Knock life
JF-Expert Member
- Oct 11, 2024
- 2,465
- 7,763
Katika kipindi Cha Scanner pale Clouds ulisema unafanya biashara sasa achana na ndharia njoo kwa ground nakupa miaka miwili tu
Ana makampuni huyoKatika kipindi Cha Scanner pale Clouds ulisema unafanya biashara sasa achana na ndharia njoo kwa ground nakupa miaka miwili tu
Ana makampuni huyoKatika kipindi Cha Scanner pale Clouds ulisema unafanya biashara sasa achana na ndharia njoo kwa ground nakupa miaka miwili tu
Kabisa na wengine huwa wapo bungeni ili kulinda michongo yao tuMbunge mbulula pekeyake ndo anaweza akatoka bungeni after 2 years akawa Tia maji Tia maji!!
Waliotoa kafara za watoto wao, wake zao wote wamepigwa chini.Katika kipindi Cha Scanner pale Clouds ulisema unafanya biashara sasa achana na ndharia njoo kwa ground nakupa miaka miwili tu
zamani , na mkewe pia aligombea viti maalumu akapigwa chiniKwani ameliwa tyr kichwa?
Wengine wanakuwa na mikopo mikubwa bila uwekezaji wa maana. Ndio maana wanapigika ghafla tu.Mbunge mbulula pekeyake ndo anaweza akatoka bungeni after 2 years akawa Tia maji Tia maji!!
Sio kichwa tu,Kwani ameliwa tyr kichwa?
Ndani ya miezi sita either hatosikika kabisa au atatafita kiki ajilikane,Katika kipindi Cha Scanner pale Clouds ulisema unafanya biashara sasa achana na ndharia njoo kwa ground nakupa miaka miwili tu
Wajumbe wanaweza kukubeba ila kwenye kura wakakutupa.Wale watu waliombeba ilikua sanaa kumbe? Kawalipa sasa? Siasa za kibongo uchafu mtupu
Ndo Hao mambulula!Wengine wanakuwa na mikopo mikubwa bila uwekezaji wa maana. Ndio maana wanapigika ghafla tu.
Unadhani baada ya hiyo miaka miwili atakuwa BODABODA?? 😂Katika kipindi Cha Scanner pale Clouds ulisema unafanya biashara sasa achana na ndharia njoo kwa ground nakupa miaka miwili tu