Mwalimu Nyerere, Mzee Mkapa na John Magufuli waliwezaje kutenganisha uraisi na familia zao?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
1,102
4,960
Kuna kelele zinaendelea mitandaoni kuhusu mtoto wa Rais aitwaye Abdul. Kelele hizi japo hazina ukweli wala uthibitisho ila zina kila dalili ya kuwa na uhalisia kwa kiasi flani

Kelele zilianza Abdul alipokwenda Uganda Uganda na kupokelewa kama kiongozi wa kitaifa. Watu walihoji.

Kwa sasa anatajwa si kwa afya bali kwa matukio ya ufisadi. Kwa mtoto wa Rais kutajwa kwa rushwa ni doa kubwa linalohitaji kukemewa. Lisipokemewa hata wasio watoto na ndugu wa marais wanaokamatwa na kufungwa kwa rushwa wanapaswa kuachwa.

Hali kama hii tumeona kwa familia ya mzee Mwinyi lakini pia tumeiona kwenye familia ya JK ambapo mke wake na mwanaye wapo bungeni. Lakini mbaya zaidi ni kwamba watoto wa JK pia walitajwa kwenye skendo kama hizi na alipoingia JPM alipambana na familia hii jambo lililomkera sana JK.

Japo JPM alimteua mwanaye lakini hakuna connection iliyokuwepo kati ya familia yake na mfumo wa serikali. Hakuna siku mtoto wa JPM alituhumiwa kutoa amri au kuwa mstari wa mbele kwenye taasisi ya urais.

Mzee Mkapa hadi sasa hakuna uhusiano wa moja kwa moja wa watoto wake na familia yake kwenye siasa za Urais. Mkapa alitenganisha kabisa majukumu ya serikali na majukumu ya familia.

Mwalimu Nyerere sina sababu ya kumjadili sana. Alifanya kwa vitengo tena kipindi ambapo nchi ipo gizani.

Kutokana na tuhuma zinazosmbazwa zikihusisha hadi taasisi kubwa duniani cha uchunguzi tunaamini mtoto wa rais anapaswa kutajwa vikali hivi? Nini kifanyike kutenganisha familia na kiti cha uongozi?
 
Nchi hii kwa kweli labda ina kalaana fulani, si bure. Tulijua tumepata kumbe tumepatikana! Sasa mtoto huyu ananafasi gani kwenye serikali yetu mpaka awepo kwenye maamuzi nyeti ya nchi? Na viongozi wengine hawaoni wakashauri kuhusu huu mwenendo? Mbona hauna afya kwa taifa? Wanaangalia tu haya madudu?
 
Mkapa alitenganishaje familia yake na urais?

Labda alichotenganisha ni urais na umakonde wake, si ukweni uchagani.

Net group solutions uliwahi kuwasikia? Kiwira coal mines...

Nani alikuwa nyuma ya wizi huu kama si familia ya mkapa!
 
my be tried to relate with Bolshevik, hahahaaha
Sacrifice your life for the nation, even the family have got no chance.

Ukishakubali kuwa head of state maana yake umechagua kuwa mtumishi na si vinginevyo, youl life is for the state, familia na ujinga mwingine unapaswa kutupa kule, utumishi unahitaji serious dude na sio mizahamizaha.

Bahati mbaya tuna bahati mbaya.
 
Nchi hii kwa kweli labda ina kalaana fulani, si bure. Tulijua tumepata kumbe tumepatikana! Sasa mtoto huyu ananafasi gani kwenye serikali yetu mpaka awepo kwenye maamuzi nyeti ya nchi? Na viongozi wengine hawaoni wakashauri kuhusu huu mwenendo? Mbona hauna afya kwa taifa? Wanaangalia tu haya madudu?
Hata kama ungekuwa ni wewe kama wananchi hawajitambui utafanyaje? Hapo ndipo utofauti wa mzungu na nyani aliyechangamka upo!! Kila siku lisu anajitahidi kutoa elimu ya uraia kwa wananchi bado hamtaki kuelewa,
 
Wakristo uongozi wo wote ule wanauweza na hawayumbishwi tofaauti na wa toto wa Mud uswahili, vijembe, uzembe na kuchukulia mambo poa na hiyo ni kwa jinsia ya kiume iko hivyo, je kwa sa100 ambaye ni mwanamke si hiyo hali itakuwa mara 2 ya hao wa kiume!

Ushawahi sikia Sa100 akikemea au kukerwa na baya lo lote lile nchi hii toka awe rais? Tofauti na ile reporte ya CAG kusema stupid?

Ye ni kusubiri wananchi waseme na kujadili mitaani mwisho watanyamaza au litengezwe tukio ili lisahaulishe lililokuwa likijadiliwa nyuma!

Kwa ujumla Mud products ni goi goi lege lege hata familia zao angalia kiongozi wa familia ni kama hana say yo yote japo sio wote!

Na wananchi nao ni chanzo ni kama Hawajui wao ndo top
Tanzania hata ngedere au nyani inaweza kuiongoza kwa katiba hii.

Huyo mtoto anayetajwa sio rahisi usikie familia ikikanusha au kueleza ukweli wa huyo kijana kujihusisha na urais wa mama’ake
 
Kuna kelele zinaendelea mitandaoni kuhusu mtoto wa Rais aitwaye Abdul. Kelele hizi japo hazina ukweli wala uthibitisho ila zina kila dalili ya kuwa na uhalisia kwa kiasi flani

Kelele zilianza Abdul alipokwenda Uganda Uganda na kupokelewa kama kiongozi wa kitaifa. Watu walihoji.

Kwa sasa anatajwa si kwa afya bali kwa matukio ya ufisadi. Kwa mtoto wa Rais kutajwa kwa rushwa ni doa kubwa linalohitaji kukemewa. Lisipokemewa hata wasio watoto na ndugu wa marais wanaokamatwa na kufungwa kwa rushwa wanapaswa kuachwa.

Hali kama hii tumeona kwa familia ya mzee Mwinyi lakini pia tumeiona kwenye familia ya JK ambapo mke wake na mwanaye wapo bungeni. Lakini mbaya zaidi ni kwamba watoto wa JK pia walitajwa kwenye skendo kama hizi na alipoingia JPM alipambana na familia hii jambo lililomkera sana JK.

Japo JPM alimteua mwanaye lakini hakuna connection iliyokuwepo kati ya familia yake na mfumo wa serikali. Hakuna siku mtoto wa JPM alituhumiwa kutoa amri au kuwa mstari wa mbele kwenye taasisi ya urais.

Mzee Mkapa hadi sasa hakuna uhusiano wa moja kwa moja wa watoto wake na familia yake kwenye siasa za Urais. Mkapa alitenganisha kabisa majukumu ya serikali na majukumu ya familia.

Mwalimu Nyerere sina sababu ya kumjadili sana. Alifanya kwa vitengo tena kipindi ambapo nchi ipo gizani.

Kutokana na tuhuma zinazosmbazwa zikihusisha hadi taasisi kubwa duniani cha uchunguzi tunaamini mtoto wa rais anapaswa kutajwa vikali hivi? Nini kifanyike kutenganisha familia na kiti cha uongozi?
Joseph Nyerere
Sinde Warioba
Dotto James
Dotto Biteko

Ova
 
Kuna kelele zinaendelea mitandaoni kuhusu mtoto wa Rais aitwaye Abdul. Kelele hizi japo hazina ukweli wala uthibitisho ila zina kila dalili ya kuwa na uhalisia kwa kiasi flani

Kelele zilianza Abdul alipokwenda Uganda Uganda na kupokelewa kama kiongozi wa kitaifa. Watu walihoji.

Kwa sasa anatajwa si kwa afya bali kwa matukio ya ufisadi. Kwa mtoto wa Rais kutajwa kwa rushwa ni doa kubwa linalohitaji kukemewa. Lisipokemewa hata wasio watoto na ndugu wa marais wanaokamatwa na kufungwa kwa rushwa wanapaswa kuachwa.

Hali kama hii tumeona kwa familia ya mzee Mwinyi lakini pia tumeiona kwenye familia ya JK ambapo mke wake na mwanaye wapo bungeni. Lakini mbaya zaidi ni kwamba watoto wa JK pia walitajwa kwenye skendo kama hizi na alipoingia JPM alipambana na familia hii jambo lililomkera sana JK.

Japo JPM alimteua mwanaye lakini hakuna connection iliyokuwepo kati ya familia yake na mfumo wa serikali. Hakuna siku mtoto wa JPM alituhumiwa kutoa amri au kuwa mstari wa mbele kwenye taasisi ya urais.

Mzee Mkapa hadi sasa hakuna uhusiano wa moja kwa moja wa watoto wake na familia yake kwenye siasa za Urais. Mkapa alitenganisha kabisa majukumu ya serikali na majukumu ya familia.

Mwalimu Nyerere sina sababu ya kumjadili sana. Alifanya kwa vitengo tena kipindi ambapo nchi ipo gizani.

Kutokana na tuhuma zinazosmbazwa zikihusisha hadi taasisi kubwa duniani cha uchunguzi tunaamini mtoto wa rais anapaswa kutajwa vikali hivi? Nini kifanyike kutenganisha familia na kiti cha uongozi?
Warioba ni mpwa wa Nyerere, mtoto wa Nyerere alifariki kwa ajali ya ndege Vita 1978 Kagera,
 
Ungekuja na hayo matukio anayo tajwa nayo na references ingekua vizuri Mkuu, sasa kuleta taarifa peke ake bila matukio yenyewe ya ufisadi watu wakayaona na kudhibitisha inakanganya Mkuu
 
Ungekuja na hayo matukio anayo tajwa nayo na references ingekua vizuri Mkuu, sasa kuleta taarifa peke ake bila matukio yenyewe ya ufisadi watu wakayaona na kudhibitisha inakanganya Mkuu
✍️📝👌👍👏🤝🙏🛡️
 
Back
Top Bottom