group

  1. data

    Kwanini unamuingiza mtu kwenye kundi (group) bila ridhaa yake?

    Ewe admin, Labda mtoto wako anaoa, anagraduate, kipaimara, au la shule huko, hivi kwanini una muadd mtu tu bila taarifa? Yaani nani kakwambia kwamba I'm interested in groups' chat? Halafu nani kawaambieni nyinyi maadmin kwamba ukimuadd mtu then akaleft hataki shirikiana nanyi? Kwani ukishanipa...
  2. D

    Ushauri wangu Tanesco; Wakati huu wa mgao Futeni kwa muda ma group yote ya whatsapp kwa wateja wenu! Mtanishukuru baadae

    Huduma ni pamoja na kujua kuzichanga karata! Cha msingi lengo ni huduma bora! Dakitali mzuri ni yule anaepambana OP room halafu akitoka inje anarudi na jibu la kueleweka kwamba mgonjwa kafa au kapona! Lakini dakitali anaetoka O.P room kila muda kuongea na ndugu kwamba mgonjwa kapiga chafya...
  3. ninosi

    KUELEKEA HATUA YA MAKUNDI CAFCC: Nazionea huruma sana St. Eloi Lupopo na US Monastir

    Matokeo ya mechi (In Aggregate) za playoff za kuwania hatua ya makundi za CAFCC katika msimu wa 2022/23 ni kama ifuatavyo: Marumo Gallants 3-1 Al Ahli Tripoli CS Sfaxien 1-2 ASKO St Eloi Lupopo 1-0 RC Kadiogo Diables Noirs 6-2 La Passe Al Akhdar 4-4 Plateau United Club Africain 0-1 Yanga Future...
  4. ninosi

    Nilichojifunza kutoka timu za Tanzania ambazo zimefuzu group stages za CAFCC na CAFCL

    Mwaka jana vijana wangu wawili walikuwa wanafanya mitihani yao ya Taifa. Mkubwa alikuwa akifanya mitihani ya kidato cha 4 na huyu wa mwisho alikuwa akifanya mitihani ya darasa la 4. Matokeo yao yalipotoka mwaka huu yalikuwa hivi:- 1. Huyu wa darasa la 4 alifaulu kwa kupata A zote. Nyumbani...
  5. GENTAMYCINE

    Je, wana Yanga SC baada ya Kufuzu hatua ya makundi CAFCC tuendelee kuliita hili ni Kombe la 'Losers'?

    "Simba SC (Makolo) waache kujitutumua kushiriki hilo, Kombe la Shirikisho kwani ni Kombe la watu walioshindwa (Losers) na wanamume pekee wamebaki kule Kombe la Klabu Bingwa na ndiyo wa kuwaheshimu", Mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC Haji Manara. Nitashukuru sana mno wana Yanga SC wote (hasa hasa...
  6. Gordian Anduru

    Ndani ya miaka mitatu Al Hilal imeingia hatua ya makundi mara tatu, Simba mara moja tu!

    Mwaka 2019/20 Al Hilal waliingia hatua ya makundi wakati Simba iliondoshwa mapema na Ud Songo. Mwaka 2020/21 wote Simba na Al Hilal waliingia hatua ya makundi. Mwaka 2021/22 Al Hilal walitinga hatua ya makundi na Simba iliondoshwa mapema na Jwaneng Galaxy. Kumbe ndiyo maana Al Hilal...
  7. BARD AI

    Commonwealth Observer Group publishes final report on Zambia’s 2021 elections

    The Commonwealth Observer Group (COG) to Zambia released its final report on the 2021 general elections, which saw Hakainde Hichilema become the country’s seventh President. The 14-member delegation, led by the former President of Tanzania, H.E. Dr Jakaya Kikwete, concluded that despite some...
  8. Checnoris

    Dance groups wanayocheza barabarani kwa kisingizio cha kumtumikia Mungu wapimwe akili

    Haya makundi ya wacheza muziki kumsifia Yesu si sahihi(hii style ya kupiga (mauno) Wanafanya makosa makubwa katika Imani inayohusu waumini lukuki. Mbaya zaidi wanawashirikisha watoto wadogo chini ya miaka 18. Haki za Watoto zinabakwa.
  9. Gordian Anduru

    Jionee mwenyewe Yanga na Al hilal nani zaidi? Group stage caf confederation cup 2018

    Kipindi hicho 2018 Yanga na Al hilal walifanikiwa kuingia group stage 2018 kombe la shirikisho ukilinganisha takwimu zao utagundua kuwa Al hilal ni timu ya kawaida sana Si kama wanavyoipaisha wachambuzi wa kibongo
  10. Jamii Opportunities

    Subcontracting Officer – Logistics at Alistair Group

    Subcontracting Officer – Logistics Dar es Salaam Alistair Group Alistair Group makes our clients’ businesses work better in Africa by self-delivering integrated logistics solutions. Are you someone with a “hunger for growth”, a “whatever it takes mentality” and understand the advantages of a...
  11. Jamii Opportunities

    Economist at Tanzania Investment and Consultant Group Ltd

    Economist Dar es Salaam Tanzania Investment and Consultant Group Ltd Specializing in all aspects of Project Development ,Investment and Business consulting. EXCITING EMPLOYMENT OPPORTUNITY Tanzania Investment and Consultant Group Ltd is a consulting firm focused on serving the comprehensive...
  12. Jamii Opportunities

    Internship at Tanzania Investment and Consultant Group Ltd

    Position: Internship Dar es Salaam Tanzania Investment and Consultant Group Ltd Specializing in all aspects of Project Development ,Investment and Business consulting. EXCITING EMPLOYMENT OPPORTUNITY Tanzania Investment and Consultant Group Ltd is a consulting firm focused on serving the...
  13. Joseverest

    Klabu ya Yanga SC Yaingia Mkataba na Jackson Group

    Klabu ya Yanga leo Agosti 19, 2022 imetangaza kuingia mkataba wa miaka miwili na Kampuni ya Marketing ambayo ipo chini ya mtaalamu wa Marketing nchini KELVIN TWISA. Mkataba huo kati ya Johnson Group na Yanga SC unalenga kuinufaisha klabu hiyo kwa kufungua fursa zaidi kwa wawekezaji na...
  14. Kipenzi Changu

    Naweza kufanya group WhatsApp Call kwa watu zaidi ya 30?

    Hello watu kazi. Naombeni msaada nawezaje kufanya group call ya WhatsApp kwa participants zaidi 30? Nina group kubwa la wajasiriamali sometimes tunahitaji kufanya mjadala, tunashindwa kwa sababu ya limit ya paricipants
  15. Gordian Anduru

    Nimeyakumbuka Matokeo haya ya SIMBA GROUP STAGE 2019

    CODE NAMBA YA TANZANIA ni 255 na nchi yetu iliwakilishwa vyema msimu wa 2018
  16. Gordian Anduru

    Video: Yanga vs Al Ahly wakipigiana penalti baada ya Agreggate kulingana CAFCL 2014

    YANGA ikiwa ugenini inapiga mpira mkubwa mnooo, hapa Al ahly mashabiki walikuwa FULL HOUSE achana na hawa jamaa zetu waliokuwa wakicheza na Al ahly kukiwa na mashrti sharti ya Covid
  17. sky soldier

    Mtoto mdogo aliepotea Mbeya tangu 2020 anaedhaniwa aliibwa imebainika yupo Songwe kupitia group la Facebook, wazazi wapo kwenye harakati kumrudisha

    Ilikuwa ni tarehe 21-11-2020 siku ya Jumamos ambapo mtoto Nassir Jumanne mande mwangopola alipotea Chunya mjini, moja ya wilaya ya Mbeya. Wazazi wa mtoto, baba yake Jumanne Mwangopola na mama yake Shamimu Shabani walifanya jitihada kubwa kumtafuta lakini jitihada hazikuzaa matunda. Leo hii...
  18. Mathanzua

    Bioweapons: How safe are we?

    You can take someone's DNA and design a weapon that can kill him. People are therefore warned not to share health data harphazardly because it can be used to program new bio-weapons to target them. US Rep.Jason Crow warned that bio-weapons are now being made that use a target's DNA to only...
  19. M

    SI KWELI Watu wenye kundi la damu O+ hawawezi kupata maambukizi ya VVU/UKIMWI

    Kumekuwa na uvumi kuwa watu wenye kundi la damu O+ hawawezi kupata maambukizi ya VVU/ UKIMWI. Hata hivyo, wanasayansi wanasema kundi la damu halina uhusiano wowote na kutopata maambukizi ya UKIMWI. JE NI KWELI UKIWA NA KUNDI “O” LA DAMU HUWEZI PATA MAAMBUKIZI YA UKIMWI?
  20. Cheology

    The 17th Group of 20 (G20) Heads of State and Government Summit will take place in October 2022 in Bali, Indonesia

    Urusi imesema itakuwepo. ==== The 17th Group of 20 (G20) Heads of State and Government Summit will take place in October 2022 in Bali, Indonesia. Under the Indonesian Presidency, the G20 in 2022 will focus on the theme “Recover Together, Recover Stronger”. The Leaders' Summit is the climax of...
Back
Top Bottom