SWAT, FBI na CIA nini tofauti ya hizi taasisi?

Big Phil

Member
Nov 20, 2019
50
338
Kama Wewe ni mfuatiliaji wa Mambo Mbali mbali, Bila shaka Lazima umewahi Kukutanana Na Majina Kama SWAT, CIA au FBI Wakati Tukipiga Stori za Uongo na Ukweli vijiweni. Sasa Leo Nataka Uzijue Kiundani Taasisi hizi.

1. SWAT
Ni Kifupi Cha Special Weapons and Tactics.
Na ilianzishwa Rasmi Mwaka 1964 (Hii ni Kwa Marekani lakini)
SWAT ni kikundi Maalum cha polisi kwa ajili ya kupamba na Matukio yanayohitaji Kutumia Silaha au Mbinu Maalum
Kwa mfano; matukio ya Utekaji na ujambazi, https://t.co/Qcu5ZZ8wUT

2. CIA
Ni Kifupi Cha “Central Intelligence Agency”. Hili ni shirika la upelelezi la serikali ya Marekani, inayohusika na kukusanya, usindikaji, na kuchambua habari za usalama wa kitaifa kutoka duniani kote. https://t.co/utdhNVpbT3. Liliundwa rasmi September 18, 1947. makao Yake Makuu Yako Pale Langley, Virginia. Limejikita zaidi Katika Msauala Ya Kijasusi Ya USA Kwa Ndani Na Nje ya USA. Kwa Mujibu wa Vyanzo mbalimbali, CIA inatajwa Kama Shirika Bora La Kijasusi duniani Huku “Mossad”La Israel Likifuata. https://t.co/UZE3be22VR

3. FBI (Federal Bureau of Investigation)
Shirika la Ujasusi la Shirikisho la Marekani.
Ilianzishwa July 26 1908,Inakadiliwa Kuwa na Wafanyakazi Takribani 35,000 na Bajeti yake kwa mwaka ni
US$9,748,829,000. https://t.co/azEvACoF0e. FBI NA CIA yote ni Kama Mashirika Ya Kujasusi, lakini Tofauti Iliyopo Ni Kwamba,
FBI imejikita katika masuala ya kipelelezi yanayoihusu Marekani Kama Taifa lakini (Domestically) ila CIA ipo Ki Dunia Zaidi. FBI inafanya kazi chini Ya Idara Ya Masuala Ya Haki Ya Marekani.
 
Kama Wewe ni mfuatiliaji wa Mambo Mbali mbali, Bila shaka Lazima umewahi Kukutanana Na Majina Kama SWAT, CIA au FBI Wakati Tukipiga Stori za Uongo na Ukweli vijiweni.
Sasa Leo Nataka Uzijue Kiundani Taasisi hizi.

1. SWAT.
Ni Kifupi Cha Special Weapons and Tactics.
Na ilianzishwa Rasmi Mwaka 1964 (Hii ni Kwa Marekani lakini)
SWAT ni kikundi Maalum cha polisi kwa ajili ya kupamba na Matukio yanayohitaji Kutumia Silaha au Mbinu Maalum
Kwa mfano; matukio ya Utekaji na ujambazi, https://t.co/Qcu5ZZ8wUT

2. CIA
Ni Kifupi Cha “Central Intelligence Agency”.
Hili ni shirika la upelelezi la serikali ya Marekani, inayohusika na kukusanya, usindikaji, na kuchambua habari za usalama wa kitaifa kutoka duniani kote. https://t.co/utdhNVpbT3
Liliundwa rasmi September 18, 1947. makao Yake Makuu Yako Pale Langley, Virginia.
Limejikita zaidi Katika Msauala Ya Kijasusi Ya USA Kwa Ndani Na Nje ya USA.
Kwa Mujibu wa Vyanzo mbalimbali, CIA inatajwa Kama Shirika Bora La Kijasusi duniani Huku “Mossad”La Israel Likifuata. https://t.co/UZE3be22VR

3. F.B.I (Federal Bureau of Investigation).
Shirika la Ujasusi la Shirikisho la Marekani.
Ilianzishwa July 26 1908,Inakadiliwa Kuwa na Wafanyakazi Takribani 35,000 na Bajeti yake kwa mwaka ni
US$9,748,829,000. https://t.co/azEvACoF0e
FBI NA CIA yote ni Kama Mashirika Ya Kujasusi, lakini Tofauti Iliyopo Ni Kwamba,
FBI imejikita katika masuala ya kipelelezi yanayoihusu Marekani Kama Taifa lakini (Domestically) ila CIA ipo Ki Dunia Zaidi.
FBI inafanya kazi chini Ya Idara Ya Masuala Ya Haki Ya Marekani .
Nimeipenda hiyo ya FBI kufanya kazi chini ya tume ya haki.

Swat ndio kama ffu kwa bongo.

Vipi Tiss ni ya ngapi kwa ujasusi duniani?

#MaendeleoHayanaChama
 
Tuletee na ile ya KGB.....au FSB
KGB ilikufa baada ya USSR kudondoka sasa hivi wana SVR RF ndio kama KGB ya kipindi kile.
Halafu FAPSI Kama NSA au GCHQ.
FSB Kama FBI
Wenzetu wamewekeza kwenye human source intelligence ndo utasikia hizo Kama DIA, CIA na pia kwenye non human source intelligence ndo utasikia Kama hizo hizo GCHQ,FAPSI na NSA sio ss na TISS tumewekeza kwenye human source intelligence tu......sijui sababu teknolojia tuliyonayo ni hafifu
 
Kama Wewe ni mfuatiliaji wa Mambo Mbali mbali, Bila shaka Lazima umewahi Kukutanana Na Majina Kama SWAT, CIA au FBI Wakati Tukipiga Stori za Uongo na Ukweli vijiweni.
Sasa Leo Nataka Uzijue Kiundani Taasisi hizi.

1. SWAT.
Ni Kifupi Cha Special Weapons and Tactics.
Na ilianzishwa Rasmi Mwaka 1964 (Hii ni Kwa Marekani lakini)
SWAT ni kikundi Maalum cha polisi kwa ajili ya kupamba na Matukio yanayohitaji Kutumia Silaha au Mbinu Maalum
Kwa mfano; matukio ya Utekaji na ujambazi, https://t.co/Qcu5ZZ8wUT

2. CIA
Ni Kifupi Cha “Central Intelligence Agency”.
Hili ni shirika la upelelezi la serikali ya Marekani, inayohusika na kukusanya, usindikaji, na kuchambua habari za usalama wa kitaifa kutoka duniani kote. https://t.co/utdhNVpbT3
Liliundwa rasmi September 18, 1947. makao Yake Makuu Yako Pale Langley, Virginia.
Limejikita zaidi Katika Msauala Ya Kijasusi Ya USA Kwa Ndani Na Nje ya USA.
Kwa Mujibu wa Vyanzo mbalimbali, CIA inatajwa Kama Shirika Bora La Kijasusi duniani Huku “Mossad”La Israel Likifuata. https://t.co/UZE3be22VR

3. F.B.I (Federal Bureau of Investigation).
Shirika la Ujasusi la Shirikisho la Marekani.
Ilianzishwa July 26 1908,Inakadiliwa Kuwa na Wafanyakazi Takribani 35,000 na Bajeti yake kwa mwaka ni
US$9,748,829,000. https://t.co/azEvACoF0e
FBI NA CIA yote ni Kama Mashirika Ya Kujasusi, lakini Tofauti Iliyopo Ni Kwamba,
FBI imejikita katika masuala ya kipelelezi yanayoihusu Marekani Kama Taifa lakini (Domestically) ila CIA ipo Ki Dunia Zaidi.
FBI inafanya kazi chini Ya Idara Ya Masuala Ya Haki Ya Marekani .
maneno jasusi na upelelezi unayatumia vibaya.

FBI siyo shirika la ujasusi bali ni ofisi inayoshughulika na upelelezi wa makosa ya jinai ndani ya Marekani; ni kama CID hauku kwetu. Wako mbele kidogo zaid ya CID, kwani wanafanya upelelezi wa makosa yaliyokwisha fanyika, na vile vile kufanya upepelezi wa kuzuia makosa yasifanyike. Huwa hawafanyi ujasusi wa ki-James-Bond kama wa CIA bali wanapeleleza na kukusanya ushahidi pamoja na mashahidi. Ushahdi wanaokusanya lazima uwe sahihi kwa sababu baadaye utapimwa na mahakama.

CIA siyo shrika la upelelezi bali ni ofisi ya ujasusi inayoshughulika na mambo yote ya ujasusi nchi za nje ikiwa ni kupata habazi za usalama kijasusi, kufanya sabotage kwa maadui kijasusi na kadhalika. CIA haifanyi kazi ndani ya Marekani. Huwa hawapelelezi bali hufuatilia na kukusanya taarifa wanazoona ni za muhimu kwa usalama na malengo ya Marekani. Habari hizo zinaweza zisiwe sahihi kwani hakuna kipimo cha kuzithibistiha.
 
maneno jasusi na upelelezi unayatumia vibaya.

FBI siyo shirika la ujasusi bali ni ofisi inayoshughulika na upelelezi wa makosa ya jinai ndani ya Marekani; ni kama CID hauku kwetu. Wako mbele kidogo zaid ya CID, kwani wanafanya upelelezi wa makosa yaliyokwisha fanyika, na vile vile kufanya upepelezi wa kuzia makosa yasifanyike. Huwa hawafanyi hujasusi bale wanapeleleza na kukusanya ushahidi pamoja na mashahidi. Ushahdi wanaokusanya lazimaa uwe sahaihi kwa sababu baadaye utapimwa na mahakama.

CIA siyo shrika la upelelezi bali ni ofisi ya ujasusi inayoshughulika na mambo yote ya ujasusi nchi za nje ikiwa ni kupata habazi za usalama kijasusi, kufanya sabotage kwa maadui kijasusi na kadhalika. CIA haifanyi kazi ndani ya Marekani. Huwa hawapelelezi bali hufuatilia na kukusanya taarifa wanazoona ni za muhimu kwa usalama na malengo ya Marekani. Habari hizo zinaweza zisiwe sahihi kwani hakuna kipimo cha kuzithibistiha.
CIA wanafanya kazi ndani ya Marekani sema kazi zao ni 'limited'
 
Ofisi zao ziko ndani ya marekani lakini hawana jurisdiction ndani ya marekani! Kazi zinazofanana na za CIA ndani ya Marekani zinafanywa na NSA.
Wewe unachoongea nadhani haukijui NSA wanahusika na non human source intelligence Kama satellite, radio waves n.k ili kupata taarifa yaani iko ki-cyber cyber.Na kwa taarifa yako kwa marekani NSA ndio taasisi pekee ambayo ni Intelligence and Security service hapo hapo kwa wakati mmoja kutokana na sheria yao inavyosema yaani wanafanya kazi ndani ya marekani hadi nje ya marekani.
Kimajukumu ndo hivyo na kwanza marekani Wana mashirika ya ujasusi yasiyopungua 10 kaangalie kwenye Intelligence Community yao ndo utaona sema watu tumekazania sana CIA,FBI
 
Wewe unachoongea nadhani haukijui NSA wanahusika na non human source intelligence Kama satellite, radio waves n.k ili kupata taarifa yaani iko ki-cyber cyber.Na kwa taarifa yako kwa marekani NSA ndio taasisi pekee ambayo ni Intelligence and Security service hapo hapo kwa wakati mmoja kutokana na sheria yao inavyosema yaani wanafanya kazi ndani ya marekani hadi nje ya marekani.
Kimajukumu ndo hivyo na kwanza marekani Wana mashirika ya ujasusi yasiyopungua 10 kaangalie kwenye Intelligence Community yao ndo utaona sema watu tumekazania sana CIA,FBI
Yote uliyosema ni kweli ila unayatafsiri vibaya hasa unapotaka kutenganisha function ya security na ya intelligence ambazo naturally ziko intertwinned.

Nikurudisha nyuma tena kuwa CIA hawana jurisdiction ndani ya nchi, hawaruhusiwi kabisa kufanya ujasusi ndani ya nchi. Mambo yote ambayo CIA wangependa kuyajua yanapotokea ndani ya mipaka, yanakuwa ni crimes inayoshughulikiwa na FBI ambao wana kitengo kinaitwa Intelligence Branch (IB). Iwapo uhalifu huo unafanyika ndani ya mipaka ukiwa unahusisha na watu walioko nje ya nchi, basi NSA ndiyo inayoshulikia. Electronic surveilance ni sehemu moja tu ya kazi za NSA lakini zipo nyingine. It happens tu kuwa mtu anayefanya mambo yanayodhaniwa kuwa ya ughaidi akiwa anashirikian na watu wa nje atatumia mawasiliano electronic, kwa hiyo ndiyo maana electronic surveillance inaonekana kuwa ni kubwa sana, lakini elewa pia kuwa CIA nao wana electronic surveilance yao. Kwa hiyo ni kweli kuwa NSA ina juridiscation ndani na nje ya nchi hivyo ni kubwa zaidi ya CIA, lakini kuna majukumu ambayo yamepewa CIA tu nje ya mipaka ambayo NSA hawawezi kuyafanya . Hiyo ni pamoja na kuwa CIA inaweza kufanya sabotages mbalimbali pamoja na assasination ya magaidi ambao ni hatari kwa usalama wa Marekani, vitu ambavyo NSA haiwezi kuvifanya.

Siyo kweli kuwa security agencies zote ni za ujasusi kama wa CIA wala hazina malengo yanayofanana. Agencies hizo nyingi ni za ujasusi wa kijeshi kulingana na branches za jeshi la marekani. Agency za kiraia, zaidi ya CIA, FBI, na NSI (hii iko pande zote za kiraia na kijeshi) nyingine ni pamoja na ONSI (ujasusi wa kutafuta taarifa za vyanzo vya madawa ya kulevya), OICI (Ujasusi wa kutafuta habari zinazohatarisha nishati ndani ya nchi pamoja na ujasusi wa kutafuta habari kuhusu matumuizi mabaya ya nishati ya nyuklia) na INR ( kwa ajili ya ujasui kutafuta habari zinazohusu usalama wa mabalozi). Agencies nyingine huwa hazifanyi ujasusi bali zinafanya analysis ya habari za kijasusi zinazopatikana kutoka kwenye agencies nyingine kwa malengo maalumu. Hizi ni pamoja na OIA (kuchambua taarifa mbalimbali za kijsausi kuangalia kama zinahusisha utakatishaji wa pesa) na I&A ( hii inakusanya taarifa mbalimbali za kijasusi na kuchambua namna ya kuzifikisha kwenye idara zinazaozhitaji habari hizo zaidi). Agency nyingine zote za kijasusi zilizobaki ni kwa sababu ya branches mbalilmbali za kijeshi tu, sasa hivi imeongezwa moja ya Space Delta 7 kwa ajili ya ujasusi unaohusiana na usalama wa satellites tu
 
Yote uliyosema ni kweli ila unayatafsiri vibaya hasa unapotaka kutenganisha function ya security na ya intelligence ambazo naturally ziko intertwinned.

Nikurudisha nyuma tena kuwa CIA hawana jurisdiction ndani ya nchi, hawaruhusiwi kabisa kufanya ujasusi ndani ya nchi. Mambo yote ambayo CIA wangependa kuyajua yanapotokea ndani ya mipaka, yanakuwa ni crimes inayoshughulikiwa na FBI ambao wana kitengo kinaitwa Intelligence Branch (IB). Iwapo uhalifu huo unafanyika ndani ya mipaka ukiwa unahusisha na watu walioko nje ya nchi, basi NSA ndiyo inayoshulikia. Electronic surveilance ni sehemu moja tu ya kazi za NSA lakini zipo nyingine. It happens tu kuwa mtu anayefanya mambo yanayodhaniwa kuwa ya ughaidi akiwa anashirikian na watu wa nje atatumia mawasiliano electronic, kwa hiyo ndiyo maana electronic surveillance inaonekana kuwa ni kubwa sana, lakini elewa pia kuwa CIA nao wana electronic surveilance yao. Kwa hiyo ni kweli kuwa NSA ina juridiscation ndani na nje ya nchi hivyo ni kubwa zaidi ya CIA, lakini kuna majukumu ambayo yamepewa CIA tu nje ya mipaka ambayo NSA hawawezi kuyafanya . Hiyo ni pamoja na kuwa CIA inaweza kufanya sabotages mbalimbali pamoja na assasination ya magaidi ambao ni hatari kwa usalama wa Marekani, vitu ambavyo NSA haiwezi kuvifanya.

Siyo kuwa security agencies zote za ujasusi kama wa CIna wala hazina malengo yanayofanana. Agencies hizo nyingi ni za ujasusi wa kijeshi kulingana na branches za jeshi la marekani. Agency za kiraia, zaidi ya CIA, FBI, na NSI (hii iko pande zote za kiraia na kijeshi) nyingine ni pamoja na ONSI (ujasusi wa kutafuta taarifa za vyanzo vya madawa ya kulevya), OICI (Ujasusi wa kutafuta habari zinazoharaisha nishati ndani ya nchi pamoja na ujasusi wa kutafuta habari kuhusu matumuizi mabaya ya nishati ya nyuclia) na INR ( kwa ajili ya ujasui kutafuta habari zinaziohusu usalama wa mabalozi). Agencies nyingine huwa hazifanyi ujasusi bali zinafanya analysis ya habari za kijasusi zinazopatikana kutoka kwenye agencies nyingine kwa malengo maalumu. Hizi ni pamoja na OIA (kuchambua taarifa mbalimbali za kijsausi kuangalia kama zinahusisha utakatishaji wa pesa) na I&A ( hii inakusanya taarifa mbalimbali za kijasusi na kuchambua namna ya kuzifikisha kwenye idara zinazaozhitaji habari hizo zaidi). Agency nyingine zotre za kijasusi zilizobaki ni kwa sababu ya branches mbalilmbali za kijeshi tu, sasa hivi imeongezwa moja ya Space Delta 7 kwa ajili ya ujasusi unaohusiana na usalama wa satellites tu

Yote uliyosema ni kweli ila unayatafsiri vibaya hasa unapotaka kutenganisha function ya security na ya intelligence ambazo naturally ziko intertwinned.

Nikurudisha nyuma tena kuwa CIA hawana jurisdiction ndani ya nchi, hawaruhusiwi kabisa kufanya ujasusi ndani ya nchi. Mambo yote ambayo CIA wangependa kuyajua yanapotokea ndani ya mipaka, yanakuwa ni crimes inayoshughulikiwa na FBI ambao wana kitengo kinaitwa Intelligence Branch (IB). Iwapo uhalifu huo unafanyika ndani ya mipaka ukiwa unahusisha na watu walioko nje ya nchi, basi NSA ndiyo inayoshulikia. Electronic surveilance ni sehemu moja tu ya kazi za NSA lakini zipo nyingine. It happens tu kuwa mtu anayefanya mambo yanayodhaniwa kuwa ya ughaidi akiwa anashirikian na watu wa nje atatumia mawasiliano electronic, kwa hiyo ndiyo maana electronic surveillance inaonekana kuwa ni kubwa sana, lakini elewa pia kuwa CIA nao wana electronic surveilance yao. Kwa hiyo ni kweli kuwa NSA ina juridiscation ndani na nje ya nchi hivyo ni kubwa zaidi ya CIA, lakini kuna majukumu ambayo yamepewa CIA tu nje ya mipaka ambayo NSA hawawezi kuyafanya . Hiyo ni pamoja na kuwa CIA inaweza kufanya sabotages mbalimbali pamoja na assasination ya magaidi ambao ni hatari kwa usalama wa Marekani, vitu ambavyo NSA haiwezi kuvifanya.

Siyo kuwa security agencies zote za ujasusi kama wa CIna wala hazina malengo yanayofanana. Agencies hizo nyingi ni za ujasusi wa kijeshi kulingana na branches za jeshi la marekani. Agency za kiraia, zaidi ya CIA, FBI, na NSI (hii iko pande zote za kiraia na kijeshi) nyingine ni pamoja na ONSI (ujasusi wa kutafuta taarifa za vyanzo vya madawa ya kulevya), OICI (Ujasusi wa kutafuta habari zinazoharaisha nishati ndani ya nchi pamoja na ujasusi wa kutafuta habari kuhusu matumuizi mabaya ya nishati ya nyuclia) na INR ( kwa ajili ya ujasui kutafuta habari zinaziohusu usalama wa mabalozi). Agencies nyingine huwa hazifanyi ujasusi bali zinafanya analysis ya habari za kijasusi zinazopatikana kutoka kwenye agencies nyingine kwa malengo maalumu. Hizi ni pamoja na OIA (kuchambua taarifa mbalimbali za kijsausi kuangalia kama zinahusisha utakatishaji wa pesa) na I&A ( hii inakusanya taarifa mbalimbali za kijasusi na kuchambua namna ya kuzifikisha kwenye idara zinazaozhitaji habari hizo zaidi). Agency nyingine zotre za kijasusi zilizobaki ni kwa sababu ya branches mbalilmbali za kijeshi tu, sasa hivi imeongezwa moja ya Space Delta 7 kwa ajili ya ujasusi unaohusiana na usalama wa satellites tu
Mbona jamaa mbishi sana wakati inajulikana wazi NSA kazi yao kubwa wanadeal na signal intelligence na kwamba CIA hawafanyi kazi ndani ya marekani ni kukariri.
Nikupe tu mfano CIA siyo law enforcement agency kwamba kazi yao kubwa ni kukusanya taarifa nia kuzituma kwa policy maker wa marekani lakn nikuulize tu siku wakikuhisi unahatarisha maslahi ya marekani hawatokushughulikia kwa sababu kazi yao ni kukusanya taarifa tu.
Halafu inabidi uelewe FBI ni security service na CIA ni intelligence service.
Lakini NSA hapo hapo ni Security service na ni intelligence service Kama unabisha endelea kubisha tu.
 
Yote uliyosema ni kweli ila unayatafsiri vibaya hasa unapotaka kutenganisha function ya security na ya intelligence ambazo naturally ziko intertwinned.

Nikurudisha nyuma tena kuwa CIA hawana jurisdiction ndani ya nchi, hawaruhusiwi kabisa kufanya ujasusi ndani ya nchi. Mambo yote ambayo CIA wangependa kuyajua yanapotokea ndani ya mipaka, yanakuwa ni crimes inayoshughulikiwa na FBI ambao wana kitengo kinaitwa Intelligence Branch (IB). Iwapo uhalifu huo unafanyika ndani ya mipaka ukiwa unahusisha na watu walioko nje ya nchi, basi NSA ndiyo inayoshulikia. Electronic surveilance ni sehemu moja tu ya kazi za NSA lakini zipo nyingine. It happens tu kuwa mtu anayefanya mambo yanayodhaniwa kuwa ya ughaidi akiwa anashirikian na watu wa nje atatumia mawasiliano electronic, kwa hiyo ndiyo maana electronic surveillance inaonekana kuwa ni kubwa sana, lakini elewa pia kuwa CIA nao wana electronic surveilance yao. Kwa hiyo ni kweli kuwa NSA ina juridiscation ndani na nje ya nchi hivyo ni kubwa zaidi ya CIA, lakini kuna majukumu ambayo yamepewa CIA tu nje ya mipaka ambayo NSA hawawezi kuyafanya . Hiyo ni pamoja na kuwa CIA inaweza kufanya sabotages mbalimbali pamoja na assasination ya magaidi ambao ni hatari kwa usalama wa Marekani, vitu ambavyo NSA haiwezi kuvifanya.

Siyo kuwa security agencies zote za ujasusi kama wa CIna wala hazina malengo yanayofanana. Agencies hizo nyingi ni za ujasusi wa kijeshi kulingana na branches za jeshi la marekani. Agency za kiraia, zaidi ya CIA, FBI, na NSI (hii iko pande zote za kiraia na kijeshi) nyingine ni pamoja na ONSI (ujasusi wa kutafuta taarifa za vyanzo vya madawa ya kulevya), OICI (Ujasusi wa kutafuta habari zinazoharaisha nishati ndani ya nchi pamoja na ujasusi wa kutafuta habari kuhusu matumuizi mabaya ya nishati ya nyuclia) na INR ( kwa ajili ya ujasui kutafuta habari zinaziohusu usalama wa mabalozi). Agencies nyingine huwa hazifanyi ujasusi bali zinafanya analysis ya habari za kijasusi zinazopatikana kutoka kwenye agencies nyingine kwa malengo maalumu. Hizi ni pamoja na OIA (kuchambua taarifa mbalimbali za kijsausi kuangalia kama zinahusisha utakatishaji wa pesa) na I&A ( hii inakusanya taarifa mbalimbali za kijasusi na kuchambua namna ya kuzifikisha kwenye idara zinazaozhitaji habari hizo zaidi). Agency nyingine zotre za kijasusi zilizobaki ni kwa sababu ya branches mbalilmbali za kijeshi tu, sasa hivi imeongezwa moja ya Space Delta 7 kwa ajili ya ujasusi unaohusiana na usalama wa satellites tu
Halafu zaidi fuatilia intelligence community yao kiundani uelewe na sio kuwa mbishi tu....
 
Kama Wewe ni mfuatiliaji wa Mambo Mbali mbali, Bila shaka Lazima umewahi Kukutanana Na Majina Kama SWAT, CIA au FBI Wakati Tukipiga Stori za Uongo na Ukweli vijiweni.
Sasa Leo Nataka Uzijue Kiundani Taasisi hizi.

1. SWAT.
Ni Kifupi Cha Special Weapons and Tactics.
Na ilianzishwa Rasmi Mwaka 1964 (Hii ni Kwa Marekani lakini)
SWAT ni kikundi Maalum cha polisi kwa ajili ya kupamba na Matukio yanayohitaji Kutumia Silaha au Mbinu Maalum
Kwa mfano; matukio ya Utekaji na ujambazi, https://t.co/Qcu5ZZ8wUT

2. CIA
Ni Kifupi Cha “Central Intelligence Agency”.
Hili ni shirika la upelelezi la serikali ya Marekani, inayohusika na kukusanya, usindikaji, na kuchambua habari za usalama wa kitaifa kutoka duniani kote. https://t.co/utdhNVpbT3
Liliundwa rasmi September 18, 1947. makao Yake Makuu Yako Pale Langley, Virginia.
Limejikita zaidi Katika Msauala Ya Kijasusi Ya USA Kwa Ndani Na Nje ya USA.
Kwa Mujibu wa Vyanzo mbalimbali, CIA inatajwa Kama Shirika Bora La Kijasusi duniani Huku “Mossad”La Israel Likifuata. https://t.co/UZE3be22VR

3. F.B.I (Federal Bureau of Investigation).
Shirika la Ujasusi la Shirikisho la Marekani.
Ilianzishwa July 26 1908,Inakadiliwa Kuwa na Wafanyakazi Takribani 35,000 na Bajeti yake kwa mwaka ni
US$9,748,829,000. https://t.co/azEvACoF0e
FBI NA CIA yote ni Kama Mashirika Ya Kujasusi, lakini Tofauti Iliyopo Ni Kwamba,
FBI imejikita katika masuala ya kipelelezi yanayoihusu Marekani Kama Taifa lakini (Domestically) ila CIA ipo Ki Dunia Zaidi.
FBI inafanya kazi chini Ya Idara Ya Masuala Ya Haki Ya Marekani .
Tuambie kuhusu Secret service, DEA na NSA (Edward Snowden alifanya kazi hapa)
 
Yote uliyosema ni kweli ila unayatafsiri vibaya hasa unapotaka kutenganisha function ya security na ya intelligence ambazo naturally ziko intertwinned.

Nikurudisha nyuma tena kuwa CIA hawana jurisdiction ndani ya nchi, hawaruhusiwi kabisa kufanya ujasusi ndani ya nchi. Mambo yote ambayo CIA wangependa kuyajua yanapotokea ndani ya mipaka, yanakuwa ni crimes inayoshughulikiwa na FBI ambao wana kitengo kinaitwa Intelligence Branch (IB). Iwapo uhalifu huo unafanyika ndani ya mipaka ukiwa unahusisha na watu walioko nje ya nchi, basi NSA ndiyo inayoshulikia. Electronic surveilance ni sehemu moja tu ya kazi za NSA lakini zipo nyingine. It happens tu kuwa mtu anayefanya mambo yanayodhaniwa kuwa ya ughaidi akiwa anashirikian na watu wa nje atatumia mawasiliano electronic, kwa hiyo ndiyo maana electronic surveillance inaonekana kuwa ni kubwa sana, lakini elewa pia kuwa CIA nao wana electronic surveilance yao. Kwa hiyo ni kweli kuwa NSA ina juridiscation ndani na nje ya nchi hivyo ni kubwa zaidi ya CIA, lakini kuna majukumu ambayo yamepewa CIA tu nje ya mipaka ambayo NSA hawawezi kuyafanya . Hiyo ni pamoja na kuwa CIA inaweza kufanya sabotages mbalimbali pamoja na assasination ya magaidi ambao ni hatari kwa usalama wa Marekani, vitu ambavyo NSA haiwezi kuvifanya.

Siyo kuwa security agencies zote za ujasusi kama wa CIna wala hazina malengo yanayofanana. Agencies hizo nyingi ni za ujasusi wa kijeshi kulingana na branches za jeshi la marekani. Agency za kiraia, zaidi ya CIA, FBI, na NSI (hii iko pande zote za kiraia na kijeshi) nyingine ni pamoja na ONSI (ujasusi wa kutafuta taarifa za vyanzo vya madawa ya kulevya), OICI (Ujasusi wa kutafuta habari zinazoharaisha nishati ndani ya nchi pamoja na ujasusi wa kutafuta habari kuhusu matumuizi mabaya ya nishati ya nyuclia) na INR ( kwa ajili ya ujasui kutafuta habari zinaziohusu usalama wa mabalozi). Agencies nyingine huwa hazifanyi ujasusi bali zinafanya analysis ya habari za kijasusi zinazopatikana kutoka kwenye agencies nyingine kwa malengo maalumu. Hizi ni pamoja na OIA (kuchambua taarifa mbalimbali za kijsausi kuangalia kama zinahusisha utakatishaji wa pesa) na I&A ( hii inakusanya taarifa mbalimbali za kijasusi na kuchambua namna ya kuzifikisha kwenye idara zinazaozhitaji habari hizo zaidi). Agency nyingine zotre za kijasusi zilizobaki ni kwa sababu ya branches mbalilmbali za kijeshi tu, sasa hivi imeongezwa moja ya Space Delta 7 kwa ajili ya ujasusi unaohusiana na usalama wa satellites tu
Dah!...umeishi miaka mingi sana Marekani ?
 
Iyo ya marekani haina tofauti na ss huku bongo tunao matrafiki ilo 1, pili tunao mapolisi, tatu tunao mgambo, nne tuna jeshi, tano na mwisho kabisa tuna deep state😁😇🤣🤪😜😛
 
Wewe unachoongea nadhani haukijui NSA wanahusika na non human source intelligence Kama satellite, radio waves n.k ili kupata taarifa yaani iko ki-cyber cyber.Na kwa taarifa yako kwa marekani NSA ndio taasisi pekee ambayo ni Intelligence and Security service hapo hapo kwa wakati mmoja kutokana na sheria yao inavyosema yaani wanafanya kazi ndani ya marekani hadi nje ya marekani.
Kimajukumu ndo hivyo na kwanza marekani Wana mashirika ya ujasusi yasiyopungua 10 kaangalie kwenye Intelligence Community yao ndo utaona sema watu tumekazania sana CIA,FBI

Tanzania ilipoanzisha la wasiojulikana mkalipiga vita badala ya kuona mapungufu yao yakaboreshwa kwa faida ya nchi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom