Siku ya Mazingira Duniani: NEMC yaipongeza Muhimbili kwa kutunza mazingira vizuri

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,815
11,992
Katika kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani inayoadhimishwa kila mwaka tarehe 5 mwezi Juni, Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetembelea na kutoa misaada ya kulinda mazingira katika Hospitali ya Muhimbili, Dar es Salaam.

Akizungumza wakati wa kukabidhi misaada hiyo ya Mapipa ya kuhifadhi taka, Hamad Taimur ambaye ni Kaimu Mkurugenzi wa Uzingatiaji na Utekelezaji wa Sheria wa NEMC amesema “Kaulimbiu ya Mwaka 2023 inasema ‘Pinga uchafuzi wa Mazingira Utokanao na Mifuko ya Plastiki’.

Nem.jpg
Amesema “Kanuni zimekataza matumizi ya mifuko ya plastiki Nchini lakini zipo plastiki baadhi ambazo zinaendelea kutumika katika utaratibu mzuri wa kutumika.

“Tumetoa baadhi ya vifaa vinavyoweza kusaidia kutenganisha taka kwa kuwa zinatakiwa kutengwa kulingana na aina yake.

Nemc.jpg
“Mfano taka hatarishi zinapatikana kwa wingi maeneo ya hospitali, tunawakabidhi mapipa makubwa ya kutunzia taka na pia tunawapongeza Muhimbili kwa kuwa na utaratibu mzuri wa kutunza mazingira.

“Timu yao inafanya vizuri, tunaomba taasisi nyingine au hospitali kufuata mfano wa Muhimbili, hatutarajii kuona taka za hospitali zikipatikana mtaani.

“Kuna sehemu maalum Muhimbili ya kuteketeza taka kulingana na aina ya taka husika, kabla ya kufika hatua hiyo zinatenganishwa kupitia mapipa yanayotumika kama haya tunayogawa leo.”

Neno la Muhimbili
Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi na Matengenezo Muhimbili, Domiana John akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Prof. Mohamed Janabi, amesema wanashukuru NEMC kwa msaada huo kwa kuwa tunu kubwa ya taasisi hiyo ni usalama.

Amesema “Tunaunga mkono kauli mbiu ya Mwaka huu isemayo ‘Pinga uchafuzi wa Mazingira Utokanao na Mifuko ya Plastiki’, ili kuendelea kulinda mazingira ya watu wote wanaofika eneo la Muhimbili.”
 
Katika kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani inayoadhimishwa kila mwaka tarehe 5 mwezi Juni, Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetembelea na kutoa misaada ya kulinda mazingira katika Hospitali ya Muhimbili, Dar es Salaam.

Akizungumza wakati wa kukabidhi misaada hiyo ya piba za kuhifadhi taka, Hamad Taimur ambaye ni Kaimu Mkurugenzi wa Uzingatiaji na Utekelezaji wa Sheria wa NEMC amesema “Kauli Mbiu ya Mwaka 2023 inasema ‘Pinga uchafuzi wa Mazingira Utokanao na Mifuko ya Plastiki’.
View attachment 2646750
Amesema “Kanuni zimekataza matumizi ya mifuko ya plastiki Nchini lakini zipo plastiki baadhi ambazo zinaendelea kutumika katika utaratibu mzuri wa kutumika.

“Tumetoa baadhi ya vifaa vinavyoweza kusaidia kutenganisha taka kwa kuwa zinatakiwa kutengwa kulingana na aina yake.
View attachment 2646751
“Mfano taka hatarishi zinapatikana kwa wingi maeneo ya hospitali, tunawakabidhi mapipa makubwa ya kutunzia taka na pia tunawapongeza Muhimbili kwa kuwa na utaratibu mzuri wa kutunza mazingira.

“Timu yao inafanya vizuri, tunaomba taasisi nyingine au hospitali kufuata mfano wa Muhimbili, hatutarajii kuona taka za hospitali zikipatikana mtaani.

“Kuna sehemu maalum Muhimbili ya kuteketeza taka kulingana na aina ya taka husika, kabla ya kufika hatua hiyo zinatangwa kupitia mapipa yanayotumika kama haya tunayogawa leo.”

Neno la Muhimbili
Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi na Matengenezo Muhimbili, Domiana John akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Prof. Mohamed Janabi, amesema wanashukuru NEMC kwa msaada huo kwa kuwa tunu kubwa ya taasisi hiyo ni usalama.

Amesema “Tunaunga mkono kauli mbiu ya Mwaka huu isemayo ‘Pinga uchafuzi wa Mazingira Utokanao na Mifuko ya Plastiki’, ili kuendelea kulinda mazingira ya watu wote wanaofika eneo la Muhimbili.”
Hongera saana hospitali ya Taifa Muhimbili kwa uzingatiaji wa sheria za mazingira ,ikiwa hospitali ya Taifa ambayo inahudumia watu wengi saana lakini inazingatia mazingira na usalama wa wateja wake ni jambo zuri ,Mazingira ndio uhai wetu tuyatunze kwa nguvu zote
 
Hivi kuzingatia wajibu wa kila kila siku napo panahitaji kupongezwa...🤔
 
Katika kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani inayoadhimishwa kila mwaka tarehe 5 mwezi Juni, Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetembelea na kutoa misaada ya kulinda mazingira katika Hospitali ya Muhimbili, Dar es Salaam.

Akizungumza wakati wa kukabidhi misaada hiyo ya piba za kuhifadhi taka, Hamad Taimur ambaye ni Kaimu Mkurugenzi wa Uzingatiaji na Utekelezaji wa Sheria wa NEMC amesema “Kauli Mbiu ya Mwaka 2023 inasema ‘Pinga uchafuzi wa Mazingira Utokanao na Mifuko ya Plastiki’.
View attachment 2646750
Amesema “Kanuni zimekataza matumizi ya mifuko ya plastiki Nchini lakini zipo plastiki baadhi ambazo zinaendelea kutumika katika utaratibu mzuri wa kutumika.

“Tumetoa baadhi ya vifaa vinavyoweza kusaidia kutenganisha taka kwa kuwa zinatakiwa kutengwa kulingana na aina yake.
View attachment 2646751
“Mfano taka hatarishi zinapatikana kwa wingi maeneo ya hospitali, tunawakabidhi mapipa makubwa ya kutunzia taka na pia tunawapongeza Muhimbili kwa kuwa na utaratibu mzuri wa kutunza mazingira.

“Timu yao inafanya vizuri, tunaomba taasisi nyingine au hospitali kufuata mfano wa Muhimbili, hatutarajii kuona taka za hospitali zikipatikana mtaani.

“Kuna sehemu maalum Muhimbili ya kuteketeza taka kulingana na aina ya taka husika, kabla ya kufika hatua hiyo zinatangwa kupitia mapipa yanayotumika kama haya tunayogawa leo.”

Neno la Muhimbili
Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi na Matengenezo Muhimbili, Domiana John akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Prof. Mohamed Janabi, amesema wanashukuru NEMC kwa msaada huo kwa kuwa tunu kubwa ya taasisi hiyo ni usalama.

Amesema “Tunaunga mkono kauli mbiu ya Mwaka huu isemayo ‘Pinga uchafuzi wa Mazingira Utokanao na Mifuko ya Plastiki’, ili kuendelea kulinda mazingira ya watu wote wanaofika eneo la Muhimbili.”
Hongereni sana NEMC mmeonyesha mfano kwenye siku muhimu hasa hii ya mazingira rai yangu siku hii ya Mazingira leo imeonekana kubwa sababu siku zilizopita mmeanza kuchukua hatua kali kwa wanaokiuka sheria na kanuni mmedhibiti mifuko sasa kelele nazo zinaenda kuisha Hongereni
 
Katika kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani inayoadhimishwa kila mwaka tarehe 5 mwezi Juni, Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetembelea na kutoa misaada ya kulinda mazingira katika Hospitali ya Muhimbili, Dar es Salaam.

Akizungumza wakati wa kukabidhi misaada hiyo ya Vifaa vya kuhifadhi taka, Hamad Taimur ambaye ni Kaimu Mkurugenzi wa Uzingatiaji na Utekelezaji wa Sheria wa NEMC amesema “Kauli Mbiu ya Mwaka 2023 inasema ‘Pinga uchafuzi wa Mazingira Utokanao na Mifuko ya Plastiki’.
View attachment 2646750
Amesema “Kanuni zimekataza matumizi ya mifuko ya plastiki Nchini lakini zipo plastiki baadhi ambazo zinaendelea kutumika katika utaratibu mzuri wa kutumika.

“Tumetoa baadhi ya vifaa vinavyoweza kusaidia kutenganisha taka kwa kuwa zinatakiwa kutengwa kulingana na aina yake.
View attachment 2646751
“Mfano taka hatarishi zinapatikana kwa wingi maeneo ya hospitali, tunawakabidhi mapipa makubwa ya kutunzia taka na pia tunawapongeza Muhimbili kwa kuwa na utaratibu mzuri wa kutunza mazingira.

“Timu yao inafanya vizuri, tunaomba taasisi nyingine au hospitali kufuata mfano wa Muhimbili, hatutarajii kuona taka za hospitali zikipatikana mtaani.

“Kuna sehemu maalum Muhimbili ya kuteketeza taka kulingana na aina ya taka husika, kabla ya kufika hatua hiyo zinatangwa kupitia mapipa yanayotumika kama haya tunayogawa leo.”

Neno la Muhimbili
Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi na Matengenezo Muhimbili, Domiana John akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Prof. Mohamed Janabi, amesema wanashukuru NEMC kwa msaada huo kwa kuwa tunu kubwa ya taasisi hiyo ni usalama.

Amesema “Tunaunga mkono kauli mbiu ya Mwaka huu isemayo ‘Pinga uchafuzi wa Mazingira Utokanao na Mifuko ya Plastiki’, ili kuendelea kulinda mazingira ya watu wote wanaofika eneo la Muhimbili.”
#NEMC sasa hivi mnavyofanya mnafanya kazi ile inaitwa kazi kwa vitendo Muhimbili ni kubwa sana hivyo hawakianza kuharibu tumeharibu hospitali na dispensari zote lakini kwa motisha hii ni funzo .Pili ni njie wenyewe NEMC Mmefanya siku ya Mazingira leo nchini imekuwa kivutio sana kila Wilaya, kila Mkoa hadi Taifani wamelichukulia kwa Uzito mkubwa sana pigeni kazi siasa zisiwaumize
 
Back
Top Bottom