Naongelea maeneo ya Goba, Bunju, Madale, Mabwepande, Kigamboni n.k
Watu wameweka maeneo makubwa yamekuwa mapori. Wengi uwezo wa kujenga hawana sababu walishastaafu na kuuza hawataki.
Wazee hawa wana street mipango mingi ila fedha hawana sasa maeneo yao yamebaki mazalia ya nyoka na kenge na machimbo ya vibaka.
Serikali ichukue haya maeneo ijenge shule, zahanati, vituo vya polisi au viwanja vya michezo ya watoto.
Wananchi tunaingia gharama kubwa kuvuta huduma za jamii kama maji na umeme sababu hadi muzunguke eneo la mtu zaidi ya heka 4.
Wengine wanajenga chumba kimoja ili waonekane wameendeleza eneo.
Kama hawawezi kuendeleza wauze ili Mji uchangamke.
Watu wameweka maeneo makubwa yamekuwa mapori. Wengi uwezo wa kujenga hawana sababu walishastaafu na kuuza hawataki.
Wazee hawa wana street mipango mingi ila fedha hawana sasa maeneo yao yamebaki mazalia ya nyoka na kenge na machimbo ya vibaka.
Serikali ichukue haya maeneo ijenge shule, zahanati, vituo vya polisi au viwanja vya michezo ya watoto.
Wananchi tunaingia gharama kubwa kuvuta huduma za jamii kama maji na umeme sababu hadi muzunguke eneo la mtu zaidi ya heka 4.
Wengine wanajenga chumba kimoja ili waonekane wameendeleza eneo.
Kama hawawezi kuendeleza wauze ili Mji uchangamke.