Ingia mtandaoni
TMS CHECK - Tanzania Police Force halafu cheki fine ya gari lako..
Lipa kwa mtandao wa malipo ya serikli baada ya kupata control number.
Ulipoandikiwa fine ulipewa karatasi yenye control no, kama umepoteza nenda kwa Trafik mwambie akutizamie kama gari inadaiwa endapo una deni lazima itakuja na control no pamoja na kosa ulilofanya na mahala ulipoandikiwa fine + traffic aliekuandikia hiyo fineBado hamjaniambia jinsi ya kupata hiyo control number.
Ulipoandikiwa fine ulipewa karatasi yenye control no, kama umepoteza nenda kwa Trafik mwambie akutizamie kama gari inadaiwa endapo una deni lazima itakuja na control no pamoja na kosa ulilofanya na mahala ulipoandikiwa fine + traffic aliekuandikia hiyo f
Control number iko kwenye karatasi ya fine uliyopewa.Bado hamjaniambia jinsi ya kupata hiyo control number.
Reference number ndio control number. Unaweza kulipa kwa simu au wakala wa mitandao ya simu au benki.Kwa hiyo hiyo control number ndiyo naipata vipi. Mimi nina reference namba tu.
Eliakunda Mungu anamuona!
Pole najua maumivu yake.Hii tiketi imeniuma sana ni basi tu.
Ref ina anza na 99... jua ndo control #. Ukilipa kwa transaction ya simu kabla ya mwisho kubali itaonesha kama iko sawa. Ila hakikisha una hela inayolingana au kuzidi hiyo 55000 vinginevo itagomaItakuwa basi hiyo reference number ninayoiona ndiyo mnaita control number.
Hiyo reference ndio control number!..then unalipia malipo ya serikali kwa kutumia simu yako!
Ref ina anza na 99... jua ndo control #. Ukilipa kwa transaction ya simu kabla ya mwisho kubali itaonesha kama iko sawa. Ila hakikisha una hela inayolingana au kuzidi hiyo 55000 vinginevo itagoma