Katika Halmashauri ya Kibondo, upandaji wa Madaraja hatuna elimu na wengine hadi miaka 5 inapita bila kupanda daraja, je! Kwanini tusiambiwe ukweli ili mtu ukaishi bila kulaumu kiongozi?
Suala la kuhama kwenye mfumo, tupewe elimu na vigezo vya mtumishi kuhama na kusaidika namna nzuri bila...
Anonymous
Thread
elimu
kuhusu
likizo
madaraja
posho
uhamisho
upandaji
upandaji wa madaraja
Wadau wa fedha na uwekezaji,
Kuna kitu muhimu sana ambacho mara nyingi tunakisoma kwenye vitabu vya Rich Dad Poor Dad na vingine vya personal development, lakini wengi wetu hatuchukui hatua — financial intelligence.
Reading is powerful, yes. Lakini knowledge bila application ni sawa na theory...
Wilaya ya Mbinga Mkurugenzi amelazimisha shule zote za Sekondari kuanzia Mwaka 2025 kuwa Kidato cha kwanza wanatakiwa kusoma masomo yote bila kujali wameyachagua au la, kitu ambacho ni kinyume na Mtaala wa Elimu wa 2014 ulioboreshwa wa 2023.
Mtaala huo wa sasa unawataka wanafunzi kusoma masomo...
Anonymous
Thread
elimu
kinyume
masomo
masomo yote
mbinga
mkurugenzi
sera
sera ya elimu
wanafunzi
wilaya
wilaya ya mbinga
Wadau, mambo si mazuri ground. Grade 10 learners across the country wanapitia serious textbook crisis just after first term. Imagine class ya wanafunzi 50 wanashare vitabu 9 pekee learning inakuwa struggle kabisa.
Teachers na principals wanakiri kuna shortage but wengi hawawezi speak openly juu...
Tuzungumzie Occultism na Goetia.
Tunaingia kwenye ulimwengu wa "elimu ya siri" (hidden knowledge) ambayo kihistoria imekuwa ikitafuta kuelewa na kudhibiti nguvu zisizoonekana za ulimwengu.
Hapa kuna uchambuzi wa kuhusu:
1. Occultism (Elimu ya Siri)
Neno hili linatokana na neno la Kilatini...
Watanzania elimu ni tiba ya kutatua matatizo siyo kusoma tu kama unasoma gazeti. Inakuwaje mwanachuo ulalamike mitandaoni na upo na utawala hapo hapo ,na Kuna suggestion boxes kibao, na umesoma research writing huoni kama unakidhalilisha chuo?
Andikeni maandiko, fanyeni mini research watu waone...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inaendelea kusimamia uboreshwaji wa miundombinu ya elimu nchini, ili kuhakikisha kila mtoto wa Kitanzania anapata haki yake ya msingi ya elimu bora katika mazingira...
Mara nyingi wazazi wanapochagua shule kwa ajili ya watoto wao, kigezo kikuu huwa ni ufaulu wa kitaaluma. Siku hizi, baadhi ya wazazi wako tayari kulipa ada kubwa ili kuhakikisha watoto wao wanasoma katika mazingira bora, huku wakiachia jukumu la malezi kwa walimu.
Kwa upande mwingine, shule...
Naam, ashakum si matusi inauma lakini yaweza kuwa dawa.
Zamani mtu akimaliza darasa la saba alikuwa anakuwa na uwezo wa kukabiliana na changamoto zinazomzunguka,
Naweza kuamini kwamba baadhi ya masomo kama vile Sayansi kimu,sanaa,michezo na kilimo yalikuwa ni sababu ya kuwaimarisha kimwili...
Hapa sasa nakubaliana na Mzee Kikwete hasa aliposema Akili za kuambiwa changanya na zako.
Inawezekana vipi mtu amezwe siku3 nzima mchana na usiku Kisha akatapikwe akiwa Yu hai?
Haihitaji maelezo mengi sana naishia hapa ila Mimi pamoja na ukristo wangu nakiri wazi tulipigwa chumvi iliongezwa...
Nimejaribu kupitia mtaala huu mpya wa elimu ya msingi Hadi kidato Cha nne sijaona suluhisho la mtaala huu kuwaandaa watoto wetu kushindana na nchi zingine au watoto kujitegemea.
Mfano historia ya Tanzania mtoto anafundishwa teknolojia ya asili ya uvuvi, uhunzi, kilimo wakati watoto wa huko...
Africa itakuja kuelendelea lakini baada ya kupoteza kila kitu.. Bado tuna vitu vingi adimu, cya thamani kubwa na vya kipekee ambavyo wenzetu hawana tena lakini sisi hatuvithamini.. Leo tuangazie siafu
Matumizi ya siafu nchini China yanahusisha nyanja za kitabibu
kilimo
biashara, huku kukiwa...
ELIMU YA KODI YA ONGEZEKO LA THAMANI (VAT) KWA WAFANYABIASHARA
https://hiltonhotelrental.com/register?pId=KOHLYC
~Wamiliki wengi wa biashara ndogo husikia kuhusu VAT lakini hawaelewi kikamilifu jinsi inavyofanya kazi. Kuelewa kodi hii ni muhimu kwa sababu inaathiri upangaji wa...
Tanzania hivi sasa tunakabiliwa kwa kiwango kikubwa sana cha vijana tunaowaita Elimu Ndogo Pesa Nyingi (Tuwaite EP kwa kifupi - Elimu Pesa), ambao utawatambua katika namna ya maongezi yao, kutamba kwao na kujionyesha kwao. Hata humu JF wapo wengi tu. Utaongea nae dakika tatu tu na kujua kwamba...
Igweeee!
wanajukwaa wkwa wenye experience na kiinua mgongo katika sekta tajwa anabeba ngapi??
Na je kila mwezi wanapokea Pesa sijui inaitwa pension? kitu kama hicho. Je ni bei gani.
kwa wajuzi tu, kama hujui comment fupi fupi
Nimeiona pahali Fulani Nini Maoni Yako mwana JF??
ELIMU YETU
Leo tumeanza mitihani hapa chuoni. Kitu kimoja kuhusu elimu ya Tanzania kinanijua akilini wakati naamka kuwahi saa 12 niwe ofisini. Elimu ya Tanzania ni kama mzazi asiyejua amleeje mwanaye. Wakati mzazi huyo anamlaumu mtoto, na mtoto...
DAZ BABA - ELIMU DUNIA.
VERSE.. ( AFANDE SELE)
We ni mfungwa sasa 'si mtu huru/
Ukilalamika sana utakuwa kama unakufuru/
Tu..!!
Lazima ujue sisi ni vifaranga na maisha ni kama mwewe/
Mama yetu ni elimu’ ulio mkataaga we mwenyewe/
zamani..!!
Ulimkataa elimu ya duniani 'ukampiga hadi mwalimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.