gani

Gani is both a given name and a surname. Notable people with the name include:

View More On Wikipedia.org
  1. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bashe alikosea kitu gani?

    Kama kuna mtu anajua nini huyu jamaa alokosea atutonye maana alikuwa waziri mbunifu na mwenye uwezo wa hali ya juu wa kujieleza
  2. M

    JamiiForums Tanzania Jenista Mhagama alikuwa Waziri wa Afya wakati wa maandamano, kaondoka na siri gani?

    1. Wananchi wangapi walipelekwa hospitali kupata matibabu kwa majeraha ya risasi? 2. Wananchi wangapi walikufa kwa risasi? 3. Miili ya wananchi wangapi walipewa ndugu zao? 4. Miili ya wananchi wangapi haikuchukuliwa na ndugu zao? Yeye kama waziri wa afya alijua taarifa hizi? Je, hizi taarifa...
  3. kyagata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi mkeo anapokuambia usimwagie ndani anakua na maana gani haswa?

    Kuna jamaa yangu kaniomba ushauri hapa. Anasema jana wakati wanabanjuana na mkewe..mkewe alimsisitiza eti asimwagie ndani. Sasa jamaa amechanganyikiwa hapa anasema iweje mkewe ampe hayo masharti..? Nikasema ngoja nije niwaulize wadau wa humu. Eti wakuu ina maana gani hiyo?
  4. KENZY

    JamiiForums Tanzania Itachukua muda kiasi gani binadamu kufikia ustaarabu wa asilimia mia moja!

    Nimekaa nikatathimini kuhusu ustaarabu naona tunasafari ndefu sana!, na hili ni moja kati ya swala nyeti maana linagusa katika kila sehemu!. iwe ni maendeleo,siasa,michezo,tamaduni,imani n.k hauwezi ukawa binadamu mwenye akili timamu kama hauzingatii ustaarabu!. Naghafirika sana pale napoona...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Ni bidhaa gani Tanzania zina msamaha wa kodi ukitaka kuagiza kutoka nje ya nchi?

    Wakuu,msada kwenye tuta tafadhali,kama kichwa kilivyojieleza hapo juu,niko mtupu kabisa kwenye engo hiyo,nmejaribu ku gugo sjapata chochote cha maana. Naomba wakuu mnisaidie hili. Nawasilisha "Ndonger,mkongwe kwenye jukwaa"
  6. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasanii sijui watumie njia gani kujirudi kwa wananchi. Wanajikuta wanaua tasnia kwa karanga za kuonjeshwa

    Wakuu! Wasanii tuwasamee au tuendelee kushikilia hapohapo mpaka kieleweke?
  7. Cannabis

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hii video iliyowekwa na Spika mstaafu Dr. Tulia Instagram ina maana gani?

    Kutoka Instagram, Dr. Tulia ameweka video ya binti akifanya usafi kwa kufagia na kushindwa kutoa jani ambalo limeanguka chini kwa kutumia mfagio wake. Kwa hali ya kushangaza binti huyo anaonekana akihangaika kuchukua mashine ya kufanyia usafi (leaf blower) kujaribu kulivuta jani hilo bila...
  8. October 2pm

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kanisa Katoliki lipo tangu Karne ya 4, huyu Mama ana jipya gani kulitisha?

    Ajizima na kujiwasha mshumaa hee. Kitima kumchana makavu apiga kelele hee. Kanisa moja takatifu la mitume limeishi na serikali aina zote wee Samia unajipya gani wee. Kipi hasa utishe watu. Waambiwa ukweli wajiliza sio. Ubabe waonyeshee hao. Huku umekikwaa kisiki cha mpingo walahi. Watu...
  9. THE FIRST BORN

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kitendo cha watu kuwa mobilized kuandamana na wakakubali hii inaonesha ni kwa namna gani Samia hakubaliki

    Msimfiche najua hata yeye anajua hili. Tanzania asilimia kubwa ya wananchi wana maisha ya chini ukiona watu wengi wanakupinga basi jua ndio hao na ina maanisha hakuna kitu unafanya kwao. Mimi frankly speaking sikua nakubaliana na Magufuli kwa mambo ya kidemokrasia Narudia ni Mimi Binafsi Ila...
  10. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Katuni hii ya samia na mauwaji anayofanya kinyume cha sheria inakupa picha gani?

    sa
  11. F

    JamiiForums Tanzania Ikulu ilikuwa Madrassa zamani hizo, Ndiyo kuna shida gani? It is not making sense, Waziri huyo na baba yake huwa siwaelewagi. Wapo kwa shari shari tu.

    Huyo aliyesema kuwa ikulu ilikuwa madrassa zamani mara baada ya kujengwa na wajerumani. Kama waingereza walitumia kuwapo watu kufundishia watoto "Ilim Duniya na Ilim Akhera" kuna shida gani? Hiyo ni historia ya nchi yetu....Siyo jambo la ajabu! Waingereza waliitoa nyumba ya Governor kufundishia...
  12. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuna Media inakumbushia yaliyowahi tokea Zanzibar. Ina maana gani?

    Kuna mada hapa niliweka Moderator unaweza kurudisha kichwa cha habari kina sema inawezekana ni kulipa kisasi. Kuna media hipo Facebook inakazania matukio yaliyotokea Zanzibar mfano la kupinduliwa na wale waliohukumiwa kifo mbele ya wananchi. Maandamano ya kupinga uchaguzi kipindi cha mkapa...
  13. October 2pm

    JamiiForums Tanzania Ati ‘Mji kasoro bahari’ watia aibu hehee! Mji gani washindwa mpaka na Mafinga, Kahama

    Nye Nye Nye. Mekutana na kina Mogela hapa Mazimbu Mayii. Wafurahisha Nye. Maneno mengi pyuu ushubwada hamna lolote. Wajiita mji kasolo bahari wakati washamba watupu. Wanaume kama mabinti hehehe. MO29 mayii iliwaumbua pabaya mayo. Mo town yakushindwa na Mafinga Nye. Kule igumelo kahama...
  14. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Kwani mashekhee mnasimama upande gani?

    Kufuatia muendelezo wa taharuki ya kisiasa nchini, makundi mbalimbali ya kijamii ikiwemo serikali yamejitokeza na kuonyesha misimamo Yao Serikali wao wamesema wanataka amani, wananchi pamoja na maaskofu wote wanasimaa upende wa Haki. Lakini mashekhee nyinyi humueleweki kama mnataka HAKI, AMANI...
  15. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Nguvu inayotumika inaendana na tukio lililopo. Ilikuwa tuwaangalie waandamanaji waliojiandaa kufanya mapinduzi mpaka wafanikiwe?

    “Tunaapa kuilinda nchi hii na mipaka yake, kulinda usalama wa raia na mali zao. Na katika hali hiyo, nguvu inayotumika inaendana na tukio lililopo.” - Rais Samia Suluhu akizungumza na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam
  16. srinavas

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Redio zilitangaza umbeya muda mwingi kulenga Wanawake walio nyumbani, sasa hivi ni Mpira tu, je Wanaume ndio wapo nyumbani au hawana kazi?

    Habari za muda huu wadau, Leo nilikuwa na safari fulani hivyo ikanibidi kupanda daladala kwa umbali mrefu kidogo, Kutoka tegeta mpaka Mbagala. Baada ya kupanda daladala nikiri kwamba nimeshuhudia na kujifunza mambo mengi sana, Kwanzia msongamano, Kugombania na pia kukutana na watu mbalimbali...
  17. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani wa Desemba unaupenda zaidi?

    🎶 Ni wimbo gani wa Desemba unaupenda zaidi? Chagua moja au zaidi na tuma list yako! 1️⃣ ‘Jingle Bells’ 2️⃣ ‘Silent Night’ 3️⃣ ‘We Wish You a Merry Christmas’ 4️⃣ ‘Last Christmas’ 5️⃣ Wimbo mwingine (taja chini 👇)
  18. W

    JamiiForums Tanzania Kwenye mikusanyiko ya familia, wewe huwa unajukumu gani?

    Tunajua kipindi cha Desemba ndo kipindi cha kukusanyika na familia na kufurahi kwa pamoja kipindi hiki cha likizo. Lakini niwe mkweli natamani sana mwaka huu nisherekee mwenyewe au tutoke out na marafiki. Kwa sababu kila nikienda mimi ndo nakuwa mpishi wa familia, jiko naachiwa mwenyewe...
  19. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Mbona sisi kama taifa tulipiga kelele hayati Nelson Mandela aachiwe? Kuna ubaya gani EU kupiga kelele Lissu aachiwe!

    Tulipopiga kelele na kupoteza rasilimali zetu kwa ajili ya hayati Nelson Mandela aachiwe Afrika ya kusini haikuwa Sovreign state? Ilikuwa dola huru lakini ilikuwa chini ya utawala dhalimu ambao ulimweka jela kwa kesi ya uhaini kwa mizengwe. Mpaka sasa hapa kwetu kesi ya Lissu imeonekana wazi...
  20. ISO M.CodD

    JamiiForums Tanzania Fact Check: Anaposema "hata huko yanatokea" anamaanisha mambo gani yanatokea wapi?

    Tunaambiwa haya mambo yanatokea huko duniani, serikali ya JMT inayaona na haiyasemei kitu. Are we not comparing apples to oranges? Kama ni watu kupigwa risasi huko duniani - je, wanapigwa risasi katika mazingira sawa na yaliyotokea Tanzania? Na je, uwajibikaji baada ya matukio hayo unafanana...
Back
Top Bottom