elimu

  1. Kurzweil

    Like Mother Like Daugther. Wote wana elimu za hapa na pale

    Umofia kwenu wanaJF, Namba moja ana elimu ya hapa na pale ikiwa imesheni vyeti vya elimu ya chini vya kutosha. Pia binti yake ambaye amekabidhiwa kitengo nyeti kuhusu elimu na yeye elimu yake ni kama Mama nayo ni ya hapa na pale imejaa vyeti vya ngazi za chini kibao.
  2. hamis77

    Kwanini baadhi ya viongozi wa dini Elimu zao ni ndogo?

    Awamu hii nimejiona ufinyu wa akili za baadhi ya viongozi wa dini ya kiislamu, ufahamu na uelewa wao ni tatizo kubwa kwa watu ambao wanawaongoza; kwamba RAISI akiwa Muislamu, akifanya makosa asielezwe kwa kigezo cha dini? WAKRISTO hawajaanza kukosoa leo, TUNDU LISU alipigwa risasi kwenye...
  3. mshale21

    Je, elimu ni suala la Muungano au sio la muungano?

    Je, masula ya Elimu ni ya Muungano au sio ya Muungano? Na kama ni ya muungano yalianzishwa lini?
  4. H

    Tunatoa huduma za elimu binafsi (Private Coaching)

    Unahitaji kujifunza ujuzi mpya au kuboresha uwezo wako binafsi? Sasa ni wakati wako! Tunatoa MAFUNZO BINAFSI (One-on-One) kwa: 🌍 Lugha za Kigeni – Kiingereza, Kifaransa, Kijerumani, Kichina, Kihispania n.k. 💻 Kompyuta – MS Office, Internet Skills, Typing, Coding, Graphic Design n.k. 🚗...
  5. DuaZaMama

    Wanafunzi 66,987 Wapangiwa Mikopo ya Tsh. Bilioni 215.3 na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya juu (HESLB)

    TAARIFA KWA UMMA Dar es Salaam, 07 Novemba, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo Ijumaa, Novemba 7, 2025 imetoa awamu ya pili ya upangaji mikopo na ruzuku yenye jumla ya wanafunzi 66,987. Idadi hii inajumuisha wanafunzi wafuatao: Wanafunzi 43,562 wa shahada ya awali na...
  6. MamaSamia2025

    Mnawadharau kuwa wana elimu duni halafu hapohapo mnataka wasanii wawasemee... maajabu

    Inasikitisha sana kuona kuna kundi kubwa la wapumbavu wanaowaandama hawa vijana wa kitanzania walioamua kutumia vipaji vyao kujipatia kipato kihalali. Wasanii wanajipambania ila wajinga wengi wanataka hawa vijana wajihusishe na siasa zao za majitaka. Mbaya zaidi kila siku ni kuwatukana kuwa...
  7. BigTall

    GE2025 Mgombea Ubunge ACT Jimbo la Kawe asema "Tutahakikisha kuwa elimu bure inatekelezwa kikamilifu"

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Glory Tausi Shayo, ameahidi kufanya mabadiliko makubwa katika sekta za afya, elimu, na miundombinu ikiwa atachaguliwa kuwa mbunge. Akizungumza katika kampeni zake, Tausi amesisitiza kuwa atahakikisha wananchi wengi wanapata...
  8. Its Pancho

    Namna shule za sasa zinavyoiua elimu yetu. Zimekaa kitapeli sana

    Wakuu I salute you kinsmen.. Ukiachana na kwamba na mimi nasomesha pia ila pia nimekuwa nikifuatilia sana jambo hili linapoelekea naona sio pazuri kabisa nchi itaanguka. Well Hizi shule za sasa hasa hizi za mabasi ya njano tunazomesha watoto wetu ni za kitapeli sana nowdays.. 1: kwanini...
  9. ndege JOHN

    Nijuzeni kiini cha maarifa ya kichanga kuanza kulishwa chakula baada ya miezi SITA toka azaliwe

    Kuna mwenye kujua history ilianzaje mpaka wahenga wakagundua mtoto akizaliwa akae miezi SITA bila kula chochote hata maji.. Na je mwanzo pengine walikuwa hawana hio akili wakawa wanalishwa ndani ya miezi miwili au mitatu tumbo halijakomaa je ilikuaje wali survive kweli hao watoto? Kuna...
  10. A

    KERO DED wa Rorya tusaidie Watumishi wa Elimu Msingi tulipwe malipo yetu ya likizo

    Mimi ni mdau wa JamiiForums.com nina kero ambayo naomba ujumbe ufike kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya pamoja na ofisini yake kwa jumla. Sisi Watumishi katika ngazi Elimu Msingi hatujalipwa fedha yetu ya likizo tangu Desemba 2024, licha ya kuwa tulijaza fomu ya malipo...
  11. JanguKamaJangu

    Ongezeko la ajali Kemondo - Bukoba lawaingiza Mtaani Bwanku na Jeshi la Polisi kutoa elimu

    Ndani ya kipindi kisichozidi miezi miwili Kata ya Kemondo imeshuhudia ajali 3 za barabarani zilizoua watu watatu, kufuatia matukio haya ya ajali Afisa Tarafa ya Katerero iliyopo Bukoba mkoani Kagera Ndugu Bwanku M Bwanku, Ijumaa Oktoba 3, 2025 ameongozana na Polisi Kata wa Kemondo Afande Huruma...
  12. GENTAMYCINE

    Si vibaya tukishea kwa pamoja hii Elimu kiduchu kumhusu Adui yetu mkubwa Nyoka

    Aliyesema kuwa Nyoka ni Shetani hakukosea.
  13. T

    Elimu kubwa vs Mafanikio ya maisha

    Simaanishi kusoma hakuna maana, bali unaweza kusoma sana kwa kiwango kikubwa cha elimu lakini ukaja kukuta kitu kilichokufanya ukapata mafanikio ya maisha kwa kuwa na utajiri hata havihusiani na elimu uliyosoma. Kuna kijana wa kisomali nilisoma nae mpaka chuo kikuu, na akaendelea mpaka...
  14. SinaMdaa

    Nini lengo la Elimu kwenye kizazi hiki

    Habarini wakuu, natumaini mu wazima. Moja Kwa Moja kwenye mada, Kadri siku zikienda najikuta hili swali liendelea kuwa na uhalisia,kwamba nini Lengo la formal education Kwa nyakati hizi ikiwa haitatui matatizo iliyopaswa kuyatatua . Kama Elimu ilipaswa kuanda watu wenye udhubutu na maarifa ya...
  15. Damaso

    Kituo cha Discovery Channel kimebadilika kutoka Elimu hadi Burudani za kuhadaa

    Kuna kipindi fulani, hasa miaka ya 1990 hadi mwanzoni mwa 2000, jina Discovery Channel lilikuwa alama ya heshima kwa yeyote aliyependa kujifunza kupitia runinga. Ilikuwa ni “chuo cha nyumbani,” chenye vipindi vya kuvutia juu ya sayansi, historia, teknolojia, safari na siri za ulimwengu ambazo...
  16. Mashamba Makubwa Nalima

    Naona umuhimu wa kumpeleka shule mtoto wa kike, wanawake wamekuwa na muamko mkubwa sana wa haki na misimamo imara. Binti zangu watapata elimu pia

    Nimekuwa nikipitia mitandaoni nimeona umuhimu wa mabinti zetu katika kupambania haki na usawa. Wakati kwa miaka mingi ilikuwa inaonekana hii empowerment imekuja kumuondolea nafasi yamwanaume kwenye jamii lakini imekuwa na matunda mazuri. Nimepita vijiweni, sokoni na mitandaoni kama nilivyosema...
  17. H

    Kati ya Yesu na Muhamad nani ni msaada kwa Waafrika?

    Iwapo kuna makundi mawili makubwa ya wafia dini wa Yesu na wa Muhamad je ni kundi lipi ambalo liko sahihi na linapata msaada zaidi ya lingine kutoka kwa kiongozi wao? Na kwanini kuwe na makundi mawili kwa wafia dini wa kiafrika wakati Mungu ni mmoja tu? Je makundi ambayo hawako kundi la Yesu...
  18. Sifi Leo

    DOKEZO Proffesa Mkenda, waziri wa elimu ingilia kati hii shule ya msingi St Marks ya Kongowe. Tafadhali na hata St Methew msingi

    Proffesa Mkeda natumah ujambo na UNAENDELEA vizuri na majukumu Yako kampeni kwa lengo la kulinja taifa Mh Proffesa MKENDA tunaamini serikali ya Tanzania iliporuhusu wawekezaji binafsi katika sector ya elimu haikuwafanya wawe juu ya Sheria au wavunje Sheria za nchi hii Hasa katika sector ya...
  19. Just Pray

    GE2025 Rais Samia aahidi kutoa ajira mpya elfu kumi na mbili sekta za afya na elimu

    Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuwa endapo ataendelea kupewa ridhaa ya kuongoza katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, Serikali yake itatoa ajira mpya 12,000 katika sekta za afya na elimu. Akihutubia maelfu ya...
  20. M

    Sifurahii kufanya kazi na natamani kuacha kazi kwasababu hapa ninapofanyia kazi incharge nimemzidi GPA na yeye ana elimu ya kuunga unga

    Serikali iangalie hili swali aisee haiwezekani mtu ana GPA ya kuunga unga nahisi jamaa GPA yake iko below 4.5 na mimi GPA yangu ni kubwa sana yaani katika hapa ofisini hapa mimo ndiyo nina ufaulu wa juu sana yaani ufaulu wa juu mpaka kufulu sasa huyu incharge nimemzidi kwa kila kitu kwanza elimu...
Back
Top Bottom