Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
IPO risiti ya halmashauri inazagaa mitandaoni ikionyesha malipo faini ya 30,000 kwa kosa la kujifungulia nyumbani.
Naomba kufahamishwa, hii faini ni kwa mikoa yote nchini au ni Njombe pekee?
Je, kujifungua mwanamke lazima apatwe na uchungu hospitalini?
Je, akipatwa na uchungu akiwa nyumbani na hakuna kituo Cha afya karibu aache kujifungua Hadi afike hospitalini?
Huyu Mkurugenzi, DC, RC na madiwani wanaosimamia hizi faini kwanini wasishtakiwe?
Kwanini wanasiasa wa awamu hii wanaamini kuwanyonyo wananchi kupitia sheria na kanuni za kinyonyaji zisizo na utu?
Chama cha WANASHERIA wanawake haya mnayaona? Watu wa Halki za binadamu haya mnayaona au mmekaa huko DSM mnakula viyoyozi?
Naomba kufahamishwa, hii faini ni kwa mikoa yote nchini au ni Njombe pekee?
Je, kujifungua mwanamke lazima apatwe na uchungu hospitalini?
Je, akipatwa na uchungu akiwa nyumbani na hakuna kituo Cha afya karibu aache kujifungua Hadi afike hospitalini?
Huyu Mkurugenzi, DC, RC na madiwani wanaosimamia hizi faini kwanini wasishtakiwe?
Kwanini wanasiasa wa awamu hii wanaamini kuwanyonyo wananchi kupitia sheria na kanuni za kinyonyaji zisizo na utu?
Chama cha WANASHERIA wanawake haya mnayaona? Watu wa Halki za binadamu haya mnayaona au mmekaa huko DSM mnakula viyoyozi?