Sikubaliani na Tangazo la Haki Elimu mnatudhalilisha

balimar

JF-Expert Member
Sep 18, 2015
7,554
13,266
Hello wana bodi!!

Naomba kuuliza hivi hawa 'Haki Elimu' na Tangazo lao la Mwanafunzi hataki kwenda shule kwakuwa anatongozwa na mwalimu wake lina 'credibility' na 'validity' kiasi gani?

Moja, hivi sample size yao kwenye huo utafiti ilikuwa ni walimu wangapi wenye tabia hiyo kiasi kwamba liwe tatizo la kutubagaza Walimu kila mahali na kila wakati?

Mbili, lengo hasa la Tangazo hilo ni nini? 'Wanahamasisha' au wanakemea au wanaelimisha au wanafanya nini (dhima ya tangazo)?

Tatu, Hivi Sisi walimu tukitaka kuwachukulia hatua kwa kunajisi 'professional' yetu tutakuwa tunakosea?

Mwisho lakini si kwa ulazima, nadhani muda umefika tutawataka Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kukataa hii 'professional abuse' kwani sisi Walimu ni Wazazi na ieleweke pia Walimu hatukubaliani na hili tangazo.

Mwenyekiti Cwt (W).

Iramba- Singida.
 
Hello wana bodi!!

Naomba kuuliza hivi hawa 'Haki Elimu' na Tangazo lao la Mwanafunzi hataki kwenda shule kwakuwa anatongozwa na mwalimu wake lina 'credibility' na 'validity' kiasi gani?

Moja, hivi sample size yao kwenye huo utafiti ilikuwa ni walimu wangapi wenye tabia hiyo kiasi kwamba liwe tatizo la kutubagaza Walimu kila mahali na kila wakati?

Mbili, lengo hasa la Tangazo hilo ni nini? 'Wanahamasisha' au wanakemea au wanaelimisha au wanafanya nini (dhima ya tangazo)?

Tatu, Hivi Sisi walimu tukitaka kuwachukulia hatua kwa kunajisi 'professional' yetu tutakuwa tunakosea?

Mwisho lakini si kwa ulazima, nadhani muda umefika tutawataka Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kukataa hii 'professional abuse' kwani sisi Walimu ni Wazazi na ieleweke pia Walimu hatukubaliani na hili tangazo.

Mwenyekiti Cwt (W).

Iramba- Singida.


Tunaoifahamu adha ya kunyanyaswa kijinsia na walimu kwa asilimia kubwa ni jinsia ya kike Na huu ni ukweli mchungu!

Nasimama na Haki Elimu!! Tangazo limesimamia ukweli na haki!
 
Matangazo yaliyokosa weledi ni pamoja na hili.
Hata huyo dada aliyetumika sijui anelipwa kiasi gani?

Hivi hawa HAKI ELIMU ni akina nani?
Hawa ndi Ben aliwakenea au wengine?
 
Anayebisha kwamba hili ni tatizo kubwa sana Nchini basi kaamua kujitoa ufahamu au kujitia upofu ili asilione tatizo husika.

Mwalimu tuliza mshono. Hio kitu ipo sana kwa walimu wengi.
Tunaoifahamu adha ya kunyanyaswa kijinsia na walimu kwa asilimia kubwa ni jinsia ya kike Na huu ni ukweli mchungu!

Nasimama na Haki Elimu!! Tangazo limesimamia ukweli na haki!
 
Daima haki elimu huwa hawakosei. Wameshafanya research ya kutosha.

Na wengine hapa tumeshuhudia hayo tangu primary mpaka vyuoni. Mwalimu acha ubakaji
Na mimi ndio nataka kujua inatoshaje?
Unajua kila kitu kina impact kwenye jamii yetu. Tangazo ni bias wala story haijabalance pale.
Pia, kanuni ya kugeneralise matokeo ya hizo qualitative research ni 'handle with care phenomenon'
 
Mkuu elewa Msingi wangu wa swali.
Tatizo kwa kiasi gani linaitwa tatizo? Hilo ndio swali langu mkuu

Mkuu inaonekana labda wewe hufanyi hicho kitu na unahisi waalimu wote wanashikiria ethics kama wewe. Inshort mkiamua kutibua watu na wakaamua kuwashikisha adabu humo kwenye staff room zenu mtabaki wachache mnoo

nimekutana na victims toka nikiwa primary. Huko sekondari na kuendelea ni vurugu tupu. Huko mavyuoni mlipoachiwa uhuru wa kufelisha ndio kama sifa. Kama huna unaemjua aliyewahi pitia hii kitu utabaki unatetea
 
Daima haki elimu huwa hawakosei. Wameshafanya research ya kutosha.

Na wengine hapa tumeshuhudia hayo tangu primary mpaka vyuoni. Mwalimu acha ubakaji

Tena sio kwa wakike tu, Hata wanaume pia ni victims haswa akiwa yupo kwenye mahusiano na classmate wake ambaye teacher nae anamtaka. Huyo teacher atafanya juu chini mtu ahame shule na wengine hawana aibu anamface mwanafunzi wa kiume directly
 
This time mmekamatwa pabaya hata jamii imewachoka hamna watetezi.

Kabla ya bodaboda na kondakta kufanya uharibifu waalimu mnaongoza,kila shule ya primary,sec kuna waalimu vicheche,bila hata research ya nguvu matokeo na shuhuda za wanafunzi yanawasunta
Na mimi ndio nataka kujua inatoshaje?
Unajua kila kitu kina impact kwenye jamii yetu. Tangazo ni bias wala story haijabalance pale.
Pia, kanuni ya kugeneralise matokeo ya hizo qualitative research ni 'handle with care phenomenon'
 
Kweli mkuu hasa shule zetu st kayumba wanafunzi wanateseka sana na bado kuna watu wanaona kawaida eti wamependa wenyewe huku wanyanyasaji wakiendelea kutamba
Tena sio kwa wakike tu, Hata wanaume pia ni victims haswa akiwa yupo kwenye mahusiano na classmate wake ambaye teacher nae anamtaka. Huyo teacher atafanya juu chini mtu ahame shule na wengine hawana aibu anamface mwanafunzi wa kiume directly
 
Kila mwaka siku aidha ya ukimwi duniani au siku ya wanawake huwa na kauli mbiu mpya.

Sikumbuki ni mwaka gani ila kuna kauli mbiu ilikuwa inasema; WANAUME NI KIINI CHA MABADILIKO, MWANAUME BADILIKA.

Mjumbe eyce hapo juu amesema vyema, kama huna unayemfahamu aliyekuwa mhanga wa kutakwa kimapenzi na mwalimu aka mkufunzi utasema walimu wanaonewa.

Wanaume wakibadilika, wanawake wanaojirahisi watatuliza vitumbua vyao tuu na heshima itarudi kwenye jamii.

Alamsiki.
 
Na mimi ndio nataka kujua inatoshaje?
Unajua kila kitu kina impact kwenye jamii yetu. Tangazo ni bias wala story haijabalance pale.
Pia, kanuni ya kugeneralise matokeo ya hizo qualitative research ni 'handle with care phenomenon'
Dawa ni moja ili kubalance story,
Walimu na nyie anzisheni tangazo TBCWT mkionesha nyie ni malaika huwa hamtongozi wanafunzi.
 
Back
Top Bottom