duniani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. TUKANA UONE

    Nitembee na mwanamke ambaye kwa makusudi hakutaka kuniambia kama kaolewa. Ukinifumania nawagonga wote!

    Ni ngumu sana hapa Dar es salaam kumjua mwanake wa mtu.Kibaya zaidi hao wanawake wenu tukiwasimamisha na kuwatongoza wanasema hawajaolewa na wala hawana watoto,Sasa kosa langu hapo mimi ni lipi? Mwanamke ambaye anajua kabisa ameolewa na ana watoto na mume nyumbani kwake lakini mwisho wa siku...
  2. Mshana Jr

    Mada ya kitimoto: Nyama inayajadiliwa na kutawaka mijadala mingi duniani

    Ni haramu sio haramu? Uharamu wake unatokana na nini? Je kuna mazingira haramu inaweza kuwa halali? Je ndio nyama tamu zaidi duniani? Je ndio nyama inayoliwa zaidi duniani? Je ni kweli ndio nyama inayobeba magonjwa mengi? Je ni kweli inafukuza mapepo na kusafisha nyota? Je ni kwanini mganga...
  3. ELI COHEN

    WHO REPORTS (UN) : Hii ndio Top 20 Uraibu hatari duniani

    1: 🚬 Uvutaji Sigara / Nikotini 2. 🍺 Pombe 3. 💉 Heroin 4. ❄️ Kokeini 5. 💊 Dawa (opioidi, dawa za kutuliza maumivu) 6. 🧪 Methamphetamine 7. 🎰 Kamari 8. 📱 Uraibu wa Smartphone 9. 🌐 Mitandao ya kijamii 10. 🎮 Gemu (ps4, x-box, etc) 11. 🍔 Junk food (chips mayai, soda, juisi za kiwadani, bagga, etc)...
  4. ELI COHEN

    WHO REPORTS (UN) : Hii ndio Top 20 Uraibu hatari duniani

    1: 🚬 Uvutaji Sigara / Nikotini 2. 🍺 Pombe 3. 💉 Heroin 4. ❄️ Kokeini 5. 💊 Dawa (opioidi, dawa za kutuliza maumivu) 6. 🧪 Methamphetamine 7. 🎰 Kamari 8. 📱 Uraibu wa Smartphone 9. 🌐 Mitandao ya kijamii 10. 🎮 Gemu (ps4, x-box, etc) 11. 🍔 Junk food (chips mayai, soda, juisi za kiwadani, bagga, etc)...
  5. Chibike

    Content creator maarufu duniani kijana wa kisenegali Khaby Lame asaini dili la pesa ndefu zaidi ya Trilioni 2.5 hela yenu ya madafu!!

    Khaby Lame ndiye mtu maarufu zaidi kwenye mtandao wa TikTok akiwa na wafuasi milioni 160. Mapema wiki hii, alisaini mkataba wa dola milioni 975 na kampuni ya Rich Sparkle Holdings, akiipa kampuni hiyo haki za kipekee za chapa yake. Ushirikiano huo pia utaunda nakala ya akili mnemba (AI) ya...
  6. ChekoFagia

    Januari 28 Siku ya Faragha ya Taarifa duniani

    Kabla ya kubonyeza 'Kukubali' (Accept), hakikisha unasoma na kuelewa Sera ya Faragha (Privacy Policy) ili ujue jinsi taarifa zako binafsi zinavyokusanywa, kuchakatwa na kutumika.
  7. comrade_kipepe

    Halotel ndio unaweza ukawa mtandao mbovu zaidi duniani

    Kila siku halopesa inasumbua yani imeshakua kawaida, halafu nao wamekua na tabia kama ya mbogamboga ya kuwalipa machawa wawasifie kwenye comment! Naona leo mambo yamekua magumu machawa nao wamezidiwa nguvu wameona wafunge comment kabisa TCRA wanaruhusuje watu kama hawa kutoa huduma kwa...
  8. Mhaya

    El Mencho ndiye bosi wa dawa za kulevya anayeogopwa zaidi na mwenye ushawishi mkubwa zaidi duniani kwa sasa.

    Nemesio Oseguera Cervantes, anayejulikana zaidi kama El Mencho, alizaliwa Juni 17, 1967 katika kijiji kidogo cha Michoacán, Mexico. Alikulia katika familia maskini, akikabiliana na ukosefu wa fursa na mazingira magumu ya vurugu na umasikini, ambayo yaliunda msingi wa akili yake ya kibiashara na...
  9. E

    Dr Zakir Naik adaiwa kusilimisha zaidi ya watu 100,000 kuingia kwenye Uislamu duniani

    Mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu, Dk. Zakir Naik, anaendelea kutajwa na wafuasi wake kuwa mmoja wa wahubiri wenye ushawishi mkubwa zaidi duniani, baada ya kudaiwa kuwa amechangia kusilimisha zaidi ya watu 100,000 kuingia katika Uislamu kupitia mihadhara yake na mijadala yake anayokuwa anafanya...
  10. ELI COHEN

    Hitler aliwekeza katika kutafuta nguvu za miujiza na uchawi kwa kuwatuma watu wake duniani kote wakazisake ila hawakuambalia chochote.

    Alifanya hivi ili iweze kumsaidia katika ambition yake ya kuitawala ulaya nzima. ila wewe 35+ bado unaaamini haujapata mganga mzuri na mafuta uliochukuwa kwa ben haukuyaambatanisha na sadaka nzuri ndio maana tabu hazijaisha
  11. Financial Analyst

    Hivi kuna watu hapa duniani wana gubu kama watoto wa nje ya ndoa, watoto wa kambo, watoto wa mke mdogo na watoto wanaolelewa na ndugu?

    Hawa ni wafalme na malkia wa kunung'unika muda wote, wanafiki wa kuchonganisha na muda wote huwa wanawaza jinsi gani mali zitakavyogawa. Bastard children!!!
  12. DuaZaMama

    Ratiba ya mechi za ligi mbalimbali duniani wikiendi hii Januari 24/25

    Wikiendi hii, mashabiki wa soka wanatarajiwa kushuhudia burudani ya kiwango cha juu kutoka viwanja mbalimbali duniani, huku mechi kubwa zikipamba ratiba, ikiongozwa na Manchester Derby huko England pamoja na fainali ya AFCON 2025 inayosubiriwa kwa hamu kubwa barani Afrika. EPL & CAFCL...
  13. ELI COHEN

    Nina uhakika 90% ya wanaJF humu hawajui kuwa 90% ya utumwa duniani ulifanywa na waarabu lakini 80% hawajui kuwa 80%+ ya utumwa uliwezeshwa na machifu

    Lakini jibu la maswali haya yote tumefundishwa ni mzungu. Ukatili wa biashara ya watumwa ya Waarabu ulijumuisha ukatili wa kulazimishwa kuvuka jangwa na bahari, unayanyasaji wa kingono kwa wanawake na wanaume, kuwahasi watumwa wa kiume ili watumikie kama matowashi. Biashara hii, ambayo ilidumu...
  14. McLaren

    Siku ya mwandiko duniani: Mwalimu wako aliyekufundisha mwandiko unamkumbuka?

    Wakuu, Leo ni siku ya muandiko duniani. Kuna wale walimu wetu ambao walikuwaga wanatufundisha jinsi ya kuandika (kuunda maneno na kuumba herufi) Kwanza wanakuwaga wabibi fulani hivi na wanakuwaga very strict.
  15. Bawabu wa pili

    Je unajua ni sarafu/pesa ipi inathamani kubwa zaidi duniani? Njoo hapa nikujuze!

    Watu wengi hudhani Dollar ndio safaru yenye thamani zaidi duniani ila ukweli ni kwamba Dollar ipo nafasi ya kumi kwenye sarafu zenye thamani zaidi duniani huku nafasi za mwanzo zikishikwa na sarafu kutoka nchi za uarabuni kwa sababu ya biashara za mafuta. Na hii ndio list ya sarafu zenye...
  16. Chizi Maarifa

    Ni kwanini Sehemu nyingi Duniani zilifurahia Morocco kufungwa?

    Nadhani Morocco kuna kitu wajifunze. Jamaa pengine ile kubebwa iliwafanya wachukiwe na watu wengi. Hadi nchi za Kiarabu nyingine zilifurahia tukio hili.
  17. stabilityman

    Elimu tata duniani zilizopigwa marufuku kufundishwa vyuoni

    Hapa kuna orodha ya baadhi ya elimu/mada tata ambazo zimepigwa marufuku au kuzuiwa sana kufundishwa vyuoni katika nchi mbalimbali duniani (hadi mwaka 2026): - Afghanistan (chini ya Taliban) - Masomo yote yanayohusu haki za wanawake - Gender studies / Jinsia na masuala ya kijinsia -...
  18. R

    Ujumbe wa Jumapili toka kwa Godbless Lema: Kwanini tuko duniani

    Usipokuwa makini katika maisha na kutafakari kwa kina, unaweza kujikuta unaishi bila kusudi. Ukizaliwa, unaishi kwa ajili ya kula, kunywa, mapenzi, kuzaa, kuzeeka na hatimaye kufa. Kukosa purpose ya maisha ni tatizo kubwa sana, na ndilo chimbuko la ujinga na upumbavu kutawala duniani. Bila...
  19. Waufukweni

    UTAFITI: Madaktari waongoza kwa kuaminika zaidi duniani, Wanasiasa washika mkia

    Utafiti mpya wa kimataifa uliofanywa na Ipsos Global Trustworthiness Index 2024 unaonesha kuwa madaktari ndio taaluma inayoaminika zaidi na watu duniani kote. Zaidi ya asilimia 58 ya washiriki walisema wanawaamini Madaktari, ikifuatiwa na Wanasayansi (56%) na Walimu (54%). Utafiti huo...
  20. X

    Wanawake wengi hawajui kinachoendelea nchini na duniani

    Kuna mabinti, wanawake na madem wengi wanachosha kuzungumza nao. Hawana uelewa wa kinachoendelea nchini, duniani, kwenye tech, siasa, uchumi na biashara wala mada pana. Mazungumzo yao ni kuhusu drama za celebrities kama kina Diamond na Zuchu. Kutwa kufuatilia watoto wa Paula na Marioo. Halafu...
Back
Top Bottom