hekaheka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Uchambuzi: Kwanini Rais Samia hakukataa kusalimiana na Mange

    Kuna vijiminong'ono! Kwamba Je, ilikua haki Rais Samia kukubali kusalimiwa na Mamge kimambi aliyewahi kuutukana utawala wa awamu ya TANO? Jibu ni ndiyo! Rais alikuwa sahihi kabisa kwasababu zifuatazo; 1. Rais alihudhuria mkutano na kuongea na watanzania waishio Marekani, hivyo kukataa...
  2. ndege JOHN

    Wazee mnaokaribia kustaafu jipumzisheni basi na hekaheka za kikazi

    Unakuta mzee kabakisha miaka miwili au mmoja astaafu anaanza kuwa na hofu ya maisha baada ya kustaafu ile hali inampelekea awe katili sana linapoluja suala la pesa.Kila safari inayokuja analazimisha ahusike hata activities ambazo zinapendeza aachie Vijana anang’ang’ania.Sio vizuri kwa kweli...
  3. mjasiriamali mdogo

    Wadau natafuta season zenye hekaheka mwanzo mwisho

    Wadau natafuta series zenye ladha kama hizi; Six Flying Dragon na Gwaggaeto, zenye siasa na mapigano kwa wingi.
  4. JanguKamaJangu

    Wajumbe wa CWT wapata hekaheka kufanya kikao, Polisi waingilia kati

    Wajumbe wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), leo Septemba 25, 2023 wamejikuta katika wakati mgumu baada ya kuzuiliwa kufanya kikao chao cha dharura cha Baraza la Taifa la CWT Wakizungumza nje ya geti la makao makuu ya chama hicho Jijini Dodoma wamesema wameshangazwa na kitendo hicho kwani wao...
  5. Binadamu Mtakatifu

    Simulizi: Kijiji cha Wakamoto na hekaheka za Gerbet

    WAHUSIKA Gerbet == Gily Mkuu wa kituo == mshamba_hachekwi Muuza mahindi == Analyse Wahusika wengine watakuja mbeleni KIJIJI CHA WAKAMOTO: Kijana msomi Gerbet anamaliza masomo yake ya udakatari na kupangiwa katika kijiji kiitwacho WakaMoto kwa ajili ya kupata kazi hapo, safari inaanza...
  6. JBourne59

    Hekaheka Uzeeni

    UPDATE Simulizi hii ina misimu mitatu (three seasons) na zote zitakuwepo kwenye uzi huu huu. 1st season ina episodes 4 tu japo ndefu ndefu kiasi. 2nd season ipo post #90 na episodes zake ni fupi fupi... 3rd season #237 UTANGULIZI Maisha baada ya kustaafu huwa yana ‘stress’ nyingi. Kujaribu...
  7. Peter Mwaihola

    Hekaheka za kibanda umiza

    Ni takriban kilomita 300 kutoka Iringa mjini kwenda Iringa vijijini tarafa ya Idodi. Ni Tungamalenga, tulifika huko kwa ziara ya Siku mbili. Shoo inaanza ni mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara siku ambayo Yanga alikula 3-mtungi pale Shamba la bibi dhidi ya Kagera Sugar ya wakata miwa na Mecky...
Back
Top Bottom