Hii sasa ishakuwa noma: Tundu Lissu anashangiliwa mikutano yote Kanda ya ziwa

Mazee hii sasa ishakuwa noma. Tulitegemea kanda ya ziwa watamsusia Tundu Lissu sasa hali.imekuwa yofauti.

Sisi Chawa wa Mama saitakuwaje?
Anasema yeye alisimamia haki kipindi chote cha Awamu ya tano pamoja na shida na taabu walizopata.

Mwitikio wa wananchi ni makofi na kumwambia Hongera sana.

Hii inawavunja moyo mahasimu wao.
 
Anasema yeye alisimamia haki kipindi chote cha Awamu ya tano pamoja na shida na taabu walizopata.

Mwitikio wa wananchi ni makofi na kumwambia Hongera sana.

Hii inawavunja moyo mahasimu wao.
Na poleee... ila Lissu kapoteza nguvu na jasho lake sana kuipigania kanda ya ziwa ndo maana anaeleweka na kukubalika sana! CCM haina ubavu wa kuita mikutano nane na ikajaa kwa siku...
 
Na poleee... ila Lissu kapoteza nguvu na jasho lake sana kuipigania kanda ya ziwa ndo maana anaeleweka na kukubalika sana! CCM haina ubavu wa kuita mikutano nane na ikajaa kwa siku...
Aisee hii program inayoemdelea imempa fursa Tundu Lissu kujisafisha uchafu woote aliovikwa eti ni Dalali wa mabeberu. Amefutilia mbali.
 
Mazee hii sasa ishakuwa noma. Tulitegemea kanda ya ziwa watamsusia Tundu Lissu sasa hali.imekuwa yofauti.

Sisi Chawa wa Mama saitakuwaje?
Ni Kweli anapata mapokezi makubwa,

Jitihada zinahitajika kuwarudisha vijana kushiriki HAKI Yao ya msingi ya kuchagua na kuchaguliwa.

Kuna ujinga wanaambukizana kuwa kupiga kura ni ujinga sababu Eti zinaibwa!!

Wapo wengi walisusa hata kuhesabiwa sensa,wengine walisusia zoezi la Nida vile vile.

Lissu akipata kura chache sana 2020 sababu kuu ni vijana kususia uchaguzi.

CDM msisahau jambo Hilo muhimu.

ELIMU, ELIMU, ELIMU YA URAIA🙏🙏🙏
 
Ndo tusiishie kufurahia mikusanyiko ya WAZI mikutanoni ilhali siku ya Uchaguzi wanaotumia kulewa!!!

Waambiwe hadharani kuwa, wakiendelea kususia jambo Hilo muhimu, watakula walipopeleka mboga!!! Cc Tindo.
Kwa hili sina wasi wasi na vijana.

Shida yangu ni mafisadi ndani ya nchi.

Shida yangu ni vyombo vilivyopewa mamlaka ya kusimamia maslahi ya Nchi/ Taifa lakini vinasimamia maslahi binafsi ya kikundi cha watu
 
Kwa hili nakataa. Umesahau Mabox yaliibwa na Mawakala kuzuiwa vituoni? Au mwenzetu hukua Nchini?
Nakubali zoezi lilichafuliwa,

Na tuliona wazi kura feki,

Lakini pia ni UKWELI usofichika kuwa ushiriki wa vijana ktk uchaguzi 2020 ulikuwa chini sana.

Data za Nec za waliojiandikisha, waliojitokeza kupiga kura ni chache sana.

Vijana acheni ujinga, maisha ni HALISI Si Bahati, acheni Betting na ulevi, na UZINZI,

Wazazi wamechoka kuzika vijana wao before time!!!

Simba na Yanga mnajitokeza, mkiambiwa changieni harakati za siasa, mnadai nati zimekaza!!!

Tubadilike 🙏🙏🙏
 
Kwa hili sina wasi wasi na vijana.

Shida yangu ni mafisadi ndani ya nchi.

Shida yangu ni vyombo vilivyopewa mamlaka ya kusimamia maslahi ya Nchi/ Taifa lakini vinasimamia maslahi binafsi ya kikundi cha watu
Vijana wakijitokeza hayupo wa kuwazuia.

Imekuwa kawaida, vijana kusubiri wapewe mafuta kumsindikiza Mwanasiasa Viwanjani kisha wanarudi kwenye ajira zao za boda na wasisikize ujumbe!!!

Tujitokeze kushiriki mustakabali wa Nchi yetu.

Amen.
 
Vijana wakijitokeza hayupo wa kuwazuia.

Imekuwa kawaida, vijana kusubiri wapewe mafuta kumsindikiza Mwanasiasa Viwanjani kisha wanarudi kwenye ajira zao za boda na wasisikize ujumbe!!!

Tujitokeze kushiriki mustakabali wa Nchi yetu.

Amen.
😅😅😅
 
Namsubiria huku kaburini aje kutubu bado hatujasahau atanikuta nimuhoji maswali yangu muhimu.

Hata hivyo nilijuwa siku itafika wanao mchafua jpm ndo watamsafisha wenyewe.
 
Wasimamizi wa ccm wengine walikiri kuwa walilabidhiwa maraketi ya Ticket feki na kwenda kutumbukiza kwenye masanduku.

Ktk hali kama hii unashindaje?
Nikwambie Kweli,

Vijana wakijitokeza wahuni huiba kura lakini wanashindwa,

Uchaguzi wa 2015 vijana wakijitokeza kuhakikisha Nchi inapata mabadiliko bila kujali ufisadi wa Lowwaaa bt mshindi akawaangusha wapiga kura Kwa kutotoka kudai HAKI ya ushindi,

Tulishuhudia wakichoma kadi za kura na kuapa kutoshiriki tena chaguzi,

So Lissu kama Makamo ajue kuwa vijana kura za Siri hawaziamini tena,

Mkutanoni watakuja, kuja kupiga kura hawaji!!!!

Hilo linahitaji Mbinu za haraka,

2024 Iko mlangoni!!!
 
Back
Top Bottom