JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,327
- 9,328
Kama huyu alifungiwa redio waya wakachukulia kwenye battery, wakapush kile kiraba kinachozuia maji na takataka zingine kuingia ndani ya gari kutokea kwenye engine ili wapitishe waya. 👇👇
Bahati mbaya ule waya ulikuwa mnene hivyo raba haikuweza kurudi kukaa mahali pake kama ilivyokuwa mwanzo.
Matokeo yake panya wameingia and hii ndio outcome.
Panya wametafuna wires na kuzikata.
Na ubaya matatizo kama haya kwenye diagnosis sensor fulani ina shida. Usipojiongeza kucheki kama wire zipo sawa utabadili sensors na tatizo halitaisha.
Sometimes pia inakuwa ni ngumu kutrace wires na kujua wapi zimekatika hasa kama sehemu hiyo imejificha.
Bahati mbaya ule waya ulikuwa mnene hivyo raba haikuweza kurudi kukaa mahali pake kama ilivyokuwa mwanzo.
Matokeo yake panya wameingia and hii ndio outcome.
Panya wametafuna wires na kuzikata.
Na ubaya matatizo kama haya kwenye diagnosis sensor fulani ina shida. Usipojiongeza kucheki kama wire zipo sawa utabadili sensors na tatizo halitaisha.
Sometimes pia inakuwa ni ngumu kutrace wires na kujua wapi zimekatika hasa kama sehemu hiyo imejificha.