Mtunzi wa Shairi- Anna Meleiya Mbise (annambise2015@gmail.com)
Jina la Shairi – Mwarubaini wa Haki
Mwarubaini wa Haki
1. Amani tunda la haki, kukua lataka wote,
Wenye viti nazo dhiki, pamoja tunda liote,
Na lenyewe si kisiki, halipendi hali tete,
Lashamiri lanawiri, penye uongozi makini...