Ikifika hivyo 2014 enzi za jk.
Ikashuka 2016.
Sasa imerudi kwa kasi. Au na soda zinatokea rusia?
Bila kuchukua hatua dhidi ya mfumuko wa Bei umaarufu wa Samia utashuka kwa Kasi ya 4 g
Habari waungwana..... Huu ndiyo muda muafaka wa kuwahama azam na kwenda kwenye full hd DSTV maana kifurushi cha Azam cha bei ya juu TSH 35,000 channel zake hazifikii kifurushi cha DSTV cha TSH 21,000.
Kwaherini Azam mlinifaa Sana kwa kipindi nilichokuwa nanyi na huu ndiyo muda rasmi wa...
Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai (kushoto) leo Aprili 13, 2022 amehudhuria kikao cha kwanza cha Bunge tangu kujiuzulu wadhifa huo Januari 6, 2022. Pichani akiteta jambo na Mbunge wa Ushetu, Emmanuel Cherehani.
Chanzo: TBC online
Ndugu mteja, kuanzia 01/04/2022, kuna mabadiliko ya bei kwa baadhi ya vifurushi; cha 20,000 kuwa 23,000; 13,000 kuwa 15,000; 4,000 kuwa 5,000: na 800 Kuwa 1000.
Vita ya Urusi na Ukraine inatuonyesha mambo.
Shangwe limeibuka kwa wakazi wa Rwanda na Uganda baada ya mpaka Gatuna unaotenganisha nchi hizo, kufunguliwa rasmi leo Jumatatu.
Mpaka huo uliopo wilaya ya Gicumbi ulifungwa mwaka 2019 kutokana na maelewano mabovu baina ya nchi hizo mbili ambazo ni majirani...
Wapenda bure kilio chetu kimesikika na hatimaye chanel za ndani zimeanza kupatikana/kuonekana bila kujali una kifurushi au la.
Mimi kwangu nabadili tu chanel mara clouds sijakaa sawa chanel ten kidogo eatv nk
Nipeni mrejesho Wapenda bure wenzangu
Uzi tayari
===========================
Mwanzoni mwa mwezi huu wa pili 2022 kuliibuka ghafla na kwa kasi ya ajabu jitihada za makusudi za kujaribu kuwaondoa wamasai katika ardhi zao za kimila huko Ngorongoro kwa madai ya kwamba binadamu wamekuwa wengi huko Ngorongoro na hivyo wanaharibu ekolojia.
Vita...
Baada ya kuwa na matokeo mabaya hivi karibuni ikiwemo kufungwa na kupata sare, Manchester United imefanikiwa kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Brighton katika mchezo wa Premier League.
Mchezo huo uliochezwa usiku wa kuamkia leo Februari 16, 2022, mabao yamefungwa na Cristiano Ronaldo ambaye...
Nawashukuru sana mods JamiiForums kwa kufanikisha hili, pia members wote humu mmeni inspire kwa michango yenu mizuri ikafanya mpaka nikaamua kujiunga.
Ahsante sana, itapendeza kama mkanikaribisha kwa Likes, comment, ..
Shirika la Umeme nchini (TANESCO), limetangaza rasmi kuanza mgao wa umeme wa siku 10 kwa nchi nzima ili kuruhusu matengenezo ya mitambo ya kufua umeme kote nchini. Mgao huo utaanza Februari Mosi hadi 10 mwaka huu.
========
TANESCO KUFANYA MABORESHO KWENYE VITUO VYAKE VYA UZALISHAJI UMEME VYA...
SERIKALI YARUHUSU WAFANYABIASHARA KUREJEA KARUME KWA MPANGO MZURI.
- Umati walipuka kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan.
- RC Makalla apokea taarifa ya ripoti ya Kamati iliyoundwa kuchunguza Chanzo Cha Moto.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameruhusu...
Haya Comrade Waziri Nape Mwenyezi Mungu akupe nini na Wewe pitia hapo hapo kuhusu lile Sakata la Kuvamia Clouds Media Group kisha tutawahimiza na Wengine akina Manji nao waje na Mashtaka yao ili mradi huyu Mtu aozee kabisa Jela.
Habari ya Mahakama kuamua Makonda akamatwe upesi ipo katika Gazeti...
Kwamujibu wa shirika la takwimu la Taifa ( NBS ) hadi mwishoni mwamwaka jana na mwanzoni mwamwaka huu Pato Ghafi la Taifa kwa bei ya wakati ( GDP at current price) lilifikia TZS 148.522Trilioni ,
Kwa mujibu wa majarida maarufu ya "The Statistics Time " na "Briefly " yameitaja Tanzania kuwa...
Tanzania ndio kwaheri World Cup 2022 atakaye songa mbele kwenye hili kundi ataamuliwa Kinshasa siku ya jumapili kati ya Congo DR na Benin.
Atakayeshinda mechi hiyo ndio ataenda kwenye playoff na wakitoka sare Benin itafuzu kwenda playoff. Mechi ya Tanzania na Madagascar itakuwa ya kukamilisha...
Kutokana na shauku kubwa ya maendeleo niliyo nayo na ukizingatia kuwa nchi yetu ina kila mazingira ya kutufanya uchumi wa nchi yetu ukuwe kuliko mataifa mengi, ndipo najiuliza hiki chama tulichokipa dhamana kituongoze kina mpango wowote kutupeleka huko!?
Au mpango wao ni kupambana na wapinzani...
Kudadadadeeeki Mwijaku oyeeeeeeee shikilia hapohapo hapo hapoooooooo Mwijaku kasababisha sukule lopolopo la dunia kukiri kwamba liliajiriwa simba jamaa ni BIPOLAR CASE last week lilitoa mkwara kwamba linafungua case kwa kufanyishwa kazi bila kuajiriwa leo linakiri kwamba limeajiriwa
kwenye...
Memba anayependwa na wakati huohuo uonewa wivu GENTAMYCINE ameanza kupevuka kiakili maana nyuzi anazoweka jf sasahivi ni konki na fikirishi kinoma.
Nachukua nafasi hii kumpongeza kwa kuanza kujua kiakili.
Heko popoma letu. GENTAMYCINE
Baada ya kusota sana mtaani hatimaye nuru imeonekana.
Kwa kifupi nilisoma ngazi ya degree lakini sikuweza kuhitimu kutokana na masuala ya kifedha.
Misukosuko iliniandama baada ya mzazi kuumwa sana hivyo uchumi uliyumba sana hivyo nilipostpone .
Baadaye nika resume masomo hivyo hivyo kibishi...
Rais Samia Suluhu Hassan hatimaye amkumbuka Ridhiwani Kikwete, hii ikiwa ni baada ya kusahaulika kwa kipindi kirefu | Viva Tanzania Viva
" Hakuna kama Samia "
Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza ahadi yake kwa kupeleka Vifaa tiba Hospitali ya Wilaya ya Chalinze vyenye thamani ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.