dar es salaam

Dar es Salaam
Dar es Salaam is the largest city and financial hub of Tanzania. With a population of over five million people, Dar es Salaam is the largest city in East Africa and the sixth-largest in Africa. Located on the Swahili coast, Dar es Salaam is an important economic center and one of the fastest-growing cities in the world.
  1. Last Seen

    Comments za mitandaoni: Comment gani ilikufurahisha zaidi?

    Habari wanna JF. Mtu anapopost video, picha au andiko lolote mitandaoni lazima apokee comments tofauti tofauti, Kuna zingine nzuri, zingine mbaya na zingine za kufurahisha. Ni comment gani ilikufurahisha zaidi?
  2. G

    Plot4Sale Kiwanja cha makazi kinauzwa maeneo ya Chanika Mwisho - Dar es Salaam

    Eneo: Chanika mwisho mtaa wa zogoali kwa wambili. Bei: Tsh. 950,000/= Umeme Upo na maji visima vipo karibu Ukubwa : mita 13/13 au miguu 18 kwa 18 Hakuna Dalalii Piga namba 0627864823 Huduma za kijamii kama shule na zahanati zipo karibu.
  3. ubuntuX

    INAUZWA Gelato Hard ice cream machine for sale

    Tunauza machine mpya kabisa kwa za hard ice cream au maarufu gelato. Voltage: 110V/220V 50/60hz Power: 1.6KW Size: 525 x 490 x 640mm Weight: 65kg Cylinder : 5L Cylinder Size: 22 x 10.5cm Capacity: 20L/h Machine ina uwezo wa kuzalisha mpaka lita 20 kwa saa,unaweza pia ukaweka...
  4. Mzukulu

    Kama kuna tabia za abiria wa Daladala hasa za Dar es Salaam ambazo huwa zinanichukiza sana ni hizi kuu mbili tu...

    1. Wengine kila tupandapo Dala Dala ikitokea tumebahatika Kukaa Siti Moja na Abiria wa Kike Kutongoza / Kumtongoza ni Jambo la lazima mno kama Israeli na Roho ya Binadamu. Sasa huwa inakera zaidi pale Mwanamume unapoanza Kutongoza halafu unakuta Abiria wa ama Siti yako ya mbele au ya nyuma nae...
  5. CONTROLA

    Biashara zangu 5 za wakati wote kwa hapa Dar es Salaam

    Dar ni sehemu ninayowambia watu wengi sana kuwa kama atashindwa kutafuta maisha eneo hili basi ana safari ndefu sana ya kufanikiwa, ni sehemu ambayo biashara nyingi zinakubali na zinakutoa kwa kipindi kifupi kama ukiamua kujitoa Afe kipa Afe beki. Nimeona biashara nyingi sana ila hizi ni...
  6. muneera75

    Ofisi za kufanyia field mkoa wa Dar es Salaam

    Habari, Naomba kujuzwa kwa yeyote mwenye experience au hata ambaye hana experience lakini maybe alisikia sehemu kuhusu field mkoa wa Dar es Salaam. Mambo ninayohitaji kujua: 1: Ofisi zote ambazo mwanafunZi anaweza kufanya field. Private and public offices 2: Changamoto zinazotokea uko field 3...
  7. WilsonKaisary

    Historia ya Sanamu ya Askari (Askari Monument) iliyopo Posta, Dar es Salaam

    Sanamu ya Askari au Askari Monument ni sanamu iliyopo kwenye kitovu cha jiji la Dar es salaam kwenye mahali ambapo mitaa ya Samora na Azikiwe (zamani: Maktaba) zinakutana. Sanamu inamwonesha Askari Mwafrika katika sare ya Kijeshi, Jeshi la King's African Rifles la wakati wa Vita Kuu ya Kwanza ya...
  8. Gabbimakini

    Car4Sale Crown Athlete inauzwa Dar es Salaam

    CROWN ATHLETE No.DRW cc 2490 Mileage covered 117222 Location Dar es salaam Posta. Bei ni 12M, maongezi yapo piga simu 0688351006
  9. Mzukulu

    Kwa Mkoa wa Dar es Salaam na ninayoyashuhudia 24/7 nina uhakika itakuwa ni Maradufu ya Mkoa wa Shinyanga

    Mratibu wa Mtandao wa Elimu Tanzania, Ochola Wayoga, amedai watoto 102 wenye umri wa miaka 13 mpaka 17 wa shule za msingi na sekondari katika Mkoa wa Shinyanga, wamepata ujauzito wakati shule hizo zilipokuwa zimefungwa kutokana na ugonjwa wa corona. Chanzo: Nipashe Habari Kuna Shule Moja ya...
  10. The Sheriff

    Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam lakamata silaha mbili aina ya bastola na kuwaua majambazi wawili

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUPATIKANA KWA SILAHA MBILI AINA YA BASTOLA NA KUUWAWA KWA MAJAMBAZI WAWILI Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limefanikiwa kukamata silaha mbili aina ya bastola na kuwaua majambazi wawili katika matukio mawili tofauti. Tukio la kwanza ,Mnamo tarehe...
  11. T

    GE2020 Kwanini Mpango na Tulia Ackson wasigombee wajimbo huru ya Dar es Salaam?

    Kwa kweli huwa sielewi kwa nini kila mtu afikirie kwenda kugombea kwao tena kwa watu maarufu na ambao wanajidai kua wamefanya mambo makubwa. Naibu Spika wa Bunge la Tanzania anarudi kwenda kugombea Mbeya nyumbani kwao, yeye ni mtu maarufu ni wa nini asigombee majimbo huru kama yaliyoko hapa...
  12. Mdada96

    Nafasi ya kujitolea hospitali yoyote jijini Dar es Salaam

    Habari zenu wakuu, Napost humu kwa mana najua kuna watu tofauti tofauti umu ambao wanajuana na watu ,ama wamiliki wa hosptali za binafsi. Mimi ni muuguzi na mkunga natafuta sehemu ya kujitolea hospitali ama clinic yoyote yenye uhitaji wa waauguzi kwa sasa na nipo tayari kulipwa kama Medical...
  13. G

    Plot4Rent Kiwanja cha makazi kinauzwa maeneo ya Chanika Mwisho - Dar es Salaam

    Eneo: Mtaa wa kwa wa mbili - Zogoali Bei: Tsh. 1,300,000/= Umeme Upo na maji yapo Ukubwa : mita 13/13 au miguu 18 kwa 18 Hakuna Dalalii Piga namba 0627864823
  14. Tripo9

    Hili la Makonda kuruhusu bodaboda kuingia katikati ya jiji la Dar es salaam linafikirisha sana kwa hawa wanasiasa wetu

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza Makonda karuhusu boda ziingie katikati ya jiji. Zuio hili hapo mwanzoni bila shaka lilikua na maana yake pana na imekua kawaida na imekua kama sheria boda boda haziingii katikati ya jiji. Nimezumguuka miji kadhaa mikubwa hua hiki ni kitu wenzetu wengine...
  15. Mzukulu

    Mtoto Kipenzi wa Dar es Salaam alipoa kweli ila kwakuwa Baba Kipenzi amesharejea leo Mji Mkuu halisi naye ataanza kujitokeza

    Ili Baba yake amuone kuwa yupo na anafanya Kazi najua kuanzia leo atafufuka huko alikokuwa kajificha ili kutafuta Sifa zaidi kwa Baba Kipenzi.
  16. Roving Journalist

    Rais Magufuli azungumza na Wananchi wa Ubungo wakati aliporejea jijini Dar es salaam akitokea Mkoani Dodoma

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Ubungo jijini Dar es Salaam mara baada ya kuwasili wakati akitokea Mkoani Dodoma. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Mama mwenye...
  17. Jamii Opportunities

    Kazi za ualimu, Dar es Salaam Independent School

    DAR ES SALAAM INDEPENDENT SCHOOL Registration Numbers is S. 2544 and DS/02/7/037 Announce Vacancies for the academic year 2020/2021 We need the following staffs below starting August, 2020: We need TWO ART TEACHERS starting August 2020: One Art teacher for the Lower Secondary and one to teach...
  18. M

    Serikali tafadhalini wasaidieni abiria wa daladala wa Dar es salaam

    Sasa hivi kuna wizi wa kulazimishana unafanywa na makonda wa daladala. Makonda na madereva wanaweka mazingira ya kulazimisha watu walipe nauli mara mbili ya nauli halali. Wanachokifanya ni hivi: wakifika kituo cha mwisho wa gari wanawatoza abiria kulipa nauli ya kuzunguka. Yaani ukipandia...
  19. CHADEMA

    GE2020 CHADEMA: Wanachama 11 wachukua fomu za kugombea nafasi ya Urais wa Tanzania

    Ikumbukwe kwamba waliotia nia ni wengi lakini ni wachache waliojitangaza hadharani , Sasa leo tega sikio ili usikie ni akina nani wengine Wazito sana waliotia nia ya kuomba Urais wa Tanzania kupitia Chadema . Mungu ibariki Chadema ======= ----UPDATE---- Ndugu wanahabari Chama cha Demokrasia...
  20. Dantefx

    How to buy your share in Dar es salaam stock exchange

    How to Invest on the Dar es Salaam Stock Exchange If you really want to invest at the furthest reaches of Africa’s frontier markets, the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) is for you. The little market lists only 11 local companies and trade volumes often don’t exceed $500,000 per week. But the...
Back
Top Bottom