faini

  1. S

    Traffic wanabambikia watu faini, unaletewa meseji kwenye simu kwamba umepigwa faini na gari halijaenda popote

    Kumekuwa na hali ambayo haileweki ndani ya jeshi la polisi upande wa usalama barabarani ambapo unaletewa meseji kwenye simu kwamba umepigwa faini na unaandikiwa na kosa lako wakati huo wewe upo Dar es salaam na gari halijaenda popote siku nzima wewe upo nyumbani. Ukiingia kwenye mtandao wao wa...
  2. gimmy's

    Watawala wamebariki hizi faini za kionevu zinazofanywa na TRA mabarabarani?

    Kinachoendelea Tanzania kwa Sasa kinafikirisha kiasi cha kujiuliza hivi hao wanaoitwa wanyonge na watawala ni wakinanani? Ndugu zangu kunadereva wa lorry kubwa(semi) amepigwa faini ya milioni tatu(3000,000/=) na TRA kisa amepakia gunia 25 za parachichi na walipomtaka risiti za kielekroni za...
  3. S

    Ni wazi reli za Arusha na Tanga walirekebisha kutumia kodi yetu ili kujifanyia kampeni maana treni hatuzioni na sasa zimekuwa kero za faini za trafiki

    Kuna vitu vinaudhi sana. Serikali ya CCM walifanya mbwembwe nyingi kusema wanafufua huduma ya treni kwenda Arusha na Tanga. Na tukumbuke walitumia fedha yetu ya kodi, sio fedha za CCM. Sasa ni wazi kwamba yote haya walifanya kwa ajili ya kampeni waliyotaka kufanya ya maendeleo ya vitu, ili...
  4. Chachu Ombara

    Kilimanjaro: Mhujumu Uchumi ahukumiwa kulipa faini Tsh. Mil 333 au kwenda jela miaka 20

    MSHITAKIWA katika shauri namba 11/2018 ya uhujumu uchumi na makosa ya kupanga Omari Bokoi amehukumiwa kulipa faini ya Sh Mil 333 au kwenda jela miaka 20 baada ya mahakama ya wilaya ya Same ,mkoani Kilimanjaro kumkuta na hatia ya kupatikana na vipande vya nyama ya Twiga. Hakimu Mkazi wa...
  5. Q

    CCM itozwe faini kwa kuharibu uwanja kama Simba SC

    Uongozi wa uwanja wa Taifa wa Mkapa uliitoza faini klabu ya Simba baada ya mashabiki wake kung’oa viti vya uwanja huo, jana mashabiki na wanachama wa CCM wamefanya uharibifu mkubwa mbele ya mkiti wao rais Magufuli ambaye pia ni mgombea urais kupitia chama hicho. Tunategemea tamko la Uongozi wa...
  6. B

    Njombe: Mama kujifungulia nyumbani faini Tshs 30,000/=?

    IPO risiti ya halmashauri inazagaa mitandaoni ikionyesha malipo faini ya 30,000 kwa kosa la kujifungulia nyumbani. Naomba kufahamishwa, hii faini ni kwa mikoa yote nchini au ni Njombe pekee? Je, kujifungua mwanamke lazima apatwe na uchungu hospitalini? Je, akipatwa na uchungu akiwa nyumbani...
  7. T

    TRA mnachangia kumchonganisha mgombea wetu na wafanyabiashara. Mikoa yote mnatangaza mitaani kwa vitisho Sept. 30 mwisho kulipa kodi bila faini

    Ukimsikiliza Tundu Lissu anavyowasema TRA kubambikizia wafanyabiashara kodi zisizolipika. Halafu TRA hao hao mikoa yote wanapita na magari ya matangazo wakitoa mkwara mzito wa kuanza kwa faini baada ya Septemba 30 bila shaka utajua wako kazini kwa kuongeza kuni kwenye chuki iliyotengenezwa na...
  8. kavulata

    Kwanini adhabu kwa vyombo vya habari iwe kufungiwa badala ya kulipa faini?

    Kuna usummbufu mkubwa na hasara kubwa sana kwa vyombo vya habari na hata kwa Kodi ya serikali Kama chombo Cha habari (redio, tv, gazeti) kitafungiwa japo kwa wiki moja tu. Kwanini makosa yanayosababisha kituo kufungiwa kwa wiki moja isiwe kulipa hela badala ya kukifungia?. Kufungia chombo...
  9. GENTAMYCINE

    Wana Yanga SC hebu 'tuchangishane' upesi 'tukamlipie' Msemaji wetu Hassan Bumbuli 'Faini' yake TFF kwani GSM na Injinia Hersi ni kama 'wamemtosa' vile

    Naomba ateuliwe Mwanachama Mmoja hapa na awe ni mwana Yanga SC Mwenzetu kabisa kama nilivyo Mimi GENTAMYCINE ili tuweze kufanya 'Mobilization' ya 'Michango' hadi ipatikane Tsh Milioni Tano na 'tumkabidhi' Msemaji wetu Hassan Bumbuli ambaye Klabu yetu ya Yanga na hadi 'Wadhamini' wetu GSM chini...
  10. Nyendo

    EWURA: Wasambazaji wa bidhaa mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara kuchukua bidhaa kutoka bandari ya Tanga pekee

    EWURA imeagiza wasambazaji wote wa bidhaa za petroli mikoa ya Tanga, Kilimanjaro, Arusha na Manyara kuanza kuchukua bidhaa hizo kutoka Bandari ya Tanga, na si sehemu nyingine. Atakayekiuka agizo hilo atatozwa faini TZS Milioni 100 au kifungo kisichopungua miaka 10, au vyote.
  11. dattani

    Sikuelewa nia ya Koplo Laurent Trafiki wa Kiluvya

    Siku ya Jumatano tarehe 26 August 2020 majira ya saa moja na nusu asubuhi eneo la Kiluvya nilisimamishwa na Trafiki na akaniambia niweke gari kando. Akaniambia nimekwenda kinyume na sheria za barabarani hivyo nastahili kuchapwa viboko! Nilivyoona anaongea lugha za mzaha na mimi kiukweli...
  12. Miss Zomboko

    TCRA yaipiga faini ya Tsh. bilioni 11.89 Kampuni ya Intaneti ya Raha Limited kwa kuendesha shughuli zake bila kuwa na kibali

    MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeipiga Faini ya Sh.bilioni 11.89 Kampuni ya Raha Limited watoa huduma ya Internet kwa makosa mbalimbali ikiwemo kutumia masafa ya mawasiliano ya Radio katika wigo 1452-1482 MHZ bila kuwa na leseni halali kutoka TCRA tangu 24 Machi 2020. Akizungumza na...
  13. Course Coordinator

    GE2020 Ilikuwaje Deo Mwanyika wa ACACIA aliyehukumiwa kwa Uhujumu Uchumi achaguliwe na CCM kugombea Ubunge Njombe Mjini?

    Kama ambavyo Rais Magufuli amekuwa akijigamba kuwa anapambana na mafisadi wakwepa kodi na wahujumu Uchumi pamoja na mabeberu kwa kupitia kauli yake ya vita ya kiuchumi. Huyu Mwanyika ndo Rais aliyetutangazia kuwa amawasiliano na wanasiasa wa upinzani ili wamuhujumu hadi kutoa ile kauli yake...
  14. Mkogoti

    Na pale ndipo nilipopigwa faini na mwenye Nyumba na kisa sikijui na nimepewa barua ila sijui kusoma

    Mnisaidie kusoma hiyo karatasi sijajua nimeandikiwa nini humo ama naitwa na Mwenyekiti wangu wa mtaa, karatasi hiyo kaleta mtoto mida hii hapa,
  15. masopakyindi

    TANROADS, Polisi hela ya faini hamuioni?

    Hilo tinga tinga limeharibikia hapo makutani ya service rodi na Bagamoyo rodi kwa wiki ya pili sasa. Magari yanapata taabu kupita na hata kuleta hatari za ajali. Hapo ni Bagamoyo rodi eneo la GOIG.
  16. pingli-nywee

    Mbunge wa Sirisia John Waluke ahukumiwa kuhudumu kifungo cha miaka 67 gerezani au faini ya KES 1Billion kwenye kesi ya ufisadi dhidi yake

    Siku ya 40 ya mwizi hatimaye ilitimia kwa Mbunge wa Sirisia John Waluke na mshukiwa mwenza Grace Wakhungu, kwenye kesi ya ufisadi dhidi yao ndani ya mahakama ya ufisadi(Anti-Corruption Court) jijini Nairobi hivi majuzi. Hii ni baada ya Chief Magistrate Elizabeth Juma kuwapata na hatia, wao na...
  17. Darren2019

    Ukimiliki laini zaidi ya moja ya mtandao mmoja utalipa faini Tsh 5M au kufungwa gerezani kwa miezi 12 au vyote kwa pamoja kuanzia 1 Julai, 2020

    Wakuu heshima kwenu, kuna wakati nlisikia kuna sheria TCRA inatulazimu kuwa na ulazima wa kumiliki line moja kwa kila mtandao na mwisho ni tareh 30 Juni, 2020, hii imekaaje? Tutafungiwa laini leo?
  18. J

    Mbunge aliyehukumiwa kwa uhujumu uchumi na kulipa faini ashangiliwa na wanaccm kwa kutekeldza vizuri Ilani ya CCM!

    Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya firauni Mbunge Nchambi ameshangiliwa sana na wanaccm wa mkoa wa Shinyanga alipoelezea namna alivyotekeleza kwa ufanisi mkubwa ilani ya CCM. Nchambi alikuwa akijieleza katika mkutano wa CCM wa mkoa ambapo wabunge walitakiw kutoa mrejesho wa majukumu yao, wabunge...
  19. Miss Zomboko

    Mbunge Nchambi na wenzake 2 wakiri makosa ya uhujumu uchumi na kulipa faini

    Mbunge wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga, Suleiman Masoud Nchambi (CCM), pamoja na wenzake wawili wamekiri makosa dhidi ya kesi iliyokuwa ikiwakabili ya Uhujumu Uchumi, na kuamuliwa kulipa faini kila mmoja au kwenda Jela, ambapo wote wamelipa faini na kuachiwa huru. i/ Nchambi amekabilia na...
  20. Miss Zomboko

    Wasiovaa barakoa Qatar kufungwa jela miaka 3 au faini ya zaidi ya Tsh. milioni 100

    Serikali imeanza kutekeleza adhabu mpya ya kifungo cha hadi miaka 3 jela au faini ya takriban Tsh. Milioni 127, kwa watu watakaoshindwa kutii agizo la kuvaa Barakoa katika sehemu zenye mikusanyiko Hatua hiyo, imeanza kufanyiwa kazi huku Misikiti, shule na migahawa ikifungwa ili kukabiliana na...
Back
Top Bottom