King Kuok "Mimi" Hii (born 23 December 1969) is a chemist whose fields of research include application of catalysis to organic synthesis. She is the Director of Imperial College London's Centre for Rapid Online Analysis of Reactions (ROAR).
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ama baada ya salam ningependa niseme ukweli kwamba toka nchi yetu ilipopata uhuru mpaka leo hii CCM imeshafanya mambo mazuri na makubwa sana ndani ya nchi kuliko chama kingine chochote kile Tanzania.
Nitaweka baadhi ya mambo yalifanywa...
Hii hali huwa imekaaje kwa wakristo.
Unakuta
-Mke anakunyima game maksudi kabisa
- Mke hawezi tendo labda ni mgonjwa
-Mnaishi Dar ila mke anahamishiw kigoma.
....
Na hurusiwi ongeza mke.
hii hali dhambi ya uzinzi inaepukika?
Hii mbinu itamfanya mwanamke kuogopa kuchepuka kwa kuhisi kuwa ataonekana kuwa mchafu kwa mchepuko wake.
Kwa wale wanaume wanaosafiri safiri sana, yaani kuwa na mkeo inakuwa mara chache, sasa fanya hivi:- mwambie asiwe ananyoa.
Wewe ndio unatakiwa umnyoe tena kwa kuyapunguza tu usiyamalize...
Nilikuwa kwenye moja ya mabasi ya Abood, mtu mmoja akabonyeza hiyo button kwenye picha, dereva wa bus akachukua kipaza sauti akamsema vibaya sana na kumtaka aache ujinga, wajuzi wa mambo hiyo button ina kazi gani? Na kama ina hatari kwanini madereva hawatoi angalizo kwa abiria kabla ya safari?
Handeni. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ameliagiza jeshi la polisi wilayani Handeni kuwakamata na kuwaweka ndani watumishi wawili wa wizara hiyo na mkandarasi anayejenga bwawa la Kwenkambala kwa kushindwa kumpa taarifa sahihi kuhusu ujenzi wa bwawa hilo.
Waziri Aweso ametoa agizo hilo leo Jumanne...
asante
bado
bwawa
chafu
hata
hii
kuchimba
kupotea
mahakamani
maji
milioni
pole sana
sana
taarifa
video
wahandisi
waziri
waziri wa maji
wizara
wizara ya maji
yako
kwanza kabisa nianze kwa kusema hakuna siasa zinazoua nchi kimaendeleo kama siasa za kujaribu kunufaisha wanyonge na kulazimisha usawa wa kiuchumi. Ila bahati mbaya kwa Africa, 'marais wa waonyonge' ndio wanaonekana ndio sahihi
Mfano akitokea Rais akaanza ku deal na matajiri, akachukua mfano...
Tunatambua Mara zote asili ya elimu yetu, tumejikuta mfumo umetuganda si chini ya miaka Hadi ishirini then unapewa Cheti Kama mwangaza au ufunguo wa sehemu kuomba kazi.
Pia jamii Ina wataalam wengi waliosoma Hadi kusahau walivyosomea hivyo kuendelea kulundikana kwa vijana wasio na ajira mwisho...
✓Ni ajabu lakini ni kweli kuwa ndugu huyu ambaye amewahi kuwa RC maarufu sana enzi zile wa mkoa wenye watu wengi zaidi Tanzania yaani DSM analalamika kuwa anawindwa na kundi la watu ili wamuue..
✓Ndugu Makonda ukiwa RC - DSM, unatuhumiwa kuongoza kundi la UGAIDI WA KIDOLA (State Sponsored...
Habari wakuu!
Leo nimekaa nikakumbuka matukio kipindi nipo o level,jinsi nilivyoharibikiwa kwa kujiingiza kwenye makundi ya wahuni shulen na nilivyoweza kuCHANGE fasta nakufanya vizuri kwenye matokeo yangu ya 4m 4 necta
Kwanza ilianza nikiwa form 2 nikiwa shule ambayo ipo njee kidogo ya...
Rekodi hii imenitisha, mpaka utumbo umecheza kwa zile beki zile ambazo hazijui kuruka mipira ya krosi kuna maafa makubwa sana. Naiona balaa kubwa sana, yajayo hayafurahishi
Nimepata hii barua ninmesikitika Sana. Wakati wa uzinduzi tuliambiwa pesa ipo. Sasa hii barua ni ya Nini? Au ndio kura kwa urefu wa kamba yake? Huku namuona waziri akiwa anatembea na Choppa. Nazani tumeona. Hii barua inamaana gani kwetu wananchi?
Ubinafsi uroho na ulaku wa kupiga hela ya umma unapelekea miradi nchini Tanzania kutolewa hela mara mbili au hata tatu.
Kwa mfano hili zoezi la anuani za makazi linalopigiwa kelele na hii inayojiita awamu ya sita kwa wenye kumbukumbu ni project ilishatolewa fungu tangu awamu ya 4 mwanzoni. Wala...
Mbunge unakosa hoja ya kulisemea taifa lako unaongelea upuuzi?!
Kwamba changamoto lukuki zinazowakabili wana-Rukwa huyo mpuuzi kaiona ya viuno vya wanaume kuumia viuno ndiyo agenda kuu?!
Nimetukana!
===========================
MBUNGE BUPE: MATUTA YANAHARIBU VIUNO VYA WANAUME
Mbunge wa Viti...
Unyanyasaji huu wa vyombo vya dola haukubaliki.
Kwanini sheria za nchi zilizopo hazifuatwi?
Kwa hakika tuungane kuukataa ubazazi wa namna hii.
---------------------
Ikumbukwe:
Maana yake kikwete alikidhoofisha chama? Maana yake Rais aliyekuwepo madarakani na mwenyekiti alikifanya chama kiwe dhaifu mpaka kukosa mvuto?
Wewe leo hii ni wa kumbagaza kikwete? Kuonesha kuwa alikuwa dhaifu? Ni nani alisababisha hiki chama kushinda mwaka 2015? Pamoja na udhaifu wake? Ni nani?
Habari wakuu
Mwanamke kama namtongoza akiniuliza una mpenzi au mke ?? Nitamjibu kwa kujiamini kabisa ndio nina mke. Watu wengi wanadhani wakisema wanamke basi watakataliwa. Lakini majibu ni kinyume chake
Hebu tutumie mfano wa duka lenye wateja wengi na lisilo na wateja,
Duka lenye wateja...
Habari wakuu poleni na Majukumu ya kutafuta ugali ,japo ni mgumu naamini sote tutaupata.
Wakuu kuna hii ndoto imenishtua sana leo naomba wale wenye utaalamu wa ndoto hii wanielezee iko hivi.
Nimeota nipo shule ya bweni sasa siku hiyo ilikua ni siku ya kufunga shule majira ya mchana hivi mimi...
Marekani peke yake,ama NATO ama Marekani na washirika wake,kwa nyakati tofauti wamekuwa wakipeleka majeshi kwenda kufanya kile wanachokiita kuisaidia kuziokoa nchi zilizo ama vamiwa ama kuongozwa na watu wao waliowaita madikteta.
Kwa mara ya kwanza toka nimeijua Marekani na hata NATO.naposema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.