elimu

  1. J

    Tatizo letu kubwa lipo kwenye mfumo wetu wa Elimu ndiyo maana tunazalisha viongozi dhaifu

    Habari wana jamvi, Nimefuatilia kwa muda mrefu jinsi mambo yanavyo endelea nchini mwetu katika nyanja mbalimbali, nimegundua kuwa tatizo ni kubwa mno hasa kwasababu linaanzia kwenye mfumo wetu wa Elimu. Mwishoni nitajitahidi kufafanua. Kifupi ni kwamba waliotakiwa kuongozwa ndio wanatuongoza...
  2. maroon7

    Wizara ya Elimu ishinikize vyuo vya Serikali vilipe madeni ya walimu wa part time katika kipindi hiki kigumu cha janga la COVID-19

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza tunaomba Wizara isaidie Vyuo Vikuu vya Serikali ambavyo vina tabia ya kulimbikiza madeni ya walimu wa part time vilipe mara moja hasa katika kipindi hiki cha janga la Corona ambapo kujikimu imekuw shida kutokana na shughuli nyingi za kiuchumi kuathirika...
  3. Mlenge

    Ushauri wangu kuhusu mustakabali wa Elimu zama za COVID-19

    Habari. Chukua hatua, jikinge na maambukizi. Baadhi ya Maswali Magumu: 1. Mitihani ya kitaifa itafanyika lini? 2. Wa kujiunga na kidato cha tano wajiunge lini? 3. Wa kujiunga na vyuo vya elimu ya juu itakuwaje? ongezea hapo maswali mengineyo. Ufumbuzi: 1. Computerized educational...
  4. Analogia Malenga

    Aliyekuwa Afisa Elimu Arusha afariki dunia na kuzikwa na Serikali

    Aliyekuwa afisa elimu Arusha! Ndugu ndiyo wamemaliza kuona amezikwa na serikali Pumzika mwalimu
  5. Mudawote

    Wizara ya Elimu-hawakufanya uchambuzi wa COVID19 kwa kina

    Umofia kwenu GTs. Wizara ya Elimu-hawakufanya uchambuzi wa COVID19 kwa kina. Wangefanya kazi yao vizuri leo hii nadhani vyuo vikuu vyote wanafunzi wangeendelea kusoma online. Wizara ya Afya-hawakufanya uchambuzi sahihi namna ya kukabiliana na COVID19. Wangefanya kwa kina leo hii wauguzi na...
  6. U

    Gari yangu inatoa moshi mweupe mwingi kama wingu naomba msaada

    Tafadhali wataalamu na wazoefu wa jukwaaa letu pendwa 1.Gari yangu ilianza kutoa moshi mwingi kama wingu kubwa na ilikuwa inaonyesha engine check baada ya hapo nikabadilisha oil s40 na baada ya kuchange oil ikawa haitoi tens moshi kabisa na ile taa ya check engine ikazima Ila baada ya halo...
  7. M

    Suala la Academic International School kudai ada ya muhula wakati huu halikubaliki, Serikali tunaomba muingilie kati

    Mh Waziri wa Elimu na Serikali tunaomba muingilie kati hili linaloendelea katika hii shule ya Academic International School ya hapo Dsm kwani wanawalazimisha Wazazi kulipa Ada ya term nzima wakati huu ambao tupo kwenye janga la Corona, shule zote zimefungwa na haijulikani ni lini hali itarudi...
  8. Mr. Purpose

    Fursa kwa wamiliki wa stationary, shule, wanafunzi, waalimu na wadau wa elimu

    Habari wakuu, ni matumaini yangu mko vizuri. Leo nimewaletea fursa kwa wale wamiliki wa stationary, wamiliki wa shule au taasisi za kiellimu, wanafunzi kuanzia shule za msingi hadi kidato cha sita na hata wazazi pia wanaweza nufaika. Upatikanaji wa material ya kujisomea kwa wanafunzi umekuwa...
  9. F

    Chondechonde Serikali: Msiwaonee walimu haswa walimu wakuu, wakuu wa shule na waratibu elimu kata

    Halo wadau wa JF. Kuna tetesi nimezinasa kuwa serikali ina mpango wa kuwanyima posho walimu wakuu, wakuu wa shule na waratibu elimu kata. Madai ya serikali ni kuwa hawa watu hawapo kazini ktk kipindi cha likizo isiyo rasimi au likizo ya corona. Lengo ni kuwa posho zao zielekezwe kuikabili eti...
  10. TheChoji

    Hili la kunawa mikono elimu bado inahitajika

    Nianze kwa kuipongeza serikali na mamlaka husika kwa kutilia mkazo suala la kuweka vifaa vya kunawia mikono karibu katika maeneo yote ambayo watu wanaingia. Utekelezaji wa hili umekua mkubwa na kwa sasa maeneo mengi sana wameweka vifaa vya kunawia mikono. Kilichofanya niandike uzi huu, ni...
  11. K

    Elimu nzuri kuhusu corona kutoka kwa diaspora

    Video Conferencing, Web Conferencing, Webinars, Screen Sharing
  12. M

    Bajeti Tamisemi yajikita kwenye afya, elimu

    OFISI ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imeomba bajeti ya Sh trilioni saba kwa mwaka 2020/21 huku ikijikita kuboresha mfumo wa elimu na afya.Akiwasilisha bajeti hiyo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Selemani Jafo, alisema...
  13. digba sowey

    RC Makonda: Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa

    "Tokeni kafanyeni kazi eti Watu wanafunga maduka, wanajifungia majumbani kisa Corona, mtakufa na njaa, ndio maana leo nawafuatilia wakandarasi, sasa nimkute mkandaraai hayupo site kisa corona, kuna wapuuzi huko wanasema Serikali inadanganya idadi imeongezeka, kwenu kuna Mtu amekufa na corona...
  14. chiembe

    Wizara ya Elimu imeshindwa kuandaa audio na video ya vipindi vya masomo mbalimbali?

    Karne hii ya kidigitali wizara hii inafanya ? Vifaa vipo, walimu wapo wa kurekodi, nini shida? Kwa kila topiki tena na nyenzo za kufundishia Hii Wizara iamke usingizini
  15. M-mbabe

    Kutolewa kwa Mkopo wa Benki ya Dunia kwa Tanzania: Marekani yaeleza msimamo wake

    Marekani (US), nchi ambayo ni mdau muhimu kabisa wa Benki ya Dunia (World Bank) wameonesha dhahiri kutofurahishwa na hatua ya taasisi hiyo ya fedha kuridhia mkopo kwa ajili ya sekta ya elimu Tanzania kutokana na makandokando mengi ambayo serekali yetu bado haijayaweka sawa. Soma waraka wao huu...
  16. sky soldier

    Mbinu nayotumia kumlea mwanangu anayesoma private awe mjanja, awe na furaha, asigeuke kuwa kuku wa kisasa

    TUELEWANE MAPEMA, MAMBO MUHIMU. 1.Mtoto wangu hachezi na watoto wa kihuni mitaan na akienda kijijini ni nje kidogo ya mji na ndiko nlipokulia, watoto anaocheza nao wengi walezi wao nawajua tunafahamiana, pia hakuna watoto wa mitaani huko kama mjini. 2. sifurahi kwamba mwanangu ni mjanja au...
  17. Erythrocyte

    COVID-19 : Naibu Waziri wa Afya aipongeza JamiiForums kwa elimu iliyotukuka

    Dr Faustine Ndungulile ambaye ni Naibu Waziri wa Afya ameipongeza na kuishukuru Jf kwa uchambuzi makini na kuelimisha Jamii kuhusu Ugonjwa wa Corona . Hii ni heshima kubwa sana kwa Wanachama wote wa JF Wito: Tuendelee kuelimisha wananchi wenzetu namna bora ya kujikinga na Corona . Mungu...
  18. Askari wa motoni

    Nina elimu ya form 4, natafuta kazi yoyote

    Wasalaam ndugu. Natafuta kazi.. Nina elimu ya form 4 niliyoipata Azania secondary school. Elimu ya kidato cha sita nimeipata Kibasila High school. Ninauwezo wa kutumia computer kwa ufasaha na kuchapa kazi kwa kutumia Ms word na Ms Excell. Nina uwezo wa kuandika muswada wa filamu(script...
  19. Mwanamayu

    Elimu nzuri sana ya namna ya kunawa mikono, ila je watanzania wangapi wanamudu au kufikiwa na mfumo huo wa maji na sabuni haina hiyo?

    Maelekezo ni mengi na mazuri kabisa, na yamekuwepo hata kabla ya Corona mpya kusumbua watu. Namna inayoonyeshwa kwenye video ni nzuri sana, ila je ni watanzania wangapi wanaweza kumudu mfumo huo wa maji? Au ni wangapi wamefikiwa na mfumo huo wa maji? Je, watanzania wangapi wanamudu aina ya...
  20. Pascal Mayalla

    Corona inatufundisha Tanzania tuna tatizo kuchanganya siasa na professionalism. Hongera Prof. Janabi kwa elimu uliyotoa, so far you are the best!

    Wanabodi, Tangu kuibuka kwa Mlipuko wa Corona, umetufundisha mengi, moja wapo ni jinsi wanasiasa wetu, mawaziri wetu, madaktari wetu, na wataalamu wetu kuchanganya siasa na professionalism katika kukabibiliana na tatizo kubwa kama hili ukiwemo uwezo duni wa kutoa elimu ya kueleweka kuhusu...
Back
Top Bottom