Ukihitaji salamu subiri kwanza nizeeke,tofauti na hapo utaula wa chuya!
"Watu wanaopaswa kufa kwenye hii nchi ni wengi kuliko walio hai"
Hii nchi ya Tanzania bila kuwa na kiongozi Katili,muonevu,mtoa amri za kutisha na asiye cheka cheka ovyo hatuwezi kusonga!.
Mfano mzuri ni Chuma Cha Pua...