Heri ya krismass kwa wakristo wote
Kuelekea mwaka 2024 imebaki wiki moja.
Kunatabia ninaziacha mwaka huu👇
1. Kubeti
2. Futa account insta , fb na twitter
3. Kuacha kushabikia yanga
4. Kuacha kabisa ngono
Na-replace na hizi tabia👇
1. Kufanya mazoezi
2. Sala
3. Kujipenda mwenyewe
4. Kusoma...
Kuna shule nyingi zime simama shule kama
Tusiime
Zhabika
St Ane Maria
Fortune
Sahara
Abc school
FOUNTAIN GATE ACADEMY
GREENHILL PRIMARY SCHOOL
MAJMAAL BAHRAIN PRIMARY
STMAXIMILIAN PRIMARY SCHOOL - PS0202113
Ziko fire kwanini hawa Ask school wasumbue hivi??
Sijakosea. Nafahamu fika kuwa members wote wa JamiiForums tuna majengo makubwa sana hasa maeneo ya Sinza na Oestabey, lakini yote kwa yote, wengi wetu tumewahi panga vyumba kabla ya kujenga
Ni sharti lipi gumu uliwahi pewa na mwenye nyumba ndani ya nyumba yake ulipopanga kwake?
Kumekuwa na misemo mingi sana iliyotamba na kushika umaarufu mitaani kwetu. Wanajamvi tukumbushane hapa misemo iliyojipatia umaarufu nchini katika mwaka huu wa 2023 ambao umebakiza siku chache utamatike.
Natamani kujua,
Maana kwa uelewa wangu kama ni system ingeweza kuwa tofauti ya dakika tu, au angalau range ya masaa mawili kwa Kila mfanyakazi kupata mshahara,
Lakini Hali hii ya mpishano zaidi ya siku mbili mpaka tatu ni wazi Kuna shida mahali..
Wasi wasi wangu ni kuwa pengine mheshimiwa Raisi...
Nilijikuta niko kwenye nyumba yenye njia kama barabara ya kwenda underground floor (basement hivi). Kuta za hiyo nyumba zilipakwa rangi ya yellow (njano) na nilivyopiga kama nusu mzunguko niliona ukutani kulikuwa na picha ya nyoka mkubwa kichwa kama kilikuwa juu kama kwanye ground-floor kwa vile...
Mwaka 2023 unaenda mwishoni na mambo mengi yametokea. Tukiangalia huduma za kijamii pia kuna mengi yamefanyika lakini bado matatizo hayaishi.
Kwa upande wako vipi huduma gani imekuwa kero kubwa kwako?
Mshamba ni nani?
Jibu : Mshamba ni mshamba.
Haya sasa utamjuaje mshamba au huwa unatumia vigezo gani kuconclude kwamba mtu fulani ni mshamba?
Mimi huwaga naangalia vitu kadha wa kadha. Baadhi ya vitu hivyo ni hivi hapa chini👇
1. Akiwa anatumia True Caller.
Unapiga simu kwa Mwnyekiti...
Kwa Kiha yanaitwa KINULE!
Kwa Kiswahili yanaitwaje? Au ndiyo NGWARA?
Yanalimwa zaidi nchini Burundi. Ni watu wachache sana wanaoyalima Kigoma. Mengi yaliyopo "masokoni" Kigoma yametoka huko.
Kwa anayefahamu atusaidie jina kwa Kiswahili na upatikanaji wake ulivyo, na bei pia, katika miji...
Wakuu salamu kwenu, Heri ya mwaka mpya 2024.
Sasa wakuu, nahitaji kununua oven kwa ajiili ya matumizi ya familia ya watu 6-8.
Ni oven kampuni gani nzuri itanifaa na za ujazo wa litre ngapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.