hii

King Kuok "Mimi" Hii (born 23 December 1969) is a chemist whose fields of research include application of catalysis to organic synthesis. She is the Director of Imperial College London's Centre for Rapid Online Analysis of Reactions (ROAR).

View More On Wikipedia.org
  1. Unique Flower

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii ni Kali au fashion eh 😡😡😡

    Mwaka Jana wandoa wanaume wanadai wamama wabaya Wakaenda Kwa michepuko, Mwaka huu wamama na shida zao na comments zao na michepuko . At least mna watoto bwana hebu shukeni mtuambie shida nini ?mbona mama zenu , baba zenu walikuwa wanavumiliana aisee acheni hizo . Vumilieni aisee maana...
  2. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kwa Takwimu hii nikiwa natokea Mkoa wa Mara naikataa na nakata Rufaa

    Mikoa inayoongoza kwa Uvutaji Bangi nchini Tanzania ni hii ifuatayo..... 1. Arusha 2. Manyara 3. Iringa 4. Morogoro 5. Ruvuma 6. Mara Tangia lini Watu wa Manyara na Morogoro wakawa na Uthubutu wa Kuvuta Bangi / Bange? Takwimu hii ingekuwa kama ifuatayo si tu ningeamini bali ningefurahi mno...
  3. jastertz

    JamiiForums Tanzania Kwa hali hii maendeleo ya technolojia yatachelewa sana

    Nchi nyingi za Africa tupo nyuma kitechnolojia kwa sababu kuu mbili. 1. Ukifanya jambo zuri kuhusu technology wanaishia kukusifia tu. Baada ya muda unasahaulika. Project nyingi tunaziona tunazisifia tunasahau. 2. Ukifanya jambo baya kuhusu technology unaishia kupewa kesi badala wakutumie wewe...
  4. kali linux

    JamiiForums Tanzania Wataalamu mlobobea na dawa za binadamu nisaidieni kuelewa hii relaxation effect iliopo kwenye dawa za 'Action'

    Hello bosses and roses..... Kuna muda nilikua napata sana maumivu ya kichwa ila hospitali hawakunipa majibu yoyote ya kunisaidia. Hii ikafanya nitafute dawa tu ambayo itakua inanituliza maumivu ya kichwa yakianza. Nilijaribu panadol ikafeli, dawa tatu ikafeli. Nikaja kujaribu hizi 'Action'...
  5. Expensive life

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndugu zangu hii siyo love bite kweli?

    Huyu mwanamke ananifanya mimi mtoto mdogo, eti ananidanganya katembelewa na mdudu.😡😡
  6. IamBrianLeeSnr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mnatuchukuliaje sisi Wanaume?

    Habari wanajamii, Nimeona nielekee kwenye mlengo wa madaa husika, Nimejaribu kufanya uchunguzi sana kwenye baadhi ya mazungumzo ya hawa wanawake tulionao humu ndani ya hii forum na kubaini kuwa wengi wa mabinti waliojiunga na hii forum ni sehemu ya wanawake waliopitia shida na mateso mengi sana...
  7. Magufuli 05

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya wamshukia Rais Ruto kuhusu safari nje ya Kenya

    Soma hapa tafadhali
  8. M

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Elimu wilaya ya Ubungo hii ni aibu ifike mwisho

    Nimekuwa na madudu mengi katika idara ya elimu Ubungo baadhi kwa kutaja ni kama; 1. Kucheleweshwa kwa watumishi kupandishwa madaraja. 2. Kila mara kutolipwa au kukopwa posho kwa wasimamizi wa mitihani ya utamilifu (mock). 3. Kutokuwa na utaratibu mzuri wa mawasiliano na kutoa maagizo ya zima...
  9. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Tutake tusitake siasa za nchi hii ni majitaka na za kiyawani! Katiba mpya ni lazima

    Siasa za nchi hii zimekuwa za kijinga sana aisee mbaya zaidi hata wananchi wenyewe wamekuwa kama mbwa koko hawawezi kuuma yaani wapowapo yaani hawana hili wala lile kila uchwao kulalamika tu bila action yoyote yaani wamekuwa wajinga tu yaani wao ni kulalamika tu! Huu ujinga wa kulalamika...
  10. H

    JamiiForums Tanzania Hivi hii kanuni ya biashara ni kweli mwenye duka hakupi kitu bila hela asubuhi mpaka auze kwanza?

    Habari. Mi mwenzenu sijui nikoje haya maimani ya ajabu ajabu yananipa shida sana huku duniani yaani huwa hata siwazagi haya mambo. Sàsa mimi nina ela yangu msimbazi safi nahitaji kitu kwenye duka chenji hana na mimi kutembea na hela ndogo ndogo siwezi namwambia mwenye duka nasi nipe bidhaa...
  11. Kitchener

    JamiiForums Tanzania Hivi Dodoma ndio hakuna maji namna hii?

    Nimekaa hapa wiki moja nzima, mabomba hayatoi maji. Nadhani serikali imeharakisha kuhamishia makao makuu hapa Dodoma kabla suala la maji halijatengemaa. Awesu ndo yupo Italy anakula bata tu. ==== UFAFANUZI KUTOKA DUWASA ====
  12. MK254

    JamiiForums Tanzania Patriot zinaendelea kulinda mji wa Kyiv, hii inafanya Urusi wawe na hasira sana

    Urusi inaendelea kutuma makombora mazito kuelekea Kyiv lakini yanapanguliwa, aisei mpaka sasa aina hii ya mashambulizi yangeelekezwa Afrika sidhani kama kuna taifa lingepona, muhimu sana na sisi tuwekeze kwa hizi patriots za Marekani...ndio muarubaini wa yote. Russia launched a new wave of air...
  13. Msanii

    JamiiForums Tanzania Naam, kwa mwenendo huu CCM inajifuta kwenye siasa za Tanzania

    Mimi ni mtu wa kawaida sana. Kauli hii inaweza usiione ina impact kubwa Inawezekana kabisa nisiione keshokutwa yangu, lakini nimejidhihirisha kuwa sauti yenye Mamlaka imeshatamka niliyoandika kwenye kichwa cha uzi huu. Tumezoea kuishi kwa hofu. Mkuu wa chama ndiye amiri Amiri anaapa kwa kutii...
  14. Nyamwage

    JamiiForums Tanzania Hii miezi ya wakwanza, wasita, na wa kumi na mbili inawasumbua sana kimahesabu wenye nyumba au ni ukilaza wao tu au ni utapeli

    Habari Hivi mtu ukitoa kodi ya miezi sita itakayoanza kutumia tarehe 1-06-2023 inabidi iishe mwezi wa ngapi na tarehe ngapi maana hapa naambiwa eti itaisha tarehe 1-11-2023 bado sijalipia nataka kughaili maana mtu unamuelewesha haelewi
  15. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kila mwana Yanga SC unayekutana nae baada ya Kipigo anasema Inshaallah hivi ina maana USMA wao hii Inshaallah haiwahusu?

    Wanafiki wakubwa nyie yaani leo baada ya Kipigo cha jana kutoka kwa USMA ndiyo mnajifanya Kumjua Allah ( Mwenyezi Mungu ) mbona kabla ya Mechi yenu neno hili mlikuwa hamlitaji mara kwa mara? Kudadadeki imeshaisha hiyo.
  16. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Video: Watu wa namna hii wanapatikana wapi katika hii Nchi?

    Inashangaza halafu inahuzunisha, inafikirisha, inasikitisha, inaumiza sana. Unaweza uliza hawa watu wa hivi wanapatikana wapi nchini.
  17. Wakili wa shetani

    JamiiForums Tanzania Moja ya maeneo hatari nchi hii ni uwanja wa Benjamin Mkapa

    Huu uwanja ni moja ya sehemu hatari sana kwa maisha ya watanzania. Wakati wa mazishi ya JPM inasemekana watu arobaini walifariki kwa kukanyagana. Hatujui majeruhi walikuwa wangapi. Jana wakati wa mechi ya yanga inadaiwa kafa mmoja na majeruhi thelathini. Bado hapo ambao hupigwa na askari karibu...
  18. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji msaada. Nadhani nina tatizo, hii si hali ya kawaida

    Ni miaka mingi sana kuna jambo nikiona mwanamke anafanya nachanganyikiwa kabisa. Na huwa napenda sana linanisisimua sana mwili. Napenda sana kumwona mwanamke anakojoa. Yaani kama ni mpenzi wangu nitataka achuchumae akoje nimwone huku nashika shika mkojo wake. Halafu nimnawishe. Au kama...
  19. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Hii milioni 20 ya Rais Samia mbona kama imetumika tofauti na maelezo? Tazama hapa

    Poleni sana Wananchi kwa kupoteza mchezo jana. Naamini nafasi bado ipo kama mtaenda na mipango na mbinu sahihi ugenini. Nikirudi kwenye mada hapa, shida yangu ipo kwenye namna ya ahadi ya Rais kuhusu kutoa Milioni ishirini na namna ilivyofanyika. Mjadala huu haufungamani na upande wowote...
  20. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mbona Sura za wana Yanga SC zimekosa Ushirikiano Jioni hii na Usiku huu kama vile Wamesingiziwa Kesi?

    Hakika Mwarabu ni Mtu mbaya sana.
Back
Top Bottom