Habari , kwa mliwahi pitia hii hali comedian Tom Daktari kapitia mnazungumziaje level of trusting colleagues.
https://youtu.be/weyJaQlchV8?si=W4MHw5DiFsmeuVUQ
Wakuu,
Leo nilikuwa nimekutana na clip moja ya huyu mchekeshaji anaitwa Ndaro huko Youtube
Nimejaribu kuangalia for at least 3 minutes kwa kweli nimeshindwa. Yaani jamaa hachekeshi kabisa
Lakini cha ajabu ni kwamba hiyo video ina views zaidi ya 400k.
Kuna huyo Ndaro, Steve Mweusi na yule...
Januari 10, 2014, historia ya televisheni nchini Tanzania ilibadilika kwa kuzinduliwa kwa kituo kipya cha TV1, kupitia StarTimes Channel nambari 103. Ikiwa sehemu ya kituo cha Viasat 1 kutoka Ghana, TV1 iliingia sokoni kwa kishindo, ikibeba ahadi kubwa ya kubadilisha jinsi Watanzania...
Habari wataalam.
Baada ya kujidunduliza sasa nimeamua niingie kwenye biashara yaani busines.
Naomba nipate japo ushauri kabla sijayamwaga haya mamilioni yangu.
Biashara ipi inalipa hapa Mbezi ya Magufuli - na eneo lote kwa ujumla?
karibuni ndugu wakiristo tuambiane Leo kanisani kumetokea miujiza gani kutoka kwa waumini nawachungaji
hasa kwamadhehebu ya walokole wakatoliki sidhani kama wanahaya mambo ya miujiza
waumini wakilokole tililikeni
aposto nawasikiliza
naanza Mimi kanisani kwangu kunamuumini alitumia chumvi...
Naomba msaada wako wa kisheria
Ikiwa nimeachichwa kazi isivyo halali nilikua na mkataba wa mwaka moja
Ambapo ulianza mwaka jana,
Nimeachishwa kazi mwaka huu kabla ya miezi 4 ya mkataba wangu kuisha na sababu zilizotolewa sio sahihi na procedures hazikufuatwa
Naomba kujua nikifungua shauri CMA...
Msimu wa 2025/26 unaelekea kuanza, nyota wa soka la Bongo Clatous Chotta Chama na Jonas Mkude waliokuwa Yanga kwa sasa wapo huru, mastaa hao waliowahi kuwa panga pangua kwenye kikosi cha Simba unadhani safari yao sasa itahamia wapi msimu ujao.
Laptop Gani Inafaa Kwa Kazi Yako? Usinunue Kabla Hujasoma Haya Mambo 7 Muhimu!
Kama unavyonunua mashine kwa mgodi au mtambo kwa kiwanda, laptop pia ni zana ya uzalishaji. Si mapambo.
Lakini watu wengi hununua kwa pupa—wanaangalia muonekano au bei ya chini—halafu baada ya wiki mbili wanaanza...
Habar wadau msaada wenu,Mzee wangu Umri miaka65 Leo umemkamata Mshipa wakorodani moja kuuma na nyonga kuachia,ikabid awahishwe hospital akapatiwa sindano Mshipa ukapoa,
Sasa nauliza tiba yake huwa ni nin,naje hospital Gani nzuri kufanya matibabu
Nauliza hivi kweli Rais anauzunika ANALIA wananchi mnaruka ruka mna adabu nyie kweli?
Nafahamu Pascally Mayalla na Proffesa Mussa Assad mnafurah ila ndo mkodi mziki?
Naomba mwekwe ndani mpaka azikwe.
Mdau mmoja kutoka katika mitandao ya kijamii alichapisha kipande hiki na kudokeza kuwa imetoka huko Arizona.
Tushirikiane kuthibitisha kwa kutaja dosari zinazoonekana.
Wakuu, najua humu jukwaani hususani kwenye hili jukwaa la Afya kuna watu wengi wenye maarifa mbalimbali yahusuyo afya, magonjwa na tiba. Sasa kuna hili tatizo nimekua nikiliona nimeona kwa mtu wa kwanza sasa nimeliona kwa mtu wa pili.
Mtu wa kwanza yeye kazi yake ni ulinzi. Huyu yeye tatizo...
Wakuu,
Baada ya kuambiwa kuwa hana uhalali wa kuzungumzia masuala ya CCM maana hana muda mrefu katika chama hicho, Pole pole leo amejotokeza kuhoji kuwa walitaka akae muda gani katika chama hicho ili ndio aweze kukosoa
Polepole anasema kuwa kuna wanataka wambague kwa sababu ya hoja ya kutokaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.