pombe kali
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 221
- 431
Najaribu kujiwekea Akiba ya hivi visenti vyangu kwa kuangalia tofauti ya taasisi mbali mbali. Kitu kinachonishangaza ni kwamba utaratibu wa mamlaka kutoa elimu ya kwenye haya masoko ya hisa imekuwa mgumu binafsi nimekwenda zaidi ya mara kadhaa DSE na UTT ila kiukweli sijaelewa chochote mbaya zaidi mtu mwenyewe aliyekuwa ananielewesha anaonekana kama ana haraka na Kazi nyingi mpaka kufikia hatua ya kutoleana lugha kali
Hii inapelekea watu kutakuwa na uelewa na huduma zitolewazo na mashirika haya madhara yake ndio tunaangukia sehemu kama DECI ama MR KUKU mbaya zaidi hizi kampuni za watu binafsi huwa zina pata usajili kutoka katika mamlaka, kama DECI ilizinduliwa kabisa na aliyekuwa waziri wa fedha kipindi hicho ila baada ya watu kuweka akiba zao ndio tunasikia imefungwa na Serikali, kwa kosa la kuchezesha upatu.
Hizi stock exchange market zingekuwa zinatoa elimu ya kutosha na hizi kampuni za watu binafsi zinachozesha UPATU zingenyimwa usajili hii ingesaidia watu kutotapeliwa akiba zao.
Hii inapelekea watu kutakuwa na uelewa na huduma zitolewazo na mashirika haya madhara yake ndio tunaangukia sehemu kama DECI ama MR KUKU mbaya zaidi hizi kampuni za watu binafsi huwa zina pata usajili kutoka katika mamlaka, kama DECI ilizinduliwa kabisa na aliyekuwa waziri wa fedha kipindi hicho ila baada ya watu kuweka akiba zao ndio tunasikia imefungwa na Serikali, kwa kosa la kuchezesha upatu.
Hizi stock exchange market zingekuwa zinatoa elimu ya kutosha na hizi kampuni za watu binafsi zinachozesha UPATU zingenyimwa usajili hii ingesaidia watu kutotapeliwa akiba zao.