Wakubwa shikamoo
Tuliolingana Mambo Vipi!!
Wakuu naomba nipo mwaka wa tatu, nasomea Diploma ya Clinacal Officer, CO
Wiki ijayo tunaenda Field
Sasa kinachonishangaza ni hizi gharama za Field tulizoambiwa tutoa
Hapa chuoni kwetu kuna wanaotoa 170,000, wengine 180,000 mpaka 200,000
Hizo hela...