dereva

  1. A

    JamiiForums Tanzania Dereva Natafuta Gari Ya Hesabu

    Habari Wakuu, Nipo Dar es salaam Ni Dereva Natafuta gari ndogo ya hesabu (bolt) kwa week. Mwenye nayo tafadhali naomba unitafute nina uhitaji sana. 0766445556
  2. Desierto

    JamiiForums Tanzania Kwanini ni lazima kupandia tu mlango wa dereva?

    Kwanini mtu hata akiwa upande wa abiria wa gari ili aende upande wa sterling ni lazima ashuke azunguke? Kwani kuna ugumu gani kukatiza hapo kati ukatua upande wa kuendeshea gari?
  3. Doto12

    JamiiForums Tanzania Unaendesha gari Lina abiria 20, kituo cha kwanza wakashuka abiria 10, kituo cha pili wakashuka abiria watano. Nitajie umri wa Dereva

    Naomba jibu ukiweza nitakupa like kama zote
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Waliomkata kichwa dereva bodaboda Mwanza wauwawa na wananchi

    Watu wawili wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya kijana mmoja, jinsi ya kiume ambaye awali hakutambuliwa huku kiwiliwili chake kikiwa kimetenganishwa na kichwa chake kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali (panga) na kupelekwa kusikojulikana, wameuawa baada ya kushambuliwa na wananchi wenye hasira kali...
  5. Mwanadiplomasia Mahiri

    JamiiForums Tanzania Tangulia na dereva tukutane Dodoma

    Baadhi ya wateuliwa wa nafasi ya Ubunge leo kupitia ccm ni wana familia wa familia maarufu hapa Tanzania. Ni kama wanasubiria muda waende na madereva wao wa VX LC 300 kwenda kuapishwa Dodoma. Chama kina wenyewe na wenyewe hawana kelele huku mitandaoni. DJ naomba kibao cha “Kalayi boeing”...
  6. bushoke wa dar

    JamiiForums Tanzania Dereva wa delivery anapatina

    Wakuu wanajamii forum kuna ndugu yangu anatafuta kibarua cha udereva wa delivry iwe ofisini kwenye restorant au kwenye maduka anafanya ... Anajua kutumia chombo cha moto vizuri pikipiki na gari pia na analeseni ya udereva... Kama kuna mtu yoyote atamuhitaji basi awasiliane na mimi pm ..
  7. Mad Max

    JamiiForums Tanzania USA wako mbali sana: Sahivi Tesla inatoka kiwandani ilikotengenezwa hadi nyumbani kwa Mteja bila dereva!

    Ni Tesla tena. Juzi wameshazindua officially huduma ya robotaxi, kwa kuanzia Austin, Texas, ambapo mteja utaita gari like Uber/Bolt hafu itakuja Tesla bila dereva, na kukupeleka unapoenda. Makato juu kwa juu. Sasa sahivi wameenda next level na autonomous driving. Gari ikitoka kiwandani...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Kifo Cha dereva, kimewavuruga waliobakia, Unatamani kugombea Ili iweje?

    Salaam, Shalom! Ulianza safari na dereva , dereva akafia njiani, akawekwa kondakta amalizie safari ya kilometa tano zilizobaki. Hivi tunavyoongea, dereva Yuko njiani kwenda kuvunja nyumba Ile ya maamuzi ya ukoo. Dereva ambaye ameshika usukani ,amefikisha jumla kilometa kumi za safari. Na...
  9. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Dereva mtanzania ajiua nchini Zambia baada ya kukamatwa akiiba mafuta

    Imeripotiwa na CHETE FM. Madereva wa tenki za mafuta kuweni waaminifu. Habari nzima hapo chini. ____________________________ A Tanzanian truck driver working for ANAMOL Transport Company in Dar es Salaam has died after allegedly taking his own lífe by ingèsting an unknown substance moments...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Boti la uokoaji limefika Morogoro, Dereva aelezea changamoto anazokumbana nazo barabarani

    Dereva wa gari linalosafirisha boti maalumu ya uokoaji katika Ziwa Victoria (Ambulance Mwanza), Hamidu Mshamu ameeleza changamoto anazokumbana nazo akiwa katika safari ya siku 14 kutoka Mtwara hadi Mwanza. Akizungumza akiwa mkoani Morogoro leo Alhamisi Juni 19, 2025, Mshamu amesema tayari...
  11. P

    JamiiForums Tanzania DEREVA PIKIPIKI

    Anaitajika Dereva pikipiki (1) 1. Awe na leseni 2. Awe anaishi banana , majumba sita, kitunda , kibeberu, kivule, mwanagati. 3. Malipo ya mwezi: 200,000 4. Ela ya chakula 2,500 5. Awe analielewa na kulijua Jiji la Dar es salaam vizuri. Mawasilino: mazingirapacha@gmail.com AU...
  12. CARIFONIA

    JamiiForums Tanzania Je ni kweli dereva kashindwa kuliendesha gari

    "Dereva Mpya na Safari ya Basi la Taifa" Katika mtaa wa fikra na mtaa wa dhamira, palisimama basi moja kubwa lililobeba matumaini ya wengi. Basi hilo lilikuwa limezoeleka, likiwa na alama ya miaka mingi ya safari na vumbi la historia. Lilikuwa linajulikana kama "TAIFA EXPRESS" — basi la watu...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Dereva wa gari la CHADEMA adakwa kwa kusababisha ajali Morogoro

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limemkamata dereva Yahaya Bakari Idd (43) mkazi wa Gongo la Mboto Mkoa wa Dar es salaam baada kusababisha ajali iliyotokea Juni 5, 2025 katika eneo la Mataa ya Tumbaku kata ya Mafisa Manispaa ya Morogoro. Taarifa ya leo Juni 6, 2025 iliyotolewa na Kamanda wa...
  14. village66

    JamiiForums Tanzania Mimi ni dereva wa UBER, bolt, farasi natafuta gari ya hesabu

    Mimi ni dereva wa tax mtandaoni maarufu kama bolt , na uber nina leseni yenye daraja c pia ninauzoefu na kazi hii. Ninatafuta gari ya hesabu. Ni dereva mwaminifu na mtunzaji wa gari. Gari ya mafuta hesabu 150000. Gari ya gesi hesabu 200000. Ninapatikana kwa namba hizi. 0628192114. 0786094712.
  15. B

    JamiiForums Tanzania Dereva Uber na Bolt

    Dereva Uber/Bolt Habari! Mimi ni Dereva mzoefu na nimeendesha Gari kwa miaka mitatu Sasa Bila kupata Ajali, Natafuta Gari ya mkataba Au Hesabu kwaajili ya kutumia kama Uber na Bolt. Pia nipo Tayari kuwa Dereva wa Mtu au Kampuni. Namba zangu Hizi: 0614424736
  16. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Picha: Ajali mtu mmoja adaiwa kufariki, BMW X5 yateketea kwa moto, dereva akwepa Ng'ombe na kugongana na basi la ABC

    Mtu mmoja ameeefariki dunia kwenye ajali iliyohusisha gari aina ya BMW na Bus la abiria la ABC,ajali hiyo iliyotokea barabara ya Dodoma-Morogoro eneo la Makalavati kwa mujibu wa mashuhuda wanasema dereva wa gari ndogo alikuwa anamkwepa Ng'ombe na kupelekea kwenda kugongana na Bus la abiria la...
  17. joyce123

    JamiiForums Tanzania Dereva natafuta gari

    Habari naitwa Iman nipo Dodoma natafuta gari la kufanyia kazi bolt, nina uzoefu WA kutosha zaidi ya miaka minne. Kwa Dodoma hesabu yetu waga ni 150,000 kwa wiki na kwa magar ya mkataba waga ni 200,000 kwa wiki naomba mwenye gar anisaidie. Mawasiliano yangu ni 0695276900 asante
  18. J

    JamiiForums Tanzania Nahitaji usafiri wa Lori kwa dereva anayepita Ziba Igunga

    Nataka kusafiri kwenda Ziba lakini Sina hela ya basi naomba kama Kuna dereva wa Lori anayepita njia ya Igunga aniache Ziba, nitachangia kidogo
  19. B

    JamiiForums Tanzania Dereva Uber/Bolt

    Habari! Mimi ni Dereva mzoefu na nimeendesha Gari kwa miaka mitatu Sasa Bila kupata Ajali, Natafuta Gari ya mkataba Au Hesabu kwaajili ya kutumia kama Uber na Bolt. Pia nipo Tayari kuwa Dereva wa Mtu au Kampuni. Namba zangu Hizi: 0614424736
  20. B

    JamiiForums Tanzania Dereva Uber/Bolt

    Habari! Mimi ni Dereva mzoefu na nimeendesha Gari kwa miaka mitatu Sasa Bila kupata Ajali, Natafuta Gari ya mkataba Au Hesabu kwaajili ya kutumia kama Uber na Bolt. Pia nipo Tayari kuwa Dereva wa Mtu au Kampuni. Namba zangu Hizi: 0614424736
Back
Top Bottom