kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 5,987
- 6,646
Kumekuwa na jitihada nyingi wakati wa uchaguzi wanasiasa kutaka kuonesha walivyofanya maajabu, ubaya nipale yanapotengenezwa mambo kinguvu ili kusadifu matakwa ya wanasiasa.
Tunakumbuka 2013 matokeo ya K IV yalinogeshwa ili BRN (big results now) ionekane imeleta output kubwa enzi hiyo.
Hivi sasa niajabu kidogo jinsi shule za serikali nane zimeshika kumi bora matokeo KVI.
Shule za private zimewekeza mmmno natena kadhaa huchukua wanafunzi bora tupu na huwalipa walimu wake vizuri sana,zina vifaa bora kabisa vya kufundishia na kujifunzia sasa leo iweje wazidiwe na shule ambazo wanafunzi hawachujwi, chakula cha wanafunzi ni tabu, walimu hawalipwi vyema, mishahara haiongezeki, madaraja kupanda ni kwashida, wanaidai serikali malimbikizi ya mishahara muda mrefu bila kulipwa,wamepandishiwa kibabe makato ya heslb na wanalalamika awamu ya tano kutokuwajali kama ile ya nne na matatizo mengine mengi.
Bila hata ya utafiti ni dhahiri point tatu zinatafutwa kwabao la mkono nahii ni aibu kuu maana bila elimu bora taifa huishia kusinyaa hata lijengwejengwe vipi. Tunataka elimu bora isiyolongoshewa siasa za ubabe ubabe kulazimisha yasiyoyamkinika.
#ondoa magumashi kwenye elimu.
Tunakumbuka 2013 matokeo ya K IV yalinogeshwa ili BRN (big results now) ionekane imeleta output kubwa enzi hiyo.
Hivi sasa niajabu kidogo jinsi shule za serikali nane zimeshika kumi bora matokeo KVI.
Shule za private zimewekeza mmmno natena kadhaa huchukua wanafunzi bora tupu na huwalipa walimu wake vizuri sana,zina vifaa bora kabisa vya kufundishia na kujifunzia sasa leo iweje wazidiwe na shule ambazo wanafunzi hawachujwi, chakula cha wanafunzi ni tabu, walimu hawalipwi vyema, mishahara haiongezeki, madaraja kupanda ni kwashida, wanaidai serikali malimbikizi ya mishahara muda mrefu bila kulipwa,wamepandishiwa kibabe makato ya heslb na wanalalamika awamu ya tano kutokuwajali kama ile ya nne na matatizo mengine mengi.
Bila hata ya utafiti ni dhahiri point tatu zinatafutwa kwabao la mkono nahii ni aibu kuu maana bila elimu bora taifa huishia kusinyaa hata lijengwejengwe vipi. Tunataka elimu bora isiyolongoshewa siasa za ubabe ubabe kulazimisha yasiyoyamkinika.
#ondoa magumashi kwenye elimu.