historia

Canal História, currently branded as História, is a Portuguese basic cable and satellite television channel that features history documentaries most of which are produced by History USA and Portuguese and Spanish historic productions, owned by the joint venture known as The History Channel Iberia, between A&E Networks and AMC Networks International Iberia. More recently, it started broadcast some reality television series. Initially it was a single Iberian channel founded by Multicanal (currently AMC Networks International Iberia) with feeds in Portuguese and Spanish. It was created in March 1999 and it split into different channels on 21 March 2012.Some Portuguese historic productions airing in Canal História include Foz Côa about Coa Valley Prehistoric Rock Art, O Tratado de Tordesilhas about the Treaty of Tordesillas, Marquês de Pombal concerning Marquis of Pombal, Portugal e a NATO (Portugal and NATO) and A História Do Azulejo (History of Azulejo).

View More On Wikipedia.org
  1. Mohamed Said

    Nani anahusika na kutunza kumbukumbu na Historia ya Baba wa Taifa?

    NANI ANAHUSIKA NA KUTUNZA KUMBUKUMBU NA HISTORIA YA BABA WA TAIFA? JIWE LA KUMBUKUMBU YA NYUMBA YA MTUMWA SULEIMAN ALIYOFIKIA MWALIMU NYERERE 1954 Mmoja kati ya wafuatiliaji wa Maktaba kanitumia picha ya jiwe linalotumika kama kumbukumbu kueleza nyumba ambayo alifikia Mwalimu Nyerere, Mtaa wa...
  2. M

    Historia ya Majini

    Watu hujiuliza wana uhusiano na Waisilamu,Waisilamu Wanafuga Majini? Majini ni viumbe wa Mwenyezi Mungu wameumbwa miaka 2000 iliyopita kabla ya kuumbwa mwanadamu,wao wanatuona sisi hatuwaoni,Jini ameumbwa kutokana na moto binadamu ameumbwa kutokana na mchanga na maraika wameubwa kutokana na...
  3. Mohamed Said

    Channel Ten Maktaba: Historia ya African Association 1929, TANU 1954 hadi CCM 1977

    https://youtu.be/ewcNFGSVWAw?si=DKrusLtx0EUpYPa5
  4. ELI COHEN

    Leo ndio wabongo wanashtuka eti babu zetu waliopelekwa utumwani uarabun waliishia wapi. Historia ilifocus zaidi katika ku-vilify wazungu, inasikitisha

    Kipindi tunafundishwa kuwachukia wazungu, unyama wa uarabu ulikuwa unafukiwa, hadi hapo watu walipoanza kwenda outside of the box na kugundua zaidi y I abu shiri, kugundua kuwa babu zao walihanisiwa na kufanyika mashine za kazi hadi kufa kwao huko uarabuni, waliobakia nachoamini ni less than 1%...
  5. M

    Orodha hii ya matokeo ya Form 4 kwa mikoa imenistua. mikoa tunayoichukulia poa inaongoza kitaifa na mingine imebaki historia haina tena uwezo

    Nikiwa naperuzi mtandaoni nimeikuta hii orodha ya mikoa SAT ni idadi ya wanafunzi waliofanya mtihani Nimeshangaa sana kuona kuna mikoa ambayo hatuizungumzii sana imefanya vizuri na kuna mikoa ambayo ilikuwa navuma hapo zamani lakini kwa sasa hali ni mbaya, Dar es salaam shule za day zina...
  6. R

    Chadema mna document historia mnayopitià katikà utawala wa CCM

    Tafiteni historian mzuri, actually awe historian wa chama. Aweke rekodi madhubuti ya madhura mnayopitia. Kwa.mfsno, mna.list ya watu waliouawa na ccm / serikali wakipigania uhuru wa TANGANYIKA? 2. Matendo ya ukatili mliopitia 3. Historia ya chaguzi mlizopitia 4. Kufungwa jela mlikopitia 5. Etc...
  7. ELI COHEN

    Kama unaujua mpira vizuri, historia na positioning, ebu chagua viungo watatu bora kutoka katika picha hii

    Hao waliosimama ni lothar mathaus na dunga Mimi: Mathaus Keane Makelele
  8. G

    Historia inaonyesha wananchi wa ulaya waliwahi kuwanyonga watawala wakuu wawili Kwa sababu baadhi nazoziona kwenye taifa letu ikiwemo umaskini

    Historia inaonyesha ufaransa na Uingireza iliwahi kunyonga watawala wawili Kwa sababu mbalimbali Kwa upande wa ufaransa ilimnyonga Louis na Malkia Maria Kwa sababu kuu ni Umaskini na njaa Kodi kubwa Kokosekana Kwa haki na usawa Kuupuuza matatizo ya wananchi Kwa upande wa kiongozi wa...
  9. Z

    Miaka 17 bila kiongozi mprotestanti kwenye position ya rais, makamu wa rais, na waziri mkuu

    Inaelekea baadhi ya global na continental agents wa illuminati walitaka akae mpaka Oct 2025, halafu astaafu. Kuna baadhi ya agents wa illuminati wanataka akae hadi Oct 2030. Ni global na continental agents wa illuminati hao hao ambao hawakumpenda the late ceo aliemaliza muda wake in March...
  10. Rungwe88

    Mnaokejeli, shambulia na kutukana Roman Church, hivi mnafahamu historia na mission ya hilo dude?

    Kuna kitu nimeona nikieleze kuhusu Roman Catholic church baada ya kuona Kuna watu hapa nchini Tanzania wanatukana, wanashambulia watumishi wakatoliki, wanakejeli katoliki (TEC) n.k kwakutumiwa na wanasiasa wasio na akili pia walioishiwa hoja na wasiosoma historia kutoka CCM pia watanzania...
  11. Chizi Maarifa

    Magaidi Duniani wanavyotumia Historia ya Ukhalifa katika Missions zao

    Magaidi wanavyotumia historia ya Ukhalifa Magaidi kama ISIS, Al-Qaeda, Boko Haram wanadai: “Tunarejesha Ukhalifa ulioporomoshwa” Historia ya 1258 na 1924 inatumika kama: Motisha ya kihistoria: wanasema “Dola ya Kiislamu imeanguka, dunia inahitaji Waislamu wa kweli kurudisha heshima” Kifaa...
  12. Chizi Maarifa

    Uzi wa Yanayoendelea Iran, Historia na Hatima yake

    Hapa chini ni muhtasari wa historia ya hivi sasa na yanayoendelea nchini Iran — hasa jinsi ilivyofikia hali ya sasa ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, pamoja na harakati kubwa za umma: 1. Asili ya mgogoro wa sasa Uchumi uliharibika Iran imekuwa ikipigana na msongamano wa uchumi kwa zaidi ya...
  13. Mohamed Said

    Watoto wa Chief Mohosh Plantan (Afande Plantan) katika historia ya Tanganyika

    Watoto wa Chief Mohosh Plantan (Afande Plantan) katika historia ya Tanganyika https://youtu.be/fPdA-pfDcnw?si=c-i7GRJomRUDrOYQ
  14. Fascinating

    Historia ni Albamu ya Zamani, Hata hii ya Marekani kukamata Marais wa nchi nyingine si picha ngeni

    Historia ni kama albamu ya zamani; hakuna kitu kipya, ni picha zinazojirudia. Hata kukamatwa kwa Nicolás Maduro na Marekani wala si suala geni kihivyo. Kurasa zote za habari hivi sasa zinafuatilia kilichotokea Venezuela. Wengi wameliona tukio hili kama la kushangaza baada ya Rais wa Marekani...
  15. M

    Yajue madola 5 yenye nguvu kama Marekani baadae yakaporomoka

    madola 5 ya kijeshi, yakiwa na maelezo ya mwaka yalipoanza kutawala kwa nguvu na mwaka yalipoporomoka: 1. Dola la Roma (Roman Empire) Mwanzo wa utawala wenye nguvu: 27 KK (chini ya Augustus Caesar) Kuporomoka: 476 BK (Dola la Roma ya Magharibi) Maelezo: Jeshi lake lilitawala Ulaya, Afrika...
  16. P

    Aportacion de Historia y humanidades.

    Buenos dias. Se trata de Historia y humanidades. Gracias.
  17. Bigmaaan

    Iheshimiwe Jan 21, 2025. Wamejifunza. Tuwaamini?

    Heri ya Christmas wakuu. Kuna Flyer nimeiona ya Ndg Nchemba, akitoa salamu za Christmas. Lakini pia anasema "WAMEJIFUNZA". Wamejifunza nini? Imekuwaje wamejifunza? Kuna line moja ya Tupac, inasema "I will not change the world, but I guarantee that I will spark the brain that will change the...
  18. I

    Mauwaji ya Oktoba 29: wagombea wachunguzwe historia ya ubinadamu wao.

    Wajumbe. Ubinadamu kazi. Na kila mwanadamu anapita njia nyingi sana katika makuzi yake. Ipo dhana moja muhimu sana. Dhana ya utimamu wa kihisia. Hisia za mwanadamu huwa na athari chanya au hasi katika akili yake. Mathalan, mwanadamu ambae enzi za utoto wake alikulia katika familia zenye...
  19. Mohamed Said

    Abdallah Omari Likonda Anaeleza Historia ya Duka la Mafuta ya Taa la Mama Maria Nyerere na Joseph Kiboko Nyerere 1950s

    https://youtu.be/rnnegB5L8I0
  20. Mohamed Said

    Mageuzi Katika Mtaala wa Kufundusha Historia ya Uhuru wa Tanganyika

    MAGEUZI KATIKA MTAALA WA UFUNDISHAJI WA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA Nimepokea ujumbe huo hapo chini kutoka kwa mwanafunzi wangu mmoja: ''Leo rafiki yangu mmoja ambaye ni muhitimu wa Shahada ya Ualimu wa Historia mwaka huu amenipa habari njema kwamba habari za Abdulwahid Sykes na wazee...
Back
Top Bottom