Habari za wakati huu wakuu..
Hebu leo tujifunze kidogo Juu ya dhambi.
Toka kuumbwa kwa ulimwengu halikuwa kisudi la MUNGU watu wake aliowaumba kwa sura na mfano wake(ambayo ni roho) wateseka iwe kwa maradhi, magonjwa ama Vita.
Asili ya MUNGU ni wema, hivyo Kila atendalo ni jema.
Sasa dhambi...