Pole pole yupo smart sana anajua mbinu za kumshabuliwa Adui .
Kwanza kabla ya press conference alisema ataongea mambo kwa 25% .
Katumia muda mwingi kuelezea CV yake .
Katumia lugha ya kifalsafa kuongelea mambo ya kisiasa.
In short CCM wanachoweza kufanya kwa sasa wakae kimya ili walinde...
In our political landscape, allegiance is fleeting today’s champion is tomorrow’s target. Politicians tag each other, switch sides on a whim, and chase power with an intensity that leaves us dizzy. Just look at Reverend Peter Msigwa, once a CHADEMA MP, who switched to CCM in June 2024—leaving...
Kwamba Simba kutotokea kwenye press ni jambo linaloweza kuwatoa yanga mchezoni?
Kwamba Simba kutotokea kwenye press ndio wanawaaminisha mashabiki wao awapeleki timu uwanjani?
Hiki ni kisa cha yule bwana aliyesikika akisema Mimi situmii samaki lakini mchuzi wa samaki nakunywa!
Unashindwa...
Kuna jambo la kujifunza hapa kwa timu zetu za ndani: mamlaka ya yakishaamua jambo, hata kama una ukakasi nalo - weka hisia pembeni, tii mamlaka.
Naamini kabisa uongozi wa simba walijua kabisa ni ngumu/haiwezekani CAF kubadilisha maamuzi ila waliamua kuingiza chaka mashabiki zao kwa kufanya...
Wale wapenda game ni wasanue tu kuhusu mambo ya biashara yalivyo.
Makampuni yamekuwa konde boy sasa kila kukicha kuachia kitu kipya wabaki kushindana kwenye soko.
Nimefatilia kwenye mijadala ya teknolojia baada ya watu kusubiria GTA 6 inatoka 2025 na kutaarifiwa itatoka 2026 .
Kumbuka PS 5...
Hawa ni wale wasanii ambao bado hawajaukubali ukweli na kila wakihojiwa wanasema wanaanda album au kuna kazi zao zinakuja mashabiki wasikilizie tu;
1. Q Chief
2. TID
3. Baraka da Prince
4. Young Killa
5. Mh. Temba
6. Chege
7. Rich Mavoko
8. Aslay
9. Maua Sama
10. AY
11. Fid Q
12. Joh Makini
13...
Wadau wa JamiiForums,
Ngoja niwanyooshee huu uzi straight kama line ya sare za jeshini, maana watu wengi bado hawajastuka kuwa lugha za kigeni ni life-changer. Si mapambo ya CV, si mbwembwe za kujionesha Instagram, ni fursa halisi za kutokea mitaa hadi ulaya bila hata passport kuvuja jasho...
listen up my G! Hii message ni kwa wale mnaota Marekani ni heaven ya kupiga picha na kupost kwa filter. Let me tell y’all the realest sh*t – DON’T come to America kama huna plan, kama huna hustle ya maana, kama huna connection ya mtu wa ukweli. Huku siyo Disneyland, bro – ni concrete jungle...
listen up my G! Hii message ni kwa wale mnaota Marekani ni heaven ya kupiga picha na kupost kwa filter. Let me tell y’all the realest sh*t – DON’T come to America kama huna plan, kama huna hustle ya maana, kama huna connection ya mtu wa ukweli. Huku siyo Disneyland, bro – ni concrete jungle...
Hivi who tf aliwaambia kuwa viongozi wa dini hawaruhusiwi kujihusisha na siasa? Mbona mnatunga sheria kichwani kwenu alafu mnaanza ku-suppress watu wa Mungu as if wao sio citizens? This is some real bulls**t! Mna-act kama mafirauni waliochoka – mnaogopa sauti za watu wanaosema ukweli kwa sababu...
Hey guys,
Leo nawawekea kitu cha ukweli, especially my street smart youngins, coz life inakuwaga real no filter. Hii dunia ya sasa haicheki na mtu, one wrong move and boom—your whole life flips. So chukua hii kama OG wisdom straight from the trenches:
Usijikute uko kila mageti ya watoto wa...
Hey guys,
Leo nawawekea kitu cha ukweli, especially my street smart youngins, coz life inakuwaga real no filter. Hii dunia ya sasa haicheki na mtu, one wrong move and boom—your whole life flips. So chukua hii kama OG wisdom straight from the trenches:
Usijikute uko kila mageti ya watoto wa...
Mwana yupo jela kwa Kesi ya unga, yule slay qeen karudi tena kwenye game la kukaa uchi Insta... she belongs to the streets.
Mwanzo aliolewa akapotea mtandaoni na akabadili na Dini mixture kuvaa ushungi, ila sasa hivi amerudi na mapigo ya zamani mixture kukaa uchi, picha location kali...
Match imeisha tayari. Miundombinu imeshafanyika na kukaa sawa. Kazi imeisha.
Azam watake watafungwa, wasitake watafungwa. Sioni kama Azam wana pa kutokea. Hawana piga ua points 3 tunachukua. Wazee wanasema Azam akibana sana bao 2 ndo za chini kabisa.
Yanga ikipoteza points nipigwe ban. Sioni...
Baada ya uongozi wa Trump jana kutangaza kuongeza tariffs kwa mataifa mbalimbali dunia kutia ndani China, leo pia China nayo imetangaza kuongeza tariffs kwa 34% kwa bidhaa zote za Marekani.
Mwanzoni China ilikuwa ikiongeza tariffs kwa baadhi tu ya bidhaa za Marekani ila tangazo la leo limegusa...
Kama Simba Sc itaingia uwanjani kwa Game plan ya kujihami mwanzo mwisho simply ipo ugenini itaaibika..
Hii Game plan iliwa-cost Simba dhidi ya Constatine kule Algeria..
Ile mechi Simba sc haikustahili kufungwa..ulikuwa ni uzembe.Laiti Simba angekuwa na wazoefu wake wa zamani angeshinda.
Mambo...
Mbona kama vile kuna naona hapa ilipangwa long strategy na Simba.
1. [Kama ni kweli] Simba hawakuomba kutumia Uwanja, walifanya kusudi na mtego.
2. Simba wasusie Match ya Tar 8.
3. Bodi ya ligi iifute match.
4. [Kwa usahihi/kwa kutokuwa sahihi—wanaingia kwenye mtego] Yanga wanasusia match...
Ni masaa kadhaa tangu shirikisho la mpira wa miguu Tanzania, TFF kutoa taarifa rasmi ya kuahirishwa kwa mchezo na 178 wa ligi kuu Tanzania bara huku mashabiki na wadau wa soka nchini wakiachwa vinywa wazi. Taarifa hii imekuja mara baada ya timu Simba Sc ikidai kuzuiwa kufanya mazoezi yao ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.