Jarida maarufu la masuala ya biashara Afrika na Duniani limeitaja Tanzania kuwa Moja ya Nchi zinazoelekea kuwa kimbilio la wawekezaji Duniani.
Hongera sana Rais Samia na Tanzania, haya ndio mambo tunapenda kuyasikia..
=======
Idadi ya miradi iliyosajiliwa nchini Tanzania iliongezeka kwa...
Habari wanajukwaa kabla sijaja na Uzi wa kutoa kero zangu na kuuelimisha Umma wa wapenda soka Nchini naomba nipate mawazo tu kwa unavyotambua wewe hapo ni kweli mashabiki wa mpira wanafanana kote Duniani, yaani I mean ushabiki wanaokua nao?
Na sifa zingine naomba reference ichukuliwe Tanzania...
KILELE CHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
8/3/2023
NANSIO - UKEREWE
MH Hassani Bomboko Mkuu wa wilaya ya Ukerewe ameshiriki Kongamano la Siku ya Wanawake Duniani katika Kuhitimisha Wiki ya Mwanamke Wilayani Ukerewe
Akizungumza na wanawake wa wilaya ya Ukerewe Mh Bomboko amewataka Wananchi...
NW UTALII MHE. MARY MASANJA ALIVYOSHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mary Masanja ameshiriki katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Wilayani Kwimba Mkoani Mwanza Machi 8, 2023.
Akizungumza katika Maadhimisho...
Ripoti mpya ya Shirika la Afya Duniani (WHO) iliyotoka leo Machi 9, 2023 kuhusu Udhibiti wa Matumizi ya #Chumvi hasa ya kuongeza wakati wa Kula (Chumvi ya Mezani), imeonesha dunia iko chini ya malengo yaliyowekwa hadi kufikia mwaka 2025 kwa 30%.
#WHO imesema kuwa ni 5% tu ya Nchi Wanachama wa...
Dear boys dear... men
Ni sisi wasichana kina dada, mabinti na mama zenu
Tunaongea kutoka upande wa chini, upande mbali upande kutoka usawa wenu
Upande nilipo msichana kuna hitilafu
'So' sikio lako thabiti ni ushindi kwangu
Ninayotaka kusema hapa sio siri katu
Ili ujue nina vingi vya ku-offer...
Vuguvugu hili linaloonekana linania njema lakini kinyumenyume linatengeneza tatizo kubwa kwa wanawake na familia.
Linamfanya kila mwanamke ajione kama anaonewa na kunyimwa haki za msingi hata kama anazo.
Matokeo ya mafanikio ya vuguvugu hili ni pamoja na:
1. Kuzalishwa kwa kundi kubwa la...
Jamani wanawake wa humu heri ya siku kwenu wengi mpo vibaruani mkitafuta riziki ya watoto wenu .
Good day Kwa wote wanajamiiforums To yeye Lovelovie Kalpana Antonnia Lenie Depal na Nakadori mpenzi upo wapi?? Ukiwa online nitext sikuwepo kabisa hiyo siku jf naongea na wewe Nakadori .
Good day...
Lk 1:46-50 SUV
Mariamu akasema, Moyo wangu wamwadhimisha Bwana, Na roho yangu imemfurahia Mungu, Mwokozi wangu; Kwa kuwa ameutazama Unyonge wa mjakazi wake. Kwa maana, tazama, tokea sasa Vizazi vyote wataniita mbarikiwa; Kwa kuwa Mwenye nguvu amenitendea makuu, Na jina lake ni takatifu. Na...
Mara nyingi sisi hupenda kuiga au kujilinganisha na hawa wenye demokrasia yao waliyoitengeneza kwa muda mrefu.
Sasa nauliza, hizi mbinu za CCM ya Samia na CHADEMA ya Mbowe inakidhi kweli mlinganisho wowote na wayafanyayo Democratic Party na Republican wa Marekani au Chama cha Labour na...
Kuelekea siku ya wanawake Duniani, Jamii Forums inatambua umuhimu wa wanawake kushiriki katika sekta mbalimbali kwa kuwa wana uwezo na juhudi za kufanya kazi kwa ufanisi na inajivunia ufanisi na jitihada zinazooneshwa na wanawake katika kutimiza majukumu yao.
Mwanamke anapaswa kuaminiwa kupewa...
Takriban Watu Milioni 315 sawa na 4% ya Watu Duniani kote, wanakabiliwa na Tatizo la Wasiwasi Uliopitiliza.
Mwaka 2020 pekee, 90% ya Nchi zote Duniani zilipatwa na ongezeko la 25% ya Wasiwasi Ulipitiliza, kutokana na kuibuka kwa Ugonjwa wa #UVIKO19.
Kwa mujibu wa Takwimu za Jukwaa la Uchumi...
Eti wakuu huyu mwamba alipotelea wapi. Alivunja rekodi ya kuwa rapa mwenye kasi zaidi akifuatiwa na eminem. Licha ya kasi pia alitoa nyimbo kali nzuri. Kapotelea wapi?
Wanawake wa Tanzania wamepewa kanga zakutosha na vitenge kuelekea siku ya wanawake Duniani.
Wanawake wengi wamejipanga Kuvaa vitenge kusherekea siku ya wanawake Duniani.
Wanawake wengi watabeba mabango yaliyobeba ujumbe wa kisiasa kuhusu mwanamke mwanasiasa.
Wanawake wengi watalipwa kushiriki...
Shirika la Watu Wanene (WOF) limetoa angalizo na kueleza hatua hiyo itafikiwa ikiwa hatua hazitachukuliwa mapema na kuwa zaidi ya watu bilioni nne watakuwa katika hali hiyo.
Ripoti imeonesha four billion changamoto hiyo inaanzia kwa Watoto na Nchi zenye kipato cha chini au cha kati Barani...
Hivi karibuni, puto moja la China ambalo lilifika Marekani kwa bahati mbaya lilisababisha wasiwasi mkubwa kuhusu “tishio la China” nchini Marekani.
Mwishowe, jeshi la Marekani liliangusha puto hilo kwa kutumia ndege zake za kivita aina ya F22, na kutafuta mabaki ya puto hilo ili kuthibitisha...
Serikali kwa kushirikiana na watoa huduma wanaweza kuzuia huduma ya kufikia mtandao kwa njia nyingi. Kwa mfano, serikali zinaweza kukata gridi ya umeme au kuhujumu miundombinu ya huduma ya mtandao kama vile minara ya simu za mkononi na kebo za fibre optic.
Serikali pia zinaweza kuzuia ufikiaji...
Wakuu habari za wakati na poleni kwa majukumu kwa ujumla.
Nina stori naleta kwenu na hichi ni Kisa cha kweli kuwahi kunitokea mimi katika maisha yangu, basi niaze nakusema maisha yana mengi sana wakuu.
Miaka ile ya 2000's nikiwa bado shule nilifika mahali nikawa nimekwama mahitaji ya kujikimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.