2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
Nikisema nilikua mpizani kindaki ndaki watu mnaona masihara.
Kwanzia leo nitakuwa natupia picha mpaka kampeni ziishe
Hakuna sehem kulikua na mkutano maandamano nikaacha kwenda kwa hapa Dar. Ila Lowassa alituangusha sana mana tulikua tayari kwa lolote.
Picha zote zilipigwa tarehe kama ya leo(📷 Google photos)
Kama una picha za chama chochote tupia tujikumbushe
Kwanzia leo nitakuwa natupia picha mpaka kampeni ziishe
Hakuna sehem kulikua na mkutano maandamano nikaacha kwenda kwa hapa Dar. Ila Lowassa alituangusha sana mana tulikua tayari kwa lolote.
Kama una picha za chama chochote tupia tujikumbushe