Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,245
Mange Kimambi anaweza kuishtakiwa kwa kuvunja haki za binadamu ikwemo udhalilishaji, ndio maana Instagram waliondoa account yake kwa kosa la kudhalilisha binadamu.
Biashara ya kuuza video mtandaoni ni ngumu kwasababu Watumiaji wanaweza kuvujisha kwa kutumia simu nyingine kurekodi video hiyo ambayo imezuiwa na Admin kutizamwa na Watumiaji wasiolipia na kushare kwa watu wengine ambao wameshindwa kuifikia.
Mange alipaswa kuanzisha mtandao rafiki kwa Watumiaji na sio kero kwa baadhi ya watu wengine.
Biashara ya kuuza video mtandaoni ni ngumu kwasababu Watumiaji wanaweza kuvujisha kwa kutumia simu nyingine kurekodi video hiyo ambayo imezuiwa na Admin kutizamwa na Watumiaji wasiolipia na kushare kwa watu wengine ambao wameshindwa kuifikia.
Mange alipaswa kuanzisha mtandao rafiki kwa Watumiaji na sio kero kwa baadhi ya watu wengine.