Ethan Cruz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2021
- 231
- 331
Naamka nanyi leo Wewe jichue. Sio wanaume au wanawake sahivi kila mtu anajichua kutumia mikono na vidole, wewe endelea kujichua maana ni sehemu ya kujifurahisha kwako ongera sana.
Kadili unavyojichua kuna mishipa ya kupitisha mikojo (urethra) huanza kulengea hivyo matokeo yake utaanza kuwa huwezi kubana mkojo yani itafika wakati unajikojolea kama mtoto kwenye nguo kama utachelewa kukojoa.
Na kama Mungu akikubariki miaka mingi ya kuishi duniani tegemea kuwa unatembea na mpira wa mkojo maana wewe kwako mkojo utakuwa unamwagika bila break any time unabubujika.
Ila kibaya zaidi kadili unavyokuwa ukijichua kuna fluids za damu damu huchubua sehemu ya ndani hivyo husafiri hadi kwenye sehemu ambapo mayai au manii hutengenezwa hivyo kuathili glands na matokeo yake ni:
- Hatari kuwa na mayai yasiokuwa na uwezo wa utungaji mimba. - Hatari wa manii kutokuwa na uwezo wa kutungisha mimba
- Hatari ya kuwa hujiamini - Hatari ya kuwa na mawazo
- Hatari ya kuwa msagaji
- Hatari ya kuwa na tatizo la kibofu cha mkojo
- Hatari ya kuwa na UTI za mara kwa mara
Usipende kua peke yako room
Usiangalie picha za uchi au porn
Jitahidi kua mtu wa mazoezi