Naomba anayejua hotel ya nyota 10 Dar msaada

Naomba anayejua hotel ya nyota 10 Dar msaada

amarina

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2025
Posts
225
Reaction score
383
Nina mgeni wangu ataingia jijini mwezi ujao msaada wenu hotel ya hadhi ya 10 star
 
Asee bahati mbaya hoteli ya nyota kumi sijui ipo wapi kwa hapa Dar, ungeitaji ya nyota 13 na nusu ningekuelekeza tena nipo jirani nayo.
 
Mbona kama sijawahi kusikia sio Tanzania tu bali ulimwenguni pia.
 
Mkuu amka,kumeshakucha!
Afu usiwe unabadilisha sehemu za kuvutia, ona sasa Jana wamekupa sanska😔
 
Nina mgeni wangu ataingia jijini mwezi ujao msaada wenu hotel ya hadhi ya 10 star
Hotel ya nyota 10 sasa hivi imekuwa ni ikulu samia na abdul na Rostam azizi wanamwaga radhi huko
 
Back
Top Bottom