisi waliamua kutenganisha dini na siasa ili kuwavutia Wakristo. Mzee Bin Sudi na Kleist Sykes walisema: "tuanzishe taasisi nyingine ili tuiondoe Uislamu ndani ya African Association". Jambo hili lilipelekea kuundwa kwa Aljamiatul Islamiah fi Tanganyika mwaka huo huo.
  • Barua ya Hamasa ya Mwaka 1933: Mzee Bin Sudi alimwandikia Kleist Abdallah Sykes barua akimsihi asijitoe kwenye harakati: "ndugu yangu kwa nini unatoka leo wakati sisi tumeweka azma kwa hili jambo tulikamilishe... mimi nakuomba omba urudishe roho yako nyuma urejee ili hili jambo ambalo sisi tumelidhamiria tulikamilishe". Aliongeza kuwa ikiwa wao watashindwa, watakaokuja baadaye watalimalizia jambo hilo la kuidai nchi.
  • Msimamo wa Sheikh Hassan bin Amir: Baada ya uhuru kupatikana, Sheikh Hassan bin Amir, ambaye alikuwa mwanasiasa na kiongozi wa kidini, alitangaza: "Jamani uhuru umepatikana mimi najitoa kwenye siasa". Aliamua kuelekeza nguvu zake kwenye elimu kupitia East African Muslim Welfare Society ili kuwatoa Waislamu kwenye dhuluma ya kielimu.
  • Uamuzi wa Kumpisha Mwalimu Nyerere: Katika mazungumzo ya siri kuhusu nani aongoze TAA kuelekea kuundwa kwa TANU, Hamza Mwapachu alimwambia Abdul Sykes: "mwalimu ni bora zaidi katika kuendesha hii kwa sababu Abd wewe ni muislamu hatutaki haraka nyakati hizi ziwe zimeshikwa na waislamu hili litakuwa tatizo kwetu sisi". Walihofia kuwa Waingereza wangetumia kisingizio cha dini kuwagawa wananchi kama ilivyotokea nchini India.
  • Maana ya Uhuru: Mohammed Said anahitimisha kwa kutoa tafsiri ya uhuru kuwa: "Uhuru ni watu kuwa wanaendesha mambo yao wenyewe... kila raia wa nchi hiyo atapata haki sawa kama anavyopata mtu mwingine". Anasisitiza kuwa pakiwa na matabaka na ubaguzi, basi huo sio uhuru wa kweli.
Vyanzo hivi pia vinataja majina ya mashujaa ambao majina yao ya Kiislamu mara nyingi yamefichwa katika historia, kama vile Abdul Rauf Songeambano (aliyejulikana kama Songea Mbano) na Khadijah Mkomanile


View: https://youtu.be/oVSR9qcLuww?si=-pc-kFbp8dE3xPf3
 
MZEE UNAJITAHIDI SANA KUUA CREDIBILITY YA UHURU WA TANGANYIKA KISA TU HAUKU KAMATILIWA NA MAMLAKA YA ITIKADI YAKO.

UNAPAMBANA SANA KUUA HESHIMA YA NYERERE KISA TU ALIAMUA KUVUNJA UDINI MLIOKUWA MMEANZISHA, NA ALIFANYA HIVI ILI ITIKADI YOYOTE ILE ISICHUJICHUKULIE MAMLAKA NA SIFA KUWA WAO NDIO WALIOLETA UHURU.

UDINI UNAKUSUMBUA, JIHAD NDIO MAISHA YAKO KWA HIO HAUTAONA RAHA PALE HISTORIA YA TANZANIA IKIWA HAIJALAMBA MGUU DINI YAKO.
 
MZEE UNAJITAHIDI SANA KUUA CREDIBILITY YA UHURU WA TANGANYIKA KISA TU HAUKU KAMATILIWA NA MAMLAKA YA ITIKADI YAKO.

UNAPAMBANA SANA KUUA HESHIMA YA NYERERE KISA TU ALIAMUA KUVUNJA UDINI MLIOKUWA MMEANZISHA, NA ALIFANYA HIVI ILI ITIKADI YOYOTE ILE ISICHUJICHUKULIE MAMLAKA NA SIFA KUWA WAO NDIO WALIOLETA UHURU.

UDINI UNAKUSUMBUA, JIHAD NDIO MAISHA YAKO KWA HIO HAUTAONA RAHA PALE HISTORIA YA TANZANIA IKIWA HAIJALAMBA MGUU DINI YAKO.
Eli...
Huijui historia ya Tanganyika.

Ningekuwa naandika kwa nia mbaya hata hapa JF ningekuwa nishapigwa ban ya maisha.
Kitabu kipo na kinasomwa toka 1998.


View: https://youtu.be/UoWOHZ5P-jA
 
MZEE UNAJITAHIDI SANA KUUA CREDIBILITY YA UHURU WA TANGANYIKA KISA TU HAUKU KAMATILIWA NA MAMLAKA YA ITIKADI YAKO.

UNAPAMBANA SANA KUUA HESHIMA YA NYERERE KISA TU ALIAMUA KUVUNJA UDINI MLIOKUWA MMEANZISHA, NA ALIFANYA HIVI ILI ITIKADI YOYOTE ILE ISICHUJICHUKULIE MAMLAKA NA SIFA KUWA WAO NDIO WALIOLETA UHURU.

UDINI UNAKUSUMBUA, JIHAD NDIO MAISHA YAKO KWA HIO HAUTAONA RAHA PALE HISTORIA YA TANZANIA IKIWA HAIJALAMBA MGUU DINI YAKO.
Anapambana sana na pepo la udini. Yaani hyo ni azma yake na analazimisha kuitimiza hayupo tayari kuiachia isitimie. Hawa ndio wazee wa hovyo kwenye taifa.
 
Anapambana sana na pepo la udini. Yaani hyo ni azma yake na analazimisha kuitimiza hayupo tayari kuiachia isitimie. Hawa ndio wazee wa hovyo kwenye taifa.
Zemanda...
Kwa nini mnakataa historia ya kweli?

Kipi kinawatisha?

Hivi kweli unaweza kuifuta historia hii na ukabakia na historia ya TANU na historia ya kweli ya Nyerere wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika?

Kuwa historia ya Nyerere na Abdul Sykes isiwepo halikadhalika na Mshume Kiyate, Sheikh Suleiman Takadir ziondolewe?

Nyerere abakie peke yake katika historia hii kweli nchi hii itakuwa na historia?


View: https://youtu.be/UoWOHZ5P-jA?si=PkKzIApbCqV4SlIS
 
Anapambana sana na pepo la udini. Yaani hyo ni azma yake na analazimisha kuitimiza hayupo tayari kuiachia isitimie. Hawa ndio wazee wa hovyo kwenye taifa.
🔥🔥🔥
 
  • Mwaka 1933, kutokana na hofu kuwa African Association ilionekana kuwa na sura ya Kiislamu pekee, waasisi waliamua kutenganisha dini na siasa ili kuwavutia Wakristo. Mzee Bin Sudi na Kleist Sykes walisema: "tuanzishe taasisi nyingine ili tuiondoe Uislamu ndani ya African Association". Jambo hili lilipelekea kuundwa kwa Aljamiatul Islamiah fi Tanganyika mwaka huo huo.
  • Barua ya Hamasa ya Mwaka 1933: Mzee Bin Sudi alimwandikia Kleist Abdallah Sykes barua akimsihi asijitoe kwenye harakati: "ndugu yangu kwa nini unatoka leo wakati sisi tumeweka azma kwa hili jambo tulikamilishe... mimi nakuomba omba urudishe roho yako nyuma urejee ili hili jambo ambalo sisi tumelidhamiria tulikamilishe". Aliongeza kuwa ikiwa wao watashindwa, watakaokuja baadaye watalimalizia jambo hilo la kuidai nchi.
  • Msimamo wa Sheikh Hassan bin Amir: Baada ya uhuru kupatikana, Sheikh Hassan bin Amir, ambaye alikuwa mwanasiasa na kiongozi wa kidini, alitangaza: "Jamani uhuru umepatikana mimi najitoa kwenye siasa". Aliamua kuelekeza nguvu zake kwenye elimu kupitia East African Muslim Welfare Society ili kuwatoa Waislamu kwenye dhuluma ya kielimu.
  • Uamuzi wa Kumpisha Mwalimu Nyerere: Katika mazungumzo ya siri kuhusu nani aongoze TAA kuelekea kuundwa kwa TANU, Hamza Mwapachu alimwambia Abdul Sykes: "mwalimu ni bora zaidi katika kuendesha hii kwa sababu Abd wewe ni muislamu hatutaki haraka nyakati hizi ziwe zimeshikwa na waislamu hili litakuwa tatizo kwetu sisi". Walihofia kuwa Waingereza wangetumia kisingizio cha dini kuwagawa wananchi kama ilivyotokea nchini India.
  • Maana ya Uhuru: Mohammed Said anahitimisha kwa kutoa tafsiri ya uhuru kuwa: "Uhuru ni watu kuwa wanaendesha mambo yao wenyewe... kila raia wa nchi hiyo atapata haki sawa kama anavyopata mtu mwingine". Anasisitiza kuwa pakiwa na matabaka na ubaguzi, basi huo sio uhuru wa kweli.
Vyanzo hivi pia vinataja majina ya mashujaa ambao majina yao ya Kiislamu mara nyingi yamefichwa katika historia, kama vile Abdul Rauf Songeambano (aliyejulikana kama Songea Mbano) na Khadijah Mkomanile


View: https://youtu.be/oVSR9qcLuww?si=-pc-kFbp8dE3xPf3

Tupe historia ya Mwenge
 
Another thread, same content (including lies), different day.
 
1785915505386.png

Ali Msham wa kwanza kulia na anaefuatia ni baba yake mzazi Mzee Msham kisha Mwalimu
Nyerere Baba wa Taifa akipokea samani mpya kwa ajili ya ofisi yake New Street kwenye tawi la
TANU nyumbani kwa Ali Msham. Nyumba hii ipo hadi leo.

Hii ni 1955.
Mtaa wa Jaribu Magomeni Mapipa.
 
Eli...
Huijui historia ya Tanganyika.

Ningekuwa naandika kwa nia mbaya hata hapa JF ningekuwa nishapigwa ban ya maisha.

Kitabu kipo na kinasomwa toka 1998.
Hakuna mtu anakuzuia kuandika maoni yako hapa jf ndio maana kuna kila aina za nyuzi hata
Zemanda...
Kwa nini mnakataa historia ya kweli?
Hakuna historia ya ukweli hapa, unachofanya no upotoshaji wa makusudi na kuinajisi historia ya kweli na kupandikiza historia yako wewe binafsi inayolenga kupakaza udini historia ya TANGANYIKA, kwakifupi wewe sio mtu mzuri hata kidogo.
Kipi kinawatisha?
Kinachotutisha ni mtu mzima kama wewe kupandikiza udini katika akili za watoto ambao akili zao hazitambui ubaguzi wa kidini,kikabila wala kisiasa.
Hivi kweli unaweza kuifuta historia hii na ukabakia na historia ya TANU na historia ya kweli ya Nyerere wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika?
Kwanini unaipromote historia utadhani upo kwenye harambee ya ujenzi wa msikiti na madrassa, haujui kuwa unaongea na raia wasiotukuza udini au wewe unakichwa cha namna gani ushindwe kuelewa unapoambiwa jambo?🤔
Kuwa historia ya Nyerere na Abdul Sykes isiwepo halikadhalika na Mshume Kiyate, Sheikh Suleiman Takadir ziondolewe?
Basi kama ni za udini kaa nazo sisi ni breed mpya ya watanganyika hatutaki maswala ya identity za udini katika taifa letu,dini ibakie kuwa ni ibada na swala binafsi ila sio swala la kiuongozi au kikatiba.
Nyerere abakie peke yake katika historia hii kweli nchi hii itakuwa na historia?
Historia ina watu wengi sana tukisema kuwataja tutajaza mabukleti zaidi ya elfu. Ila akishapatikana wachache wa kutuwakilisha inatosha,hatuwezi kuwa na utamaduni wa kubadili badili historia kila wakati maana haitakuwa na maana.

Wewe nini unachokosa kwenye historia ya sasa ilivyo,au umetumwa kubadili utaratibu wewe usilimishe taifa liwe la kiustadhi,unahisi utaachwa? 😂😂 Mzee una matatizo,tunakufuatilia usihisi sisi ni waarabu koko kama wewe,tutakudhibiti na udini wako.

Huwa sitazami hizi vitu zako maana ndani yake hakuna ajenda jengefu ni aina fulani ya upotoshaji upo ndani yake. Mzee una ajenda ya siri, tumekustukia.
 
Hakuna mtu anakuzuia kuandika maoni yako hapa jf ndio maana kuna kila aina za nyuzi hata

Hakuna historia ya ukweli hapa, unachofanya no upotoshaji wa makusudi na kuinajisi historia ya kweli na kupandikiza historia yako wewe binafsi inayolenga kupakaza udini historia ya TANGANYIKA, kwakifupi wewe sio mtu mzuri hata kidogo.

Kinachotutisha ni mtu mzima kama wewe kupandikiza udini katika akili za watoto ambao akili zao hazitambui ubaguzi wa kidini,kikabila wala kisiasa.

Kwanini unaipromote historia utadhani upo kwenye harambee ya ujenzi wa msikiti na madrassa, haujui kuwa unaongea na raia wasiotukuza udini au wewe unakichwa cha namna gani ushindwe kuelewa unapoambiwa jambo?🤔

Basi kama ni za udini kaa nazo sisi ni breed mpya ya watanganyika hatutaki maswala ya identity za udini katika taifa letu,dini ibakie kuwa ni ibada na swala binafsi ila sio swala la kiuongozi au kikatiba.

Historia ina watu wengi sana tukisema kuwataja tutajaza mabukleti zaidi ya elfu. Ila akishapatikana wachache wa kutuwakilisha inatosha,hatuwezi kuwa na utamaduni wa kubadili badili historia kila wakati maana haitakuwa na maana.

Wewe nini unachokosa kwenye historia ya sasa ilivyo,au umetumwa kubadili utaratibu wewe usilimishe taifa liwe la kiustadhi,unahisi utaachwa? 😂😂 Mzee una matatizo,tunakufuatilia usihisi sisi ni waarabu koko kama wewe,tutakudhibiti na udini wako.

Huwa sitazami hizi vitu zako maana ndani yake hakuna ajenda jengefu ni aina fulani ya upotoshaji upo ndani yake. Mzee una ajenda ya siri, tumekustukia.
Zemanda,
Mbona unaleta vitisho?

Mimi nimeanza kuandika nikiwa kijana mdogo sana.

Nimefahamika kwa kalamu yangu na ustaarabu katika maudhui zangu kiasi hakuna gazeti lililokuwa linakataa kuchapa makala zangu.

Wala sijarudishiwa abstract zangu katika mikutano ya kimataifa.

Yote nilialikwa na kutoa fikra zangu.
Nimefanya mahojiano na vyombo vikubwa vya dunia: BBC, VoA, DW, Al Jazeera, SABC hapa nyumbani nimehojiwa na TBC mara chungu mzima, AZAM, ITV, Channel Ten, Radio Uhuru (CCM), Online TVs ndiyo usiseme Maktaba ni kama nyumbani kwao.

Hakuna suala la udini hapa.

Tatizo kulikuwa na historia kubwa na iliwahusu sana Waislam ambayo haikuwapo.

Mimi nimeiandika na imepokelewa kuwa ni historia ya kweli.

Wewe unakuja hapa na vitisho, kejeli na matusi.

Hebu jaribu kuiambia TBC, ITV, AZAM wasinihoji.


View: https://youtu.be/S1Fkfman4Ac?si=IYR76iTwGM0ieseH
 
Zemanda,
Mbona unaleta vitisho?
Why nitumie vitisho, pengine unasoma the wrong tone.
Mimi nimeanza kuandika nikiwa kijana mdogo sana.
Then uandishi wako una walakini mzee.
Nimefahamika kwa kalamu yangu na ustaarabu katika maudhui zangu kiasi hakuna gazeti lililokuwa linakataa kuchapa makala zangu.
Hiyo haitoshi kukuhalallisha. Sio kila sumu ni kali,kuna sumu huwa inadhuru kimya kimya na kidogo kidogo. Huu uandishi wako umekaa kipandikizi. Na ndio tabia ya ninyi wazee wa kizamani ambao hamkuelewa dini bali mliklemishwa ndio maana mnahangaika kutumia mbinu za kisanii kupandikiza fikra za kishamba na za kizamani.
Wala sijarudishiwa abstract zangu katika mikutano ya kimataifa.
Pengine wamekupuuza sababu wamekustukia.
Yote nilialikwa na kutoa fikra zangu.
Nimefanya mahojiano na vyombo vikubwa vya dunia: BBC, VoA, DW, Al Jazeera, SABC hapa nyumbani nimehojiwa na TBC mara chungu mzima, AZAM, ITV, Channel Ten, Radio Uhuru (CCM), Online TVs ndiyo usiseme Maktaba ni kama nyumbani kwao.

Hakuna suala la udini hapa.

Tatizo kulikuwa na historia kubwa na iliwahusu sana Waislam ambayo haikuwapo.

Mimi nimeiandika na imepokelewa kuwa ni historia ya kweli.

Wewe unakuja hapa na vitisho, kejeli na matusi.

Hebu jaribu kuiambia TBC, ITV, AZAM wasinihoji.


View: https://youtu.be/S1Fkfman4Ac?si=IYR76iTwGM0ieseH

Kwahiyo na makanisa yaanze kuandika vitabu kuelezea mchango wa wakristo katika uhuru? Au unadhani hakuna hizo taarifa za udini upande wa wakristo?🤔

Na pia wachagga na makabila mengineyo waanze kuandika utambulisho wa mchango wao katika uhuru eneo la makabila,tutajenga taifa la aina gani?

Kwani kichwa chako kina pata shida gani kuelewa issue ya kutengeneza matabaka katika jamii?

So unataka kutuambia waislam ni 100% ya uhuru?🤔

Hebu twende kwa namba, uhuru wa TANGANYIKA Waislam unaoajua wewe walichangia kwa asilimia ngapi? Twende kwa namba. Maana watu kama wewe ujuaji mwingi ukiambiwa leta takwimu unaanza kututajia majina ya kiarabu as if uhuru ulikuwa ni wa Oman.

Mzee acha utapeli wewe.
 
Why nitumie vitisho, pengine unasoma the wrong tone.

Then uandishi wako una walakini mzee.

Hiyo haitoshi kukuhalallisha. Sio kila sumu ni kali,kuna sumu huwa inadhuru kimya kimya na kidogo kidogo. Huu uandishi wako umekaa kipandikizi. Na ndio tabia ya ninyi wazee wa kizamani ambao hamkuelewa dini bali mliklemishwa ndio maana mnahangaika kutumia mbinu za kisanii kupandikiza fikra za kishamba na za kizamani.

Pengine wamekupuuza sababu wamekustukia.

Kwahiyo na makanisa yaanze kuandika vitabu kuelezea mchango wa wakristo katika uhuru? Au unadhani hakuna hizo taarifa za udini upande wa wakristo?🤔

Na pia wachagga na makabila mengineyo waanze kuandika utambulisho wa mchango wao katika uhuru eneo la makabila,tutajenga taifa la aina gani?

Kwani kichwa chako kina pata shida gani kuelewa issue ya kutengeneza matabaka katika jamii?

So unataka kutuambia waislam ni 100% ya uhuru?🤔

Hebu twende kwa namba, uhuru wa TANGANYIKA Waislam unaoajua wewe walichangia kwa asilimia ngapi? Twende kwa namba. Maana watu kama wewe ujuaji mwingi ukiambiwa leta takwimu unaanza kututajia majina ya kiarabu as if uhuru ulikuwa ni wa Oman.

Mzee acha utapeli wewe.
Zemanda,
Unaandika umeghadhibika unatukana.

Mjinga umenitia.
Sasa unaniita tapeli:


View: https://youtu.be/sPQbHkLYFYA?si=vKYxZf77JkK8DrBy
 
Back
Top Bottom