game

  1. OLS

    JamiiForums Tanzania Tuliifurahia squid game, ila kwenye maisha halisi sio rahisi

    Nilisikia hii series ikitamba sana na ikapata umaarufu mkubwa watu walipokuwa wanauawa kwenye game na kujishindia pesa nyingi. Tangu game ya kwanza mauaji yaliyokuwa yanafanyika hayakuwa justified lakini ile movie ilipata umaarufu mkubwa. Waliopenda game ile ni watu wengi ikiwemo watu wa haki za...
  2. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Uzinduzo wa Game la GTA-VI umesogezwa zaidi hadi November 2026!

    Wadau wa Games, kuanzia PC hadi consoles. Rockstar Games wamesogeza zaidi muda wa kuzindua GTA-6 kutoka May hadi Nov 2026. Pata muda wa kununua PS5 yako au upgrade PC yako mapema.
  3. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Game gumu. Nandy anatoa wimbo same day anau-promote Youtube

    Ngumu kuacha kitu kitrend chenyewe. Boost muhimu. Ningeongeza view ila walituambia tufanye kazi.
  4. Mi mi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Foxy Brown yupo underrated kwenye game la HipHop hapewi heshima kubwa anayo stahili

    Kwa nini game ya HipHop upande wa kina dada haimpi heshima kubwa sana Foxy Brown ?
  5. X

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kidume kaza sana ukiwa na game uvae kinga. They don't care

    Hawa viumbe ni wauaji inapokuja kwenye suala la ngono salama hawajali kabisa. Yaani manzi mnakubaliana ukaichape hata hakukumbushi ubebe ndomu. Usipojiongeza gono au waya linakulamba. Ni mara chache sana manzi kukaza utumie kinga, na hata akikaza na wewe ukimkazia uende kavu hapingi. Kuna...
  6. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Game imeisha. Simba watakachoweza ni kupunguza idadi ya Magoli

    Watake wanafungwa, wasitake wanafungwa. HAMNA NAMNA WATAEPUKA KIKOMBE HIKI. YANGA TUMEKWEPA MITEGO YAO YOTE.
  7. Mtukutu Mkuu

    JamiiForums Tanzania Ghost of Tsushima best game Asee

    Wakuu kwema poleni mihangaiko ya kutafuta ugali wetu wa Kila siku Basi Nimepata Kalikizo nkaona isiwe kesi Wacha nivute game nicheze kwenye laptop yangu (gaming PC GTX 1050) Nikaweka uncharted ,na game nyingine nyingi tu ikiwemo ghost of Tsushima ila Bado sijaona game Kali kuzidi hili ghost...
  8. PLOII

    JamiiForums Tanzania WATANZANIA WOTE MNAKARIBISHWA MKAPA DE STADIUM; Game ni Saa 2:00 Usiku Free Entrance muda wako tu.

    Umofia wana Sports ! Siku mbili zilizopita niligawa tickets 500 door to door na 216 nikawatumia wadau lengo ni kufika uwanjani. Malengo ilikuwa ni kuwafikia wadau 1000 kama nilivyosema mwanzo bahati mbaya siku ya jana POS ya kununua tickets ilikuwa down sana kiufupi hakuna ticket iliyouzwa...
  9. biz_mtaa

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kufikiria kuanza biashara ya kuchezesha game (PlayStation)?

    🎮 Ulishawahi kufikiria kuanza biashara ya kuchezesha game (PlayStation)? Kile kinachoonekana kama “burudani ya kawaida” kimekuwa fursa kubwa ya biashara inayoweza kukuletea faida kila siku. Siri kubwa ipo kwenye mbinu ambazo wamiliki wa biashara hizi hutumia kuhakikisha michezo inalipa gharama...
  10. Program Manager

    JamiiForums Tanzania Game over

    ndiyo hivyo bhana tunazo hizo kete mbili nazo ni king,#5 imejaziliwa kuwa #6 mchezeshaji anazitwaa(kuzila) hizo chap, hesabu zimeshapigwa na mpaka kufikia hesabu ya namba za hizo kete mbili patakuwa patupu. MATAHA😀
  11. Knock life

    JamiiForums Tanzania Mzee wa Nje ya Box Kigwangala karibu mtaani uone game

    Katika kipindi Cha Scanner pale Clouds ulisema unafanya biashara sasa achana na ndharia njoo kwa ground nakupa miaka miwili tu
  12. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Maliasili na Utalii: Mnacash-in Billions lakini Ground ni Gheto – Kilimanjaro Ni Kama Survival Game

    Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii inavuta mapato ya ajabu – zaidi ya USD 3.4 bilioni mwaka 2023 na karibu USD 4 bilioni mwaka 2024 – lakini ground reality ni aibu tupu. Angalia Mlima Kilimanjaro, vibarua wabeba mizigo wanateseka kama wapo kwenye jungle ya kufa na kupona; maji...
  13. October 2pm

    JamiiForums Tanzania Tutasogeza tarehe mpaka uchaguzi uwe mdomoni. Game itakuwa Over

    Halula! Habari mnayo! Ni mwendo wa Kalenda mpaka kieleweke. Wakijashtuka imo! Na bado.
  14. kalisheshe

    JamiiForums Tanzania Siasa za Tanzania; Mchezo wa Viti, Nguvu na Hila Kama Tamthilia ya Game of Thrones

    Katika siasa za Tanzania, tumeona mwendelezo wa mapambano ya mamlaka yanayofanana na tamthiliya maarufu ya Game of Thrones. Ingawa hatuna mapanga na mizinga ya kale, tuna hila, mikakati ya kisiasa, mapambano ya madaraka, na mapatano ya siri yasiyoeleweka kwa wananchi wa kawaida. Kama ilivyo...
  15. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Polepole yupo smart sana anajua mbinu za kumshabuliwa Adui

    Pole pole yupo smart sana anajua mbinu za kumshabuliwa Adui . Kwanza kabla ya press conference alisema ataongea mambo kwa 25% . Katumia muda mwingi kuelezea CV yake . Katumia lugha ya kifalsafa kuongelea mambo ya kisiasa. In short CCM wanachoweza kufanya kwa sasa wakae kimya ili walinde...
  16. W

    JamiiForums Tanzania In This Country, Politics is Just a Game of Power, Betrayal, and Survival

    In our political landscape, allegiance is fleeting today’s champion is tomorrow’s target. Politicians tag each other, switch sides on a whim, and chase power with an intensity that leaves us dizzy. Just look at Reverend Peter Msigwa, once a CHADEMA MP, who switched to CCM in June 2024—leaving...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Mind game za kishamba na utoto sijui zinaweza kumuathiri nani!

    Kwamba Simba kutotokea kwenye press ni jambo linaloweza kuwatoa yanga mchezoni? Kwamba Simba kutotokea kwenye press ndio wanawaaminisha mashabiki wao awapeleki timu uwanjani? Hiki ni kisa cha yule bwana aliyesikika akisema Mimi situmii samaki lakini mchuzi wa samaki nakunywa! Unashindwa...
  18. S

    JamiiForums Tanzania Game kuchezwa Zanzibar ni Funzo kwetu

    Kuna jambo la kujifunza hapa kwa timu zetu za ndani: mamlaka ya yakishaamua jambo, hata kama una ukakasi nalo - weka hisia pembeni, tii mamlaka. Naamini kabisa uongozi wa simba walijua kabisa ni ngumu/haiwezekani CAF kubadilisha maamuzi ila waliamua kuingiza chaka mashabiki zao kwa kufanya...
  19. dume30

    JamiiForums Tanzania App / Link ya kuicheki game online

    Wakulungwa naomba msaada tajwa hapo juu tafadhali
  20. Fbn

    JamiiForums Tanzania Playstation 6 kuja uzinduzi wa game mpya GTA 6

    Wale wapenda game ni wasanue tu kuhusu mambo ya biashara yalivyo. Makampuni yamekuwa konde boy sasa kila kukicha kuachia kitu kipya wabaki kushindana kwenye soko. Nimefatilia kwenye mijadala ya teknolojia baada ya watu kusubiria GTA 6 inatoka 2025 na kutaarifiwa itatoka 2026 . Kumbuka PS 5...
Back
Top Bottom