fbi

The Federal Bureau of Investigation (FBI) is the domestic intelligence and security service of the United States and its principal federal law enforcement agency. Operating under the jurisdiction of the United States Department of Justice, the FBI is also a member of the U.S. Intelligence Community and reports to both the Attorney General and the Director of National Intelligence. A leading U.S. counter-terrorism, counterintelligence, and criminal investigative organization, the FBI has jurisdiction over violations of more than 200 categories of federal crimes.Although many of the FBI's functions are unique, its activities in support of national security are comparable to those of the British MI5 and the Russian FSB. Unlike the Central Intelligence Agency (CIA), which has no law enforcement authority and is focused on intelligence collection abroad, the FBI is primarily a domestic agency, maintaining 56 field offices in major cities throughout the United States, and more than 400 resident agencies in smaller cities and areas across the nation. At an FBI field office, a senior-level FBI officer concurrently serves as the representative of the Director of National Intelligence.Despite its domestic focus, the FBI also maintains a significant international footprint, operating 60 Legal Attache (LEGAT) offices and 15 sub-offices in U.S. embassies and consulates across the globe. These foreign offices exist primarily for the purpose of coordination with foreign security services and do not usually conduct unilateral operations in the host countries. The FBI can and does at times carry out secret activities overseas, just as the CIA has a limited domestic function; these activities generally require coordination across government agencies.
The FBI was established in 1908 as the Bureau of Investigation, the BOI or BI for short. Its name was changed to the Federal Bureau of Investigation (FBI) in 1935. The FBI headquarters is the J. Edgar Hoover Building, located in Washington, D.C.

View More On Wikipedia.org
  1. Kaka yake shetani

    JamiiForums Tanzania 1998 sitosahau vituo vya polisi vilivyojaza watu bila sababu mpaka FBI walipokuja na kumpata wanayemshuku

    Mwaka 1998 nakumbuka nilikuwa nipo maeneo ya Kijitonyama mida ya saa 4 asubuhi hivi siku ya Ijumaa kama nitakuwa nakosea na ndio mara yangu ya kwanza kusikia bomu likilindima mpaka kutingisha ardhi. Tuja kaa vizuri redio na tv zinaanza kutangazia umma kuwa kuna shambulio limetokea ubalozini mwa...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Mwalimu Nyerere, Mzee Mkapa na John Magufuli waliwezaje kutenganisha uraisi na familia zao?

    Kuna kelele zinaendelea mitandaoni kuhusu mtoto wa Rais aitwaye Abdul. Kelele hizi japo hazina ukweli wala uthibitisho ila zina kila dalili ya kuwa na uhalisia kwa kiasi flani Kelele zilianza Abdul alipokwenda Uganda Uganda na kupokelewa kama kiongozi wa kitaifa. Watu walihoji. Kwa sasa...
  3. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Trump adai Rais Biden aliagiza maafisa wa FBI wamuue wakati wa upekuzi nyumbani kwake

    MAREKANI: Rais wa zamani wa Marekani, ametoa madai dhidi ya Rais Joe Biden kuwa aliwaagiza Majasusi wa FBI kumuua kwa Risasi wakati walivamia makazi yake na kufanya upekuzi ulioibua nyaraka za masuala ya Usalama wa Taifa nyumbani kwake Trump amesema "Biden aliagiza nguvu ya mauaji itumike...
  4. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania The best movies/tv shows about FBI

    1. The Blacklist 2. Missing 3. Battle Creek 4. 24 5. Numb3rs 6. Bones 7. Quantico 8. The F.B.I 9. FBI:International 10. Profiler 11. Haven 12. City on a Hill 13. Unsub 14. Will Trent 15. Wiseguy 16. Whiskey Cavalier 17. Manhunt 18. The Following 19. Twin Peaks 20. Hannibal 21. Shades of Blue 22...
  5. D

    JamiiForums Tanzania Pablo Escobar aliwezaje kupiga picha mbele ya White House? FBI na CIA hawakumtambua?

  6. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania FBI walivyomdaka Thomas Lyimo 1998. Hata kama huwapendi wamarekani, basi tuwaheshimu tu

    Huyu Bwana yuko zake Kimara Bucha kwenye kasri au tuite hekalu lake mithili ya ikulu ndogo ya Singida, anakula bata huku akilea wajukuu, ameshazeeka sasa. Yeye na kizazi chake walipigwa ban wasikanyage USA wala kusogelea ubalazi wao. Wakati ubalozi wa Marekani unalipuliwa nchini pamoja na...
  7. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa FBI asema wana wasiwasi na TikTok kuhusu usalama wa Marekani

    Mkurugenzi wa FBI, Chris Wray amesema mtandao wa kijamii wa China TikTok umeanza kuwatia "wasiwasi wa kuhusu usalama wa taifa la Marekani. Akizungumza katika hafla katika Chuo Kikuu cha Michigan, Wray alionesha wasiwasi kwamba Serikali ya China inaweza kutumia data zilizokusanywa kupitia TikTok...
  8. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Kura za maoni ya Wamarekani 57% waunga mkono FBI kumpekua Trump

    Asilimia kubwa ya Wamarekani waliopiga kura ya maoni kuhusu uamuzi wa FBI kufanya upekuzi nyumbani kwa Rais wa zamani wa taifa hilo, Donald Trump wamesema upekuzi uendelee na hakuna kibaya kuhusu uamuzi huo. Kituo cha NBC News kilianzisha mchakato wa kura ya maoni kuona ni sahihi kile...
  9. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania FBI wadai kukuta nyaraka 11 za siri nyumbani kwa Trump, mwenyewe apinga

    Maafisa wa FBI waliopekua nyumba ya Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump iliyopo Florida maarufu kwa jina la Mar-a-Lago wamedai kupata nyaraka 11 za siri, zikiwemo ambazo zilistahili kupatikana katika vituo maalum vya Serikali. Upekuzi huo ulitokana na tuhuma za ukiukwaji wa Sheria ya...
  10. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Trump aushutumu uvamizi wa FBI kuwa silaha ya mfumo wa Haki

    Rais wa zamani, Donald Trump amelaani uvamizi wa FBI katika nyumba yake ya mapumziko huko Florida, ikiwa ni Sehemu uchunguzi unaomkabili tangu kutoka madarakani 2020 na kukiri kuwa tukio la namna hiyo halijawahi kutokea kwa Rais yeyote yule wa Nchi hiyo Inaelezwa kuwa Uchunguzi huo...
  11. Mathanzua

    JamiiForums Tanzania FBI raiding trump estate at "MAR-A-LAGO" in Palm Beach, Florida

    08 AUGUST 2022 FBI Agents are executing a Search Warrant against the home of President Donald J. Trump at Mar-a-Lago, in Palm Beach, Florida at this hour. The President issued a statement: Hal Turner Editorial Opinion I’m not surprised. Anything to try to make him not run again and take...
  12. N

    JamiiForums Tanzania Maafisa wa FBI wavamia nyumbani kwa Donald trump

    Vyombo mbalilmbali leo asubuhi vimereport taarifa ya uvamizi wa FBI katika jumba la aliekuwa Rais wa marekani Donald Trump. Kupitia vyanzo mbalimbali vya taarifa vimebainisha kuwa Rais huyo mstaafu huenda akawa na ( white House record ) hivyo kuhatarisha Siri za serikali ya marekani. Kwanini...
  13. Big Phil

    JamiiForums Tanzania SWAT, FBI na CIA nini tofauti ya hizi taasisi?

    Kama Wewe ni mfuatiliaji wa Mambo Mbali mbali, Bila shaka Lazima umewahi Kukutanana Na Majina Kama SWAT, CIA au FBI Wakati Tukipiga Stori za Uongo na Ukweli vijiweni. Sasa Leo Nataka Uzijue Kiundani Taasisi hizi. 1. SWAT Ni Kifupi Cha Special Weapons and Tactics. Na ilianzishwa Rasmi Mwaka 1964...
  14. MSAGA SUMU

    JamiiForums Tanzania Nimefanikiwa kupata kazi FBI, wameniomba dola 100 kwa ajili ya badge

    Kiutani utani hivi hivi nimefanikiwa kupata kazi FBI. Walinifuata facebook tukajadiliana mambo kadhaa wakaniajiri hapohapo. Kutokana na vita vinavyoendelea Ukraine wamesema mambo fulani fulani yanasumbua kuhusu usafirishaji so wameniomba dola 100 ili wampe mdau mmoja anakuja huku Tanzania...
  15. The Sheriff

    JamiiForums Tanzania Geronimo Pratt: Kiongozi wa Black Panther na Godfather wa Tupac aliyeishi Tanzania baada ya FBI kumbakikia kesi iliyomweka gerezani miaka miaka 27

    Elmer "Geronimo Ji-Jaga" Pratt Kama ni mfuatiliaji wa muziki wa Tanzania, basi utakuwa unaikumbuka ngoma kali ya Nako2Nako inayoitwa We Ndiyo Mchizi Wangu Remix (2008) iliyowashirikisha marapa kibao kama vile Fid Q, Geez Mabovu, Babuu, Mwana FA, Temba, Mansu Li n.k Ukiisikiliza vizuri ngoma...
  16. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania WhatsApp na iMessages inawapa FBI taarifa nyingi za watumiaji

    Taarifa za FBI zimeonesha wanaweza kupata taarifa nyingi za watumiaji wa mitandao ya kijamii ya WhatsApp na iMessage ambapo mitandao kama signal na Telegram imeonekana kutotoa taarifa nyingi za watumiaji Hata ukiwa mtumiaji wa Iphone FBI hupewa taarifa hizo na kampuni muda wowote...
  17. kyagata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ex wako anapokuwekea FBI wakuchunguze, anakua na maana gani?

    Habari wapendwa? Mfano, wewe na aliyekuwa mpenzi wako mmeachana, lakini cha ajabu huyo ex wako anakuwekea mashushushu(FBI) wakufuatilie nyendo zako, inakua na maana gani hii wakuu?
  18. comte

    JamiiForums Tanzania FBI yataifisha fedha za watu kutoka banki ila waliothibitisha uhalali wake mahakama imeamuru warudishiwe haraka sana

    After the FBI seized Joseph Ruiz's life savings during a raid on a safe deposit box business in Beverly Hills, the unemployed chef went to court to retrieve his $57,000. A judge ordered the government to tell Ruiz why it was trying to confiscate the money. It came from drug trafficking, an FBI...
  19. anonymousafrica

    JamiiForums Tanzania Mfahamu J. Edgar Hoover, Mkurugenzi wa FBI Tishio la Wahalifu na Viongozi Wakubwa

    Watu walikuwa smart na wababe, mtu anayeogopwa na Rais na vyombo vyote vya dola huyo sio wa mchezomchezo. Umewahi kuwaza ni namna gani vitengo vya usalama vinamtambua mtu kwa kutumia alama za vidole?, basi haya yote yasingekuwepo bila ya mtu aliyeitwa Edgar Hoover Edgar Hoover Me napenda...
  20. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Ghasia za Capitol: FBI yaonya wafuasi wa Trump huenda wakazua ghasia zaidi

    Shirika la upelelezi la Marekani FBI, limeonya kuhusu uwezekano wa maandaamnao yenye silaha kufanywa kote nchini siku chache kabla ya Joe Biden kuapishwa kuwa rais. Kuna ripoti ya makundi yaliojihami yanapanga kukusanyika katika mabunge ya majimbo yote 50 na Washington DC kuelekea siku ya...
Back
Top Bottom