Salam wakuu,
Naomba nijaziwe nyama kuhusu undani wa hiki kikundi. Nimeichukulia poa kwa muda mrefu lakini sasa naanza kuwaona serious.
Who are they? Background, Majukummu yao, Historia yao , Alies wao n.k
Nina mpango wa kumshauri Mwenyekiti wa EAC tuwaapeleke DRC kwa asilimia 100.
TUTACHANGA...