Wenzetu wanapenda dini yao usipime. Huku kwetu kumekucha. Watu wananunua nguo usipime! Nyama hakuna! Kuku wote wameisha sokoni! Bata nao leo wamepata soko!
Vimbuzi vinalia!
Mbuzi Katoliki kwisha!😳🤭🤔🥱
Waje Leo Waondoka Leo!
Wakuu,
Mkataba wa Rudd ulikuwa makubaliano muhimu ya haki za madini yaliyosainiwa mnamo Oktoba 30, 1888, kati ya Mfalme Lobengula wa Matabeleland na mawakala waliomwakilisha mfalme wa kikoloni wa Uingereza, Cecil Rhodes. Hati hii ilikua msingi wa kisheria wa ukoloni wa Uingereza katika eneo...
Tarehe 1 Jan 2026 (yaani Leo) nimesafiri kuja DSM, ninapoishi, kwa gari la KLM.
Kabla ya hii safari nilichukua lodge uchwara karibu na ofisi za Kilimanjaro hotel (bei elf 20). Wakati naenda kuchukua lodge ilikua majira ya saa kumi na mbili jioni. Nikapumzika mpaka saa tano, ilivyofika saa tano...
Salamu wakuu.
Ndani ya siku hizi mbili tatu nimekuwa na ukimya usio wa kawaida ndani ya jukwaa hili na si kawaida yangu kupotea kwa muda mrefu kiasi hicho.
Ukweli ni kwamba nilikumbwa na tukio la uvamizi usiku wa XMAS tarehe 25 December baada ya kuvamiwa na vibaka, majambalika, wakulungwa wa...
Hamjambo!
1. Kama mnakumbuka vizuri. Baada ya MO29 moja ya mbinu nilizoandika zitakazoshusha hasira za watu ni pamoja na Samia Suluhu kutozungumza zungumza mara kwa mara kwenye luninga.
2. Mbinu hiyo inafanya kazi haswa tena ni mbinu kamilifu hasa ukiwa upo upper hand. Lakini ukiwa lower hand...
Wakuu habari,
Hizi ni baadhi ya picha na video za Mgombea Ubunge Jimbo la Ubungo kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Professa Kitila Mkumbo akipita mtaani kusaka kura kutoka kwa wananchi kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025
Je, ataendelea na muenendo huu wa kufanya ziara Mtaani katika Jimbo lake...
Katika huu mwaka wa uchaguzi Kila kipindi CCM ikiwa inapitia hekaheka nzito vyama kama ACT na CHAUMMA navyo Huwa vinaingiza mkia nyuma lakini huko CCM kukipoa ACT na CHAUMMA utawasikia wanapata makali.
Saiv usikii chaka to chaka usikii watu wakinadi sera zao lakini kipindi CCM wakipata afadhali...
Mipira imeisha
Pesa za Abdul zimeisha
Chauma imedoda
ACT imedoda
Tumezunguka uwanja wee Sasa tumerudi kwenye original starting point ya Chadema.
Ni Kama tulipoteza muda wetu bure na makusudi
Usanii wote na mamipila yenu kuwapumbaza Watanzania yameisha Sasa.
Tunahitaji reform sasa buddy...
Wakati Kampuni ya Mabasi ya Shabiby Line ikiwa kwenye maandalizi ya kuanza safari zake za Dar -Tanga, Tanga-Dar kila siku, tayari baadhi ya wamiliki wa mabasi wenyeji wameanza 'kukuna vichwa' wakipanga mikakati ya kuongeza mabasi ya kisasa ili kumudu ushindani.
Habari kutoka mtandao mmoja wa...
TRA sijui niseme wamekosa ubunifu ktk kutoa huduma zao au wapowapo tu kutumia nguvu ktk kutimiza majukumu yao?
Ili uweze kupata nambari ya mlipa kodi TIN nilazima uwe na na kitambulisho cha NIDA,ambao nao wapowapo tu kama msumari nilazima wagongwe ndio waendee,mtu akienda kuomba TIN na hana...
Kuna vijiminong'ono!
Kwamba Je, ilikua haki Rais Samia kukubali kusalimiwa na Mamge kimambi aliyewahi kuutukana utawala wa awamu ya TANO?
Jibu ni ndiyo!
Rais alikuwa sahihi kabisa kwasababu zifuatazo;
1. Rais alihudhuria mkutano na kuongea na watanzania waishio Marekani, hivyo kukataa...
Unakuta mzee kabakisha miaka miwili au mmoja astaafu anaanza kuwa na hofu ya maisha baada ya kustaafu ile hali inampelekea awe katili sana linapoluja suala la pesa.Kila safari inayokuja analazimisha ahusike hata activities ambazo zinapendeza aachie Vijana anang’ang’ania.Sio vizuri kwa kweli...
Wajumbe wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), leo Septemba 25, 2023 wamejikuta katika wakati mgumu baada ya kuzuiliwa kufanya kikao chao cha dharura cha Baraza la Taifa la CWT
Wakizungumza nje ya geti la makao makuu ya chama hicho Jijini Dodoma wamesema wameshangazwa na kitendo hicho kwani wao...
WAHUSIKA
Gerbet == Gily
Mkuu wa kituo == mshamba_hachekwi
Muuza mahindi == Analyse
Wahusika wengine watakuja mbeleni
KIJIJI CHA WAKAMOTO:
Kijana msomi Gerbet anamaliza masomo yake ya udakatari na kupangiwa katika kijiji kiitwacho WakaMoto kwa ajili ya kupata kazi hapo, safari inaanza...
UPDATE
Simulizi hii ina misimu mitatu (three seasons) na zote zitakuwepo kwenye uzi huu huu.
1st season ina episodes 4 tu japo ndefu ndefu kiasi.
2nd season ipo post #90 na episodes zake ni fupi fupi...
3rd season #237
UTANGULIZI
Maisha baada ya kustaafu huwa yana ‘stress’ nyingi. Kujaribu...
Ni takriban kilomita 300 kutoka Iringa mjini kwenda Iringa vijijini tarafa ya Idodi.
Ni Tungamalenga, tulifika huko kwa ziara ya Siku mbili. Shoo inaanza ni mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara siku ambayo Yanga alikula 3-mtungi pale Shamba la bibi dhidi ya Kagera Sugar ya wakata miwa na Mecky...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.