dereva

  1. JanguKamaJangu

    Mwanza: Ajali iliyoua watu 6 wakifanya mazoezi, dereva afikishwa mahakamani, asomewa makosa 15

    Dereva ambaye anatajwa kuhusika katika ajali ya gari iliyopoteza maisha ya watu 6 waliokuwa wakifanya mazoezi pembezoni mwa Barabara ya Sabasaba – Kiseke amepandishwa Mahakamani na kusomewa shtaka moja lenye makosa 15, leo Agosti mosi, 2023. Mtuhumiwa ni Osward Kaijage Binamungu aliyekuwa...
  2. Nyendo

    DOKEZO Siku dereva akishindwa kulimudu gari hapa Mbezi barabara ya stendi ya Malamba itakuwa kilio kikubwa sana

    Hapa Mbezi Luis Stendi barabara ya kwenda Kinyerezi ilivyojaa msongamano wa machinga na bidhaa zao ambazo ziko kando ya barabara na kusababisha barabara kuzidi kuwa finyu licha ya wembamba wake tangu kutengenezwa, siku dereva yoyote akishindwa kulimudu gari likaenda pembeni litaua watu wengi...
  3. benzemah

    Dereva wa gari lililogonga na kusababisha vifo vya watu sita Mwanza akamatwa

    Jeshi la polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Oswald Kaijage (39) mkazi wa Buswelu kwa tuhuma za kusababisha ajali katika eneo la Kiseke mkoani humo na kupelekea vifo vya watu 6 na wengine 16 kujeruhiwa Ajali hiyo ilitokea siku Jumamosi nyakati za asubuhi katika eneo la Kiseke Wilayani Ilemela...
  4. Mahrez

    Dereva na udereva

    Natumai mko sawa kiafya Lengo la kuanzisha uzi huu ni kupeana mbinu {njia} tofauti za udereva kama kusomea udereva kutafuta leseni kurenew leseni na ajira za ndani na njee ya nchi na kadhalika
  5. Roving Journalist

    UTPC, MISA-TAN, LATRA, THRDC wataka waliowashambulia Waandishi, Dereva wa Mwananchi kusakwa

    ================= =================== Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) na Mamlaka ya Udhibiti, Usafiri Ardhini (Latra) wamelaani vikali kitendo cha waandishi wa habari wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) na dereva kushambuliwa wakati wanatekeleza...
  6. Shujaa Mwendazake

    DOKEZO Video: Trafiki wa Bahi wanamtia doa Rais Samia, wachunguzwe

    Hawa maaskari kutoka Bahi wanakera sana, unalazimishaje kuingia kwenye gari ya mtu na kutaka kuchomoa funguo? Gari yenyewe hata kukukimbia haiwezi, gari ina mali za mamilioni ya wafanyabiashara. Rais kupitia kwa Inspekta Jenerali wa Polisi, sisi madereva tunakuomba uunde timu ya uchunguzi...
  7. Donnie Charlie

    Tanzania kutengeneza magari, bajaji zisizohitaji dereva

    Katika mkakati wa kukuza TEHAMA na Ubunifu nchini, Tanzania imealika kampuni 15 za Misri, huku lengo likiwa kuhakikisha katika miaka michache ijayo, Tanzania itengeneze magari na bajaji za umeme na zisizohitaji dereva. Akizungumza katika maonyesho ya biashara baina ya wafanyabiashara wa...
  8. C

    Dereva wa Bolt natafuta kazi

    Habari, naitwa Daniel ni dereva mwenye uzoefu na leseni iliyohai. Natafuta gari kwaajili ya biashara ya tax mtandao kama bolt, uber, inDrive nk. Gari iwe ya hesabu za kila wiki au mkataba naweza fanyia kazi. Tunaweza wasiliana muda wowote kwa namba 0782427688. Ahsante
  9. James_patrick_

    Dereva

    Naitwa james patrick,naishu mbezi beach..nina uzoefu wa kuendesha abiria kwenda moshi na kuludi dar kwa muda mrefu sana..kwa mwenye coster nzuri tuongee..ukinipa gar yako nikienda moshi na kuludi nakuletea laki tatu.kwa mawasiliano ni 0622241450 asante
  10. Mr Dudumizi

    Rais Samia ni dereva mzuri, hebu muangalie hapa

    Habari zenu wanaJF wenzangu, Hebu angalia jinsi anavyo control gia, jinsi anavyocheza na sterling ya gari, jinsi anavyoongeza speed bila kuyumbisha gari. Miluzi inapigwa na wapuuzi fulani kutoka siti ya nyuma, siti za pembeni kulia na kushoto, raisi anawasikia, lakini anatambua madhara makubwa...
  11. Equation x

    Dereva makini, fanya yafuatayo

    Dereva makini unatakiwa kabla ya kuliondosha au kuwasha gari lako ufanye mambo haya:- Ufanye ukaguzi wa nje ya gari Matairi kama yote ni mazima, hakuna sehemu iliyotuna Taa zote kama zinawaka(taa kubwa, indicator, reverse, hazard, break) Ukaguzi wa boneti Maji ya radiator Maji ya wiper Oil...
  12. B

    Dereva wa UDOM akamatwa kwa madai ya kummwagia Kemikali Afisa Mtendaji

    Dereva wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Lusajo Makiwelu, anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuwamwagia kemikali watu wawili akiwemo mtalaka wake, Witness Nguvalwa (31) na mtoto wake mwenye umri wa miezi sita (jina limehifadhiwa). Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Martin Otieno, amethibitisha...
  13. Mr Why

    Dereva wangu wa Bolt kageuza gari yangu danguro

    Wakuu hii haki kweli? Nimemuajiri kijana wa miaka 24 kama dereva wa gari yangu inayotoa huduma ya usafiri chini ya kampuni ya Bolt imepita miezi nane tangu nimkabizi. Nilimpa maelekezo kuwa afunge kazi saa tano kamili usiku na baada ya hapo alete gari nyumbani. Alifuata maelekezo yangu lakini...
  14. Sildenafil Citrate

    Kaburengu: Basi laua Dereva na wanafunzi 5

    Huku wanafunzi 5 na dereva wakifariki katika ajali ya Kaburengu, Busia Wanafunzi wengine 6 walipata majeraha na wanapokea matibabu katika hospitali ya kaunti ya Webuye. Ajali hiyo inatajwa kutokea baada ya basi hilo kugongana na lori. Hii ni ajali ya 2 kutokea ndani ya wiki 3 kwenye barabara...
  15. Kamanda Moshi

    Nahitaji Dereva wa Pulling na Semi-trailer

    Habari wakuu, Nina vacant position za madereva wa Pulling na Semi-Trailer. Gari zinafanya local trips na base ya kampuni ni Dar es salaam. Kama wewe ni dereva au unamfahamu dereva mzuri, please ni PM CV yake na number yake ya simu. Kigezo kingine cha kupewa kazi ni kuwa na mdhamini...
  16. MGODOLO

    Wewe dereva au mmiliki, huwezi kupata LATRA ya gari yako kama dereva wako hajajisajili LATRA

    1. HALI IKOJE MKOANI KWAKO Ndugu Madereva au Mmiliki? Nataka kuuliza kuhusu mfumo huu, katika mikoa yenu ukoje, Kanda ya kaskazini, Gari yeyote ya biashara ambayo Dereva husika mwenye Leseni Daraja C1, C2, C3, C, na E. Latra itakapoisha Muda wake katika gari hio, Mmiliki wa chombo hicho hawezi...
  17. Sildenafil Citrate

    Mmiliki na Dereva wa gari yenye usajili T 546 DGV wachukuliwe hatua kali za Kisheria

    Habari wakuu, Hali yangu kiafya siyo njema sana, nikiwa natoka kutibiwa kwenye mojawapo ya hospitali humu jijini Dsm nimekutana na jambo baya linalosikitisha sana. Dereva mmoja mwenye gari iliyo na usajiri wa T 546 DGV (Mimi sio mtaalamu sana wa magari, sijaweza kugundua upesi ni gari aina...
  18. B

    Morogoro: Dereva bodaboda auawa, atobolewa macho

    Dereva wa Bodaboda, Oscar Samuel (36) Mkazi wa Mtaa wa Kilongo B Kata ya Mkundi Manispaa ya Morogoro ameuawa kwa kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake kisha kutobolewa macho na Watu wasiojulikana. Akiongea na @ayotv_ Mdogo wa marehemu, Huruma Samweli amesema May 31,2023 Oscar...
  19. BARD AI

    Dereva wa Basi la Saratoga apigwa na Askari wa JWTZ

    Dereva wa basi la Saratoga linalofanya safari kutoka Dar es Salaam kwenda Kigoma, Yasini Shabani (45), ameshambuliwa kwa kupigwa maeneo mbalimbali ya mwilini na Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), anayejulikana kwa jina la Emmanuel Peleka baada ya basi hilo kulipita gari la JWTZ katika...
  20. Intelligent businessman

    Dereva wa bajaji na pikipiki ya mkataba anahitajika

    Habari wanna jamii forums, katika harakati zangu za utafutaji nami nikaona sio mbaya kuanzisha kikampuni changu kidogo Cha usafirishaji. Lengo ni kuendelea kujikomboa na circle ya umasikini, na hivyo nimeamua kuzitoa bajaji na bodaboda kwa kijana ataye weza kuendana na taratibu na sheria zetu...
Back
Top Bottom