Kura za maoni ya Wamarekani 57% waunga mkono FBI kumpekua Trump

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,460
Donald-trump-.jpg

Asilimia kubwa ya Wamarekani waliopiga kura ya maoni kuhusu uamuzi wa FBI kufanya upekuzi nyumbani kwa Rais wa zamani wa taifa hilo, Donald Trump wamesema upekuzi uendelee na hakuna kibaya kuhusu uamuzi huo.

Kituo cha NBC News kilianzisha mchakato wa kura ya maoni kuona ni sahihi kile kinachofanywa au si sahihi kwa kuwa kuna msukumo wa kisiasa nyuma yake, ambapo wanaosapoti wamepata 57%

FBI walifanya upekuzi nyumbani kwa Trump, Florida akidaiwa kumiliki nyaraka za siri za Serikali, lakini mwenyewe alidai nyaraka hizo hazikuwa za siri.


---------------------------

NBC News poll: 57% of voters say investigations into Trump should continue

A clear majority of American voters believe that the various investigations into alleged wrongdoing by former President Donald Trump should continue, according to a national NBC News poll conducted after the FBI searched Trump’s Florida home and recovered documents marked as “top secret” earlier this month.

The poll also shows a dissatisfied public, with three-quarters of voters saying the county is headed in the wrong direction, a record 58% who say that America’s best years are behind it and 61% who say they’re willing to carry a protest sign for a day because they’re so upset.

And it paints a mixed picture of the 2022 midterm landscape, with President Joe Biden’s job rating mired in the low 40s, and with Republicans narrowly leading on congressional preference — but with Democrats nearly tying Republicans on voter enthusiasm — and with “threats to democracy” overtaking the cost of living as the top issue facing the country for voters.

“Politically, for Joe Biden and Democrats, the news is not all bad,” said Democratic pollster Jeff Horwitt of Hart Research Associates, who conducted this survey with Republican pollster Bill McInturff of Public Opinion Strategies.

“Heading into Labor Day, the political dynamics could be worse [for Democrats], but they also need to get a lot better and fast,” he said.

McInturff, the GOP pollster, agrees that the environment has improved for Democrats since earlier this year. But he argues that the main fundamentals — the president’s job rating, the nation’s direction — are breaking against the party.

“America is singing the blues, and that is bad news for the blue team in November,” McInturff said.

The NBC News poll was conducted Aug. 12-16, during and after a tumultuous period for Donald Trump — when the FBI searched the former president’s Florida home, when Trump attorney and ally Rudy Giuliani revealed he is a “target” in the probe of alleged election interference in Georgia, and as a former Trump business executive pleaded guilty for tax fraud.

According to the survey, 57% of registered voters say that the investigations into alleged wrongdoing by Trump should continue, while 40% say they should stop.

Source: Nbcnews
 
Tatizo kura zimepigwa NBC, chombo cha habari chenye bifu na trump, sio wamarekani wote

Nasubiri polls za Fox news 😁😁

Ni sawa na kupiga kura ccm tv kwamba upinzani ufutwe utapata ndio nyingi
 
Yaani unasikiliza maoni ya left wing news kwa Trump!

Ni sawa utafute maoni kwa utendaji wa awamu ya Biden kutoka Fox News.
 
Ila hawa watu wana chuki mbaya mnoo kwa misimamo ya Trump!

Wana propaganda chafu sana!
 
Back
Top Bottom