dhambi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Ijue dhambi ni nini?

    Bwana Yesu asifiwe mwanadamu. Tujifunze mambo haya kwani yatatusaidia: Dhambi ni nini? Dhambi ni uvunjaji wa sheria ya Mungu na kutotii mapenzi ya Mungu. Ni tendo, wazo au msimamo unaokwenda kinyume na tabia ya Mungu. 1 Yohana 3:4 - Kila atendaye dhambi, avunja sheria, na dhambi ni uvunjaji...
  2. Kitimoto

    JamiiForums Tanzania Mizizi ya Dhambi Katika Uongozi wa Tanzania

    Katika historia ya mataifa mengi, na hasa Tanzania, uongozi umetazamwa kama dhamana takatifu inayopaswa kuheshimiwa, kutunzwa na kutekelezwa kwa moyo wa unyenyekevu. Hata hivyo, hali ya sasa inaonyesha picha tofauti: watawala wetu wengi wanabeba dhambi kwa tamaa za kidunia. Tamaa ya madaraka...
  3. F

    JamiiForums Tanzania Ni sawa Muumini kuungama dhambi kwa mchungaji/padri, Je padri/mchungaji anaungama kwa nani?

    Nashangazwa Sana yaani utakuta jitu kubwa au au mtu mtu mzima kabisa na ndevu sake anaenda kwa mchungaji au padri eti kuungama dhambi zake yaani unaenda kuconfess dhambi zako kwa mwanadamu mwenzio sasa sio kama vituko ni nini? Je huyo padri au mchungaji anaenda kuungama dhambi zake kwa Nani...
  4. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Wana CCM Endeleeni na Dhambi zenu Hamprey poleple kaamua kuokoka

    GT Ni wazi polepole ni moja ya wale walioshiriki kuminya demokrasia nchini. Lakini hilo halimuondolei.uhalali na haki ya kutubu na kuyaacha ya zamani na kuanza ukurasa mpya. Kwa hiyo mwacheni nyie endleeni kuua na kuteka malipo ni hapa hapa duniani.
  5. Meerkat

    JamiiForums Tanzania Hakuna Dhambi – Ni Akili Yako Tu Inakudanganya?

    Hakuna Dhambi – Ni Akili Yako Tu Inakudanganya? Je, dhambi ni kweli ipo, au ni mawazo tu yanayopita akilini? Mara nyingi tunajiadhibu kwa fikra tulizonazo hata kabla ya kutenda chochote. Mawazo haya ndiyo hutuambia lipi ni “jema” na lipi ni “baya”, kulingana na jinsi akili yetu...
  6. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hizi hapa dhambi za uchaguzi ziepuke, utakufa vibaya

    GT. Uchaguzi uliojaa hila ni haramu jiepushe nao..
  7. Setfree

    JamiiForums Tanzania WHO wathibitisha pombe ni sumu. Sasa nina ujasiri wa kusema: "kunywa pombe bila kulewa ni dhambi."

    Kama ulikuwa huna habari, kisayansi, pombe ni sumu. Wataalamu wa afya wanaeleza kuwa Ethanol, kiambato kikuu katika pombe, ni dutu ya sumu kwa mwili wa binadamu. Shirika la Afya Duniani (WHO) through International Agency for Research on Cancer (IARC) linaiainisha pombe (ethanol in alcoholic...
  8. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Usiitetee Dhambi Kana Kwamba Ni Nzuri, Na Kuwakashifu Waliosimama Katika Kweli Na Utakatifu Wa Mungu

    Isa 5:20 SUV [20] Ole wao wasemao kwamba uovu ni wema, na kwamba wema ni uovu; watiao giza badala ya nuru, na nuru badala ya giza; watiao uchungu badala ya utamu, na utamu badala ya uchungu! Sio ajabu kukuta mtu au kuwakuta watu wakijisifia juu ya uovu wao wanaoutenda mbele za Mungu...
  9. Introver

    JamiiForums Tanzania Ikimbie dhambi kwa gharama zozote zile!

    Ikimbie dhambi. Shalom. Karibu tujifunze biblia, na kujikumbusha yale ambayo tumeshajifunza. Kitu pekee ambacho watu wa Mungu tunapaswa tukiogope kuliko vyote kwa nyakati zetu hizi sasa ni dhambi…Wala hatupaswi kuogopa mapepo wala wachawi wala shetani mwenyewe. Tunachopaswa kukiogopa cha...
  10. Setfree

    JamiiForums Tanzania Siri imefichuka! Yajue Magonjwa Yanayosababishwa na Kutenda Dhambi

    Nyakati hizi, kuna watu wengi wanaobubujikwa na machozi ya huzuni kwa sababu ya magonjwa yanayowasumbua. Katika kutafuta chanzo cha magonjwa, watu wengi huelekeza macho yao kwenye vyanzo kama vile bakteria, virusi, mazingira machafu, lishe duni, magonjwa ya kurithi, msongo wa mawazo nk. Sawa...
  11. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Mungu ambaye tunamuomba na anayesifika kuwa na UPENDO sifikirii kama ndo Mungu huyu huyu wanayesema atachoma watu wenye dhambi.!

    Kwa uelewa Wangu kuhusu Mungu. Namtafsiri Kama mwenye UPENDO huruma na UTU. , hii nadharia kuwa atachoma watu wenye dhambi naona Kama ni UONGO. Kwakuwa sisi Binadamu tupo dhaifu , kwenye kuyaendea mambo na asilimia kubwa tupo unconscious. Hivyo dhambi Kama uzinzi , N.k zinafanywa Sana na WATU...
  12. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Kwa kukamilisha yale ya mtangulizi wake, kisha kujumlisha na ya kwake anayotenda, kutomshukuru ni kujichumia tu dhambi za bure!

    Wanabodi Naomba kuanza na Angalizo: Mada kama hizi ni mada za kiutu uzima, hakuna kutaja taja majina ya watu wowote humu!, na ukijiona una washwa washwa kutaka kutaja majina hapa, au kuuliza ni nani, ujijue huu uzi sii saizi yako!, nakuomba jipitie tuu kwenda kwenye nyuzi za kimo chako!, sio...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kuna dhambi waliyoamua kuifanya baadhi ya waliokuwa viongozi wa CHADEMA wakishirikiana na CCM kumtoa sadaka ya mateso Lissu, itaamua maisha yao badaye

    Sisi watu wa hali ya chini (kwa muda) huwa tunafurahia sana maisha yetu licha kwamba tuna maisha ya kawaida sana Hatudhulumu, hatunyongi watu, hatuteki na hatuuwi watu, na tunakula kile kilichopo kwa furaha kabisa na amani ya Mioyo yetu, na sadaka zetu kwa Mungu ni za haki hazina hatia yoyote...
  14. ngara23

    JamiiForums Tanzania Serikali kuingilia michezo sio dhambi, haya hufanyika duniani kote

    Kuna baadhi ya watu wajinga wameibuka na kusema ati fifa watatufungia kuwa serikali imeingilia michezoni Kwanza nimpongeza Rais Samia kwa hekima yake kuu ya kusuluhusha huu mgogoro Watu wasijadanganye ati serikali haiingilii michezo kimsingi hakuna sehemu ambapo serikali haiingilii hata...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Sio dhambi Serikali Kushirikiana na Mahakama

    Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemshukuru na kumpongeza Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Mstaafu Prof. Ibrahim Hamis Juma, kwa kazi nzuri aliyoifanya ya kukuza ushirikiano wa Mahakama na mihimili mingine ya Dola ikiwemo Serikali na Bungeni ambapo Rais Samia amesema sio dhambi kwa...
  16. 888I

    JamiiForums Tanzania 2024 Ulishiriki dhambi hii?

    Msikilize MH. Hapa
  17. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Kuteka, Kuua, Kubaka na Kulawiti Kibiblia ni Dhambi. Kama Makanisa yanafungiwa wa kukemea dhambi basi Ukristo Umeshambuliwa na upo hatarini Tanzania

    Kwa mujibu wa Biblia Takatifu, Kuua, Kubaka, Kulawiti na kuonea watu ni dhambi. Kama nchi yetu imefikia hatua Makanisa yanafungiwa kwa kukemea dhambi kwa mujibu wa Biblia basi tukubaliane kuwa Ukristo unashambuliwa rasmi nchini Tanzania. Huu ni wakati Wakristo wa Tanzania wanapaswa kusimama...
  18. U

    JamiiForums Tanzania Ndugu Wasabato kama ni kweli kula kitimoto ni dhambi leteni ushahidi kimaandiko wa adhabu kwa anayeitumia. , dhambi nyingine adhabu zimetajwa

    Wadau hamjamboni nyote? Ushahidi huu adhabu kwa dhambi nyingine:. ::: 19 Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, Wagalatia 5:19 20 ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, Wagalatia 5:20 21 husuda, ulevi, ulafi, na...
  19. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kambi ya Mbowe kumeguka CHADEMA inaweza kuwa utakaso kwa dhambi ya Lowassa?

    Huwa inasemwa CHADEMA ilisaliti msimamo wake ilipomchukua Lowassa na kmfanya mgombea urais mwaka 2015 kama hii ni kweli basi kuondoka kwa kundi la Mbowe CHADEMA inaweza kuwa sawa na utakaso kwa dhambi hiyo. Ikumbukwe Mbowe na timu yake ndiye alikuwa kinara wa kumleta Lowassa CHADEMA mpaka...
  20. Fbn

    JamiiForums Tanzania Unaweza kuwa hujashiriki dhambi kimatendo ila umeshiriki dhambi iliyofanyika kwa watawala kumuangamiza mtu yoyote

    Hata Yuda alijua vipande vya pesa alivyopewa alijua ndio mwisho wa kumchoma yesu lakini alijikuta kama ameshiriki kifo cha Yesu. Vitendo vya kukubali au kubariki watawala kuanzia wananchi kuwassuport mpaka uchangiaji humu na kutoa ushirikiano ili watu waumizwe kumbukeni wote ni washiriki. Kwa...
Back
Top Bottom