Kuna vijiminong'ono!
Kwamba Je, ilikua haki Rais Samia kukubali kusalimiwa na Mamge kimambi aliyewahi kuutukana utawala wa awamu ya TANO?
Jibu ni ndiyo!
Rais alikuwa sahihi kabisa kwasababu zifuatazo;
1. Rais alihudhuria mkutano na kuongea na watanzania waishio Marekani, hivyo kukataa...
Unakuta mzee kabakisha miaka miwili au mmoja astaafu anaanza kuwa na hofu ya maisha baada ya kustaafu ile hali inampelekea awe katili sana linapoluja suala la pesa.Kila safari inayokuja analazimisha ahusike hata activities ambazo zinapendeza aachie Vijana anang’ang’ania.Sio vizuri kwa kweli...
Wajumbe wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), leo Septemba 25, 2023 wamejikuta katika wakati mgumu baada ya kuzuiliwa kufanya kikao chao cha dharura cha Baraza la Taifa la CWT
Wakizungumza nje ya geti la makao makuu ya chama hicho Jijini Dodoma wamesema wameshangazwa na kitendo hicho kwani wao...
WAHUSIKA
Gerbet == Gily
Mkuu wa kituo == mshamba_hachekwi
Muuza mahindi == Analyse
Wahusika wengine watakuja mbeleni
KIJIJI CHA WAKAMOTO:
Kijana msomi Gerbet anamaliza masomo yake ya udakatari na kupangiwa katika kijiji kiitwacho WakaMoto kwa ajili ya kupata kazi hapo, safari inaanza...
UPDATE
Simulizi hii ina misimu mitatu (three seasons) na zote zitakuwepo kwenye uzi huu huu.
1st season ina episodes 4 tu japo ndefu ndefu kiasi.
2nd season ipo post #90 na episodes zake ni fupi fupi...
3rd season #237
UTANGULIZI
Maisha baada ya kustaafu huwa yana ‘stress’ nyingi. Kujaribu...
Ni takriban kilomita 300 kutoka Iringa mjini kwenda Iringa vijijini tarafa ya Idodi.
Ni Tungamalenga, tulifika huko kwa ziara ya Siku mbili. Shoo inaanza ni mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara siku ambayo Yanga alikula 3-mtungi pale Shamba la bibi dhidi ya Kagera Sugar ya wakata miwa na Mecky...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.