gani

Gani is both a given name and a surname. Notable people with the name include:

View More On Wikipedia.org
  1. I

    Laptop Gani Inafaa Kazi Yako Hasa — Na Kwanini Watu Wengi Huchagua Vibaya?

    Laptop Gani Inafaa Kazi Yangu ? Kwa Nini Swali Hili ni Muhimu? Kila mnunuzi wa laptop anapofika sokoni au anapotafuta mtandaoni hukutana na swali moja kuu 👉 “Laptop hii itaendesha software zangu kweli? Itakubali printer na projector zangu? Itakuwa na speed Kwenye kazi zangu?” Na hapa ndipo hofu...
  2. ELI COHEN

    Utachukua hatua gani ukigundua Rais anatembea na mke au mume wako?

  3. Mende mdudu

    Kuna haja gani ya kutunishiana misuli, wote tunajenga nyumba moja?turudi mezani kwa maslahi mapana ya taifa.

    Sio shabiki wa chama chochote cha siasa ila kuna haja ya kuskilizana, nikiangalia machafuko ya uko Congo, Msumbiji, bado tuna nafasi ya kua wamoja. Polisi kusema wamejipanga, raisi kasema yeye ndo amiri jeshi mkuu, waandamanaji nao wanaabaki na msimamo wao, vp kwa sisi wastarabu non. Allied...
  4. The Burning Spear

    Je unadhani huyu dada akitua bongo ni adhabu gani atapewa na mamlaka?

    GT Aisee huyu dada ni hatari. Mi nadhani watangawana juu kwa juu mikono kule kichwa kule yaani ni balaa.
  5. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Watu wa Neno(Biblia) Hilo chukizo la uharibifu lilonenwa na nabii Danieli ni chukizo la namna gani?

    Danieli 9:27 Naye atafanya agano thabiti na watu wengi kwa muda wa juma moja; na kwa nusu ya juma hiyo ataikomesha sadaka na dhabihu; na mahali pake litasimama chukizo la uharibifu; na hivyo, hata ukomo, na ghadhabu iliyokusudiwa imemwagwa juu yake mwenye kuharibu. Yesu pia alisema kuhusu hilo...
  6. ndege JOHN

    GE2025 Hali ni mbaya sana maofisini, na jibu linalotolewa 'huu ni mwaka wa uchaguzi'. Je, kuna uhusiano gani kati ya kukosekana kwa fedha na uchaguzi?

    Aisee hali ni ngumu sana wakuu mpaka OC za kuendeshwa ofisi zinakosekana hakuna hela hata kidogo ukiuliza sababu unaambiwa huu mwaka wa uchaguzi. Kivipi wakati bajeti ya uchaguzi tufanye trillion moja hela ya CCM kuendesha kampeni kuanzia usafiri, nguo, bendera, mabango tufanye hata billion 500...
  7. braza bonge

    Polisi wetu ni watu wa aina Gani Mbona wanafanana?

    Habari Wana bodi, niende kwenye mada Moja kwa Moja!. Polisi wetu Wana tabia zinazofanana, wanapenda kutumia nguvu kuliko akili(labda hawana akili), wanapenda ubabe na wanafurahia kupiga raia. Wanashindwa kufanya na kukamilisha upelelezi kwenye mambo ya maana, ila ya kijinga upelelezi...
  8. T

    Chakula Gani? Ambacho hujawai kukila

    Habari za wakati huu wakuu!? Wazima wote jamaa ndugu na marafiki, kwa mwenye changamoto yoyote ya kiafya basi MWENYEZI MUNGU AMSAIDIE,,, wakuu nimeandika kichwa cha.uzi tofauti na mada hapa lakini wakuu nilikuwa naomba kiasi chochote nikale wakuu kama haitakuwa shida wakuu nimeomba sana🙏😔
  9. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    VIDEO: JWTZ mnapoimba nyimbo za kizalendo kama ..."Sitasimama maovu yakitawala" huwa mnamaanisha maovu gani labda?

    Huwa naona kwenye mazoezi yenu mnaimba nyimbo kama hii "Naapa Naahidi mbele za Mungu Tanzania nitakurinda mpaka kufa" "Sita simama maovu ya kitawala......" Ukizingatia kwa kile tunachokiona watu wakitekwa na kuuawa ufisadi na machukizo kama yote halafu bado mnaomba nyimbo zinazoamsha hisia...
  10. M

    Wataje hapa CEOs walioleta mafanikio makubwa kwenye kampuni walizosimamia na CEOs waliozingua

    Nianze mimi Walioleta mafanikio CRDB - Charles Kimei (Aliondoka), Ndiye aliefanya crdb iwe giant wa sekta ya bank NMB - Ruth Zaipuna, kaikuta NMB ikiwa imejichokea kaifufua kwa kasi ya ajabu NALA - Benjamin Fernandes, kakimbilia Kenya akidai mazingira ya biashara yake kwa Tanzania magumu...
  11. D

    Jasusi Mkuu na ukwasi wake wa ‘Dolari’ - ana biashara gani!?

    Kipindi fulani tuliskia dola zimeadimika, lakini watoto wa jasusi mkuu wanapiga nazo picha kama hela za nyanya. Wananzengo, hili jasusi kuu linamiliki biashara zipi na sisi tupate dolari.
  12. youngkato

    Biashara gani zinahitaji leseni ya kundi B?

    Migahawa, hoteli za kawaida, wakala wa bima, vyama vya ushirika, usajili wa abiria, viwanda vidogo, udalali, na biashara za jumla/rejareja.
  13. youngkato

    Biashara gani zinahitaji leseni ya kundi A?

    Biashara zenye mtaji mkubwa kama vile benki, bima, huduma za mawasiliano, bandari, utalii, na maduka ya kubadilisha fedha.
  14. youngkato

    Ni nyaraka gani zinahitajika kuomba leseni?

    Hati ya TIN kutoka TRA Cheti cha usajili wa kampuni (kama ni kampuni) Mkataba wa pango (kama umepanga) Tax Clearance Certificate kutoka TRA Vyeti vya mamlaka husika kwa huduma za kitaalam (mf. TCRA, TBS, EWURA, TMDA, n.k.)
  15. Mkalukungone Mwamba

    Kuna tatizo gani magari kuungua moto kila kukicha?

    Kwa sasa nimeona kunaongezeko la magari madogo kuungua moto kila siku. Ndani ya wiki hii nimekutana na magari ya siyo pungua 7 yame ungua moto. Watalaamu shida nini kwenye haya magari ya sasa?
  16. Chizi Maarifa

    Kulikuwa na haja gani Jinbril kumkaba Muhammad akimlazimisha kusoma?

    Hii inatafakarisha sana. Huyu kiumbe Jin anamlazimisha Muhamad kusoma. Maskini Muhamad hakuwa ameenda shule. Kama ni Malaika basi alipaswa awe na hizo taarifa. Lakini hakupewa. Akawa anamlazimisha Mtume asome akiwa amempiga Kabali nusu ya kumuua. Mtume akasema akiwa anahema kwa "shida sijui...
  17. ELI COHEN

    Jamani tupatiane options, benki gani yenye huduma za uhakika tofauti na CRDB?

    Hawa jamaa system ime collapse na tuliona haya miaka mitatu minne hivi tukillalamikia precision katika kupat huduma physically na digitally lakini pia customer service unapiga simu ni muziku unakula hakuna kinachoendeelea.
  18. Stability

    Unaweza sema mwamba anasikitikia kazi ilivyo ngumu lakini anawaza ni style gani atayomkunja bebi akishapata posho jioni

    🤣
  19. Isenye

    Hivi kuna uhusiano gani kati ya kusisimka kwa mwili wa mwanamke?

    Shikamooni wakuu! Nilikua natafakari hapa,kwa nin mwanamke akinyonywa matiti na mwanaume au hata akiguswa tu lazima mwili wake usisimke. Je kuna uhusiano gani kati ya hivyo vitu?
  20. kyagata

    Ukiwa maeneo yako ya kujidai kama bar, huwa unajulikana kwa a.k.a gani?

    Mimi kuna bar hapo Tabata wamenipa jina la king mswati.Hilo jina walinipa kwa sababu ya kila bar maid anaekuja lazima nipite naye, Wadau wakaamua kuniita king mswati. Wewe je mdau, maeneo yako ya kujidai wanakujua kwa a.k.a gani?
Back
Top Bottom