system hacker
JF-Expert Member
- Mar 13, 2022
- 426
- 706
Ndio. Finally, nimekuja kubaini hili. Ukiwanyoosha wanaume wenzio unakula shavu. Haijalishi upo chama gani.
Kama upo CCM halafu ukawanyoosha CCM unakula shavu.
Kama upo CHADEMA na ukawanyoosha CHADEMA unakula shavu.
Kama upo CHADEMA na ukawanyoosha CCM unakula shavu.
Kama upo CCM na ukawanyoosha CHADEMA unakula shavu.
Tahadhari: Usinyooshe Serikali. Usiguse Serikali. Usinyooshe huku na kule. Chagua upande moja kwa moja usiyumbe.
Yaani, hii ni nchi ya kunyooshana. Ni nchi ngumu sana ya kiume. Ukiwa legelege hauli. Sio tu hauli maisha bali hata wanawake hauli.
Prove me wrong!
Kama upo CCM halafu ukawanyoosha CCM unakula shavu.
Kama upo CHADEMA na ukawanyoosha CHADEMA unakula shavu.
Kama upo CHADEMA na ukawanyoosha CCM unakula shavu.
Kama upo CCM na ukawanyoosha CHADEMA unakula shavu.
Tahadhari: Usinyooshe Serikali. Usiguse Serikali. Usinyooshe huku na kule. Chagua upande moja kwa moja usiyumbe.
Yaani, hii ni nchi ya kunyooshana. Ni nchi ngumu sana ya kiume. Ukiwa legelege hauli. Sio tu hauli maisha bali hata wanawake hauli.
Prove me wrong!