Elimu kuhusu mimba

Elimu kuhusu mimba

Matunda safi

Member
Joined
May 30, 2025
Posts
38
Reaction score
65
Je mwanamke akiwa na mimba hedhi inaweza kuendela kutoka?au imekaaje wakuu,naomba ufafanuzi Kwa madakitari na mtu yoyote mwenye uelewa humu JF
 
Je mwanamke akiwa na mimba hedhi inaweza kuendela kutoka?au imekaaje wakuu,naomba ufafanuzi Kwa madakitari na mtu yoyote mwenye uelewa humu JF
Inaweza kutokea ndio mtoto alipojipandikisha huwa zinatoka damu japo nyepsi sio kama zile za hethi zenyewe damu hizi zinaweza kukata muda mfupi baada ya mimba kukua au zinaweza kuendelea hadi mtoto kuzaliwa japo ikitokea zimezidi muone daktari
 
Back
Top Bottom