eneo

  1. Bakulutu

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kituo cha mafuta kinauzwa (hakikukamilika) kipo kwenye eneo la heka 1

    Kituo kipo barabara ya Bagamoyo/Mlandizi, eneo tambarare kabisa, kina matanki 3 chini tayari na nyumba/ofisi tayari . Bei ni 150M . Hakuna kituo chochote karibu katika hii barabara na barabara nzima yenye umbali wa 35km kuna kituo kimoja tuu . Karibu kwa mazungumzo 0764452424 / 0785452424
  2. Sonship

    JamiiForums Tanzania ENEO LA SHULE LINAUZWA AU KUKODISHWA GOBA MATOSA

    ENEO LA SHULE LENYE MICHEZO YA WATOTO LINAKODISHWA/KUUZWA Eneo la Shule lenye Madarasa kwa ajili ya DAY CARE & NURSERY LINAKODISHWA AU KUUZWA kwa mteja yeyote mwenye uhitaji wa kununua. Eneo hili lenye Ukubwa wa takribani Ekari 2, lipo Dar esalaam Matosa, Goba na lina Madarasa 4,Nyumba 1 ya...
  3. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Eneo linauzwa 35*35 (1225m²) Boko Basihaya

    Kiwanja kizuri Sana kiko kwenye makazi yaliyopangwa yakapangika, very good neighbourhood. Sifa za kiwanja. Marefu ni meta 35 Mapana ni meta 35. Unaweza ukakiita nuhu hela. Kiko Boko Basihaya, panafikika kirahisi kwa usafiri wa aina yoyote. Bei 50 mil only Mawasiliano:- 0717454455 0767454455
  4. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Kila Ijumaa eneo la Chagga Street kuna ongezeko kubwa la ombaomba. Je, ni jukumu la nani kushughulikia changamoto hii ya kijamii?

    Wanafika kuazia saa 11 alfajiri kila Ijumaa kumsubiri tajiri wa Oilcom. Naye anawagawia Tsh 2,000/= kila mtu. Mtaa huu ni maarufu kwa vile una migahawa miwili maarufu Chef Pride na KT Shop. Tajiri wa Oilcom anafika mida ya saa 1 kupata breakfast yake Chef Pride Kuna ombaomba wa umri kuanzia...
  5. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Kama eneo lako ni asili ya mchanga una faida nyingi sana kwenye ujenzi

    Kama eneo lako ni asili ya mchanga una faida nyingi sana kwenye ujenzi
  6. ommytk

    JamiiForums Tanzania Eneo linauzwa makongo mwisho kuelekea kanisa katoliki karibu na josam apartment

    Wadau eneo linauzwa lipo makongo mwisho njia kwenda kanisa katoliki lina ukubwa sqm 2231 lina hati ya wizara.halina shida yoyote ni tambalale na bei ya kutupa linuzwa kwa ajili ya shida tu bei ni 300m Karibu
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali itafute njia sahihi ya Magari ya Mizigo yaliyopo eneo la DUCE

    Pale eneo la Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE) na karibu pia na ulipo Uwanja wa Benjamin Mkapa kuna magari makubwa yanaziba barabara na mbaya zaidi magari hayo yanageuzia kwenye geti la uwanja huo. Watu waonaotumia barabara ile kuelekea Mbagala na kwingineko wamekuwa na changamoto kubwa...
  8. BigTall

    JamiiForums Tanzania Familia ya Mzee aliyesaidiwa kupata Viwanja na Hayati Magufuli yadai imeporwa eneo hilo na Kamishna wa Ardhi Dar

    Flavian Methew Nyandikuu Mzee Flavian Methew Nyandikuu (85) Mkazi wa Mwenge Mlalakuwa, Mtaa wa Nyendikuu Jijini Dar es Salaam amelia na Ofisi ya Kamishina wa Ardhi Mkoa wa Dar kwa kushindwa kumilikisha ardhi yake kwa zaidi ya Miaka 40 sasa ambapo kila akienda katika ofisi hizo kudai haki yake...
  9. Y

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Eneo la Wazi lililopo Shehia ya Mombasa, Magharib B linajengwa kimyakimya, Viongozi mpo kimya

    Mimi ni Mkazi wa eneo la Mchina Mwanzo katika Shehia ya Mombasa, Wilaya ya Magharib B, hapa karibu na kwetu kuna eneo la wazi ambalo limekuwa hivyo wazi kwa Miaka mingi, lakini hivi karibuni kuna ujenzi ambao unaonekana unataka kuanza na kwa tafsiri ya harakahara ni kama ‘ujenzi wa kimyakimya’...
  10. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Eneo Linauzwa Goba Half London

    Habari wakuu. Eneo Linauzwa Goba Half London. Umbali Hadi barabara kuu ya Lami ni Mita 600 Sqm 3000 Hati Safi (Title Deed) Bei milion 300 Piga simu 0754693556
  11. stabilityman

    JamiiForums Tanzania faida za kumtumia fundi kukujengea nyumba ambaye ni mkazi wa mbali na eneo lako hasa mkoani

    Ingawa wengi hupendelea mafundi wa karibu, kutumia fundi kutoka mbali kunaweza kuwa na faida maalum kulingana na mahitaji na mazingira ya mradi wako. Hapa kuna baadhi ya faida zake: 1. Utaalamu wa kipekee – Fundi kutoka mbali anaweza kuwa na maarifa au uzoefu wa kipekee ambao haumpati fundi wa...
  12. stabilityman

    JamiiForums Tanzania faida za kumtumia fundi kukujengea nyumba ambaye ni mkazi wa jilani na eneo lako

    Habari naitwa Eng James ni mtaalamu wa ujenzi wa nyumba za kisasa ,Ramani za nyumba ,BOQ N.K Wewe endelea kufatilia maandiko yangu utajifunza mengi kuhusu ujenzi na kupata ubora mkubwa sambamba na kupunguza ghalama. Njoo tukujengee tukukabidhi funguo 0743257669 ofisi tupo ukonga dsm Kumtumia...
  13. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania Eneo la Viwanda linauzwa

    Plot No. 729 & 730, Block 'A' – CBD Plot 729: 8,912 sqm Plot 730: 7,056 sqm Jumla: 15,968 sqm Eneo lipo ndani ya zone ya viwanda – Kibaha Bei: TZS 1.2 Billion (maongezi yapo) Call/WhatsApp: +255 758 844 717
  14. radhiya

    JamiiForums Tanzania Tunatafuta Eneo la kununua Masaki au Oysterbay

    Tangazo kwa Wamiliki wa Mali/Viwanja! Kwa niaba ya mteja wetu, tunatafuta Eneo la kununua Masaki au Oysterbay, Dar es Salaam. Ukubwa wa Eneo unapaswa kuwa 800sqm-1500sqm. Kiwango cha juu cha bajeti ya mteja Dola 800,000. Kumbuka: Kiwanja kinapaswa kuwa na hati ya umiliki Safi. Toa maelezo...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Atakuwa Amesahau Eneo Gani?

  16. Big Dy

    JamiiForums Tanzania Kupimiwa Eneo

    Habari za majukum wanajamvi. Ninahitaji huduma ya kupimiwa eneo langu ili ni process kupata hati ya kiwanja. Eneo lipo kibaha mkoa wa pwani. Any leads nitashukuru sana
  17. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Nina milion 5 nataka eneo goba wakuu

    Kama kichwa h'cha habari kinavyojieleza natafuta eneo goba Nina hicho kiasi Ili niweze kujenga Kwa mwenye eneo naomba tufanye biashara MODS: msihamishe huu Uzi tafadhali uacheni jukwaa hili hili
  18. radhiya

    JamiiForums Tanzania Tunatafuta Eneo la kununua Masaki au Oysterbay

    Tangazo kwa Wamiliki wa Mali/Viwanja! Kwa niaba ya mteja wetu, tunatafuta viwanja 2 vya kununua Masaki au Oysterbay, Dar es Salaam. Ukubwa wa kiwanja unapaswa kuwa 900sqm-2500sqm. Kiwango cha juu cha bajeti ya mteja USD 1M. Kumbuka: Kiwanja kinapaswa kuwa na hati ya umiliki Safi. Toa...
  19. radhiya

    JamiiForums Tanzania Tunatafuta Eneo kwa ajili ya JV Masaki/Oysterbay

    Tangazo kwa Wamiliki wa Mali/Viwanja! Kwa niaba ya mteja wetu, tunatafuta Kiwanja cha JV kilichopo Masaki au Oysterbay, Dar es Salaam. Mahitaji ya mteja: -Ukubwa wa kiwanja uwe 2000sqm-4000sqm upeo. -Masharti 30%/70%. -Mmiliki anapaswa kuwa tayari kwa maendeleo ya Villa(Villa development)...
  20. N

    JamiiForums Tanzania Coca-Cola Kwanza yapokea eneo la Stendi ya Msamvu kwa ajili ya Soko la Mama Lishe Morogoro

    Afisa Uhusiano wa Coca-Cola Kwanza, Maria Kimwaga, kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Manispaa ya Morogoro, Emmanuel J. Mkongwa, wakati wa makabidhiano rasmi ya eneo la Stendi ya Msamvu kwa Kampuni hiyo. Hafla ya makabidhiano ya eneo hilo ilifanyika katika ofisi za Mkurugenzi wa Manispaa...
Back
Top Bottom